shizukan
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 1,158
- 563
Hii ndio shida ya hawa viongozi wanaokalia viti kwa ushemeji na utumishi uliotukuka kwenye kampeni za kumuweka madarakani aliyemteua. Nakuhakikishia huu utamaduni unaanzia juu kwa mkuu mwenyewe. Wanakaa ofisini wakisubiri taarifa ziwafikie walipo kwa hiyo aliyoyasema ni yale aliyoambiwa na aliowatuma. Kwa watu hiyo ni kashfa kubwa