una hoja nzuri sana ingawa kuna watu wengine wanakua kwenye idara nyeti,kazi nyeti au maalum,inawezekana kuja kula na kurudi ofisiniNafikiri wakati umefika tuwe na sheri itakayozuia vigogo wa serikali kutumia magari ya serikali kwa shughuli au mambo binafsi kama kwenda nayo Bar au sehemu zingine za starehe huku madereva wakibaki ndani ya magari kusubiri mabosi wamalize starehe zao.