Itungwe sheria inayotoa adhabu dhidi ya wanaomtukana Rais

Sheria zitungwe za kuwabana watumishi na taasisi ili ziwe na tija kwa raia sio sheria za kuwafanya raia waisujudie serikali inayofanya mambo ya kuchefua nafsi zao.

Nianzie tu kusema mwisho wa uchawa ni mbaya sana. Heshimu watu sponsor hufa!

Umetumia maneno machache sana, lakini nimekuelewa vizuri sana kiongozi 👍
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi.

Tufanye hivyo mapema.
Kwa nini rais tu na si watu wote?
Utakuwa wa maana ukianza kufikiria kuhusu kila Mtanzania. Vinginevyo wewe ni chawa tu.
 
Jana katika malumbano ya hoja ITV kuna jamaa katoa kali " kwa kuwa mwanamke ni ubavu tu wa mwanaume hastahili kumtawala mwanaume" inaonekana Mungu aliidhinisha hivyo.
 
Jana katika malumbano ya hoja ITV kuna jamaa katoa kali " kwa kuwa mwanamke ni ubavu tu wa mwanaume hastahili kumtawala mwanaume" inaonekana Mungu aliidhinisha hivyo.

Ilitakiwa wakate kate vitunguu na kuunga mboga kwa ajiri ya waume zao,, mtu ameolewa afu anakuja kuamrisha wanaume 😂
 
Tujifunze kwa makini kuhusu, "kumuambia mtu ukweli na kumtukana" ninaona ni lugha tu, ukisema ukweli unaambiwa umetukana. Mf. Kama mimi ni fisadi na ukiniita "fisadi" ni size yangu, hujanitukana ila umenipa ukweli.
 
Sheria sio tatizo bali tafsiri ya sheria. Hiyo sheria ikitungwa tafsiri yake mahakamani itawafunga wengi, na itatumika kama fimbo ya kuwanyoosha wale wote wanaopingana na Rais hata katika masuala ya msingi.

Na pia, matusi ni nini? Kuna aina ngapi za matusi? Tunaweza kuyaorodhesha yote katika sheria ili watu wahukumiwe kwa haki?
Hayo yote naamini yatazingatiwa na sheria hiyo
 
Tujifunze kwa makini kuhusu, "kumuambia mtu ukweli na kumtukana" ninaona ni lugha tu, ukisema ukweli unaambiwa umetukana. Mf. Kama mimi ni fisadi na ukiniita "fisadi" ni size yangu, hujanitukana ila umenipa ukweli.
Katika umri ulio nao bado hujui tofauti ya kutoa maoni na kutukana?
 
Sidhani kama kuna haja ya kutunga sheria maalum ya kumshitaki mtu ye yote anayemtukana Rais!
Wakati wa Jiwe hakukuwa na Sheria hiyo! Lakini nani alithubutu kufyatua mdomo kumtukana?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi.

Tufanye hivyo mapema.
Hiyo sheria pia Rais nae asitukane raia wake.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi.

Tufanye hivyo mapema.
Ndugu mja na mada,ili mambo kama hayo yasitokee kwa kiwango cha kuwa na sababu,ya kukereka kwa watu wengi ama makundi mengi kiasi cha kuona upo umuhimu wa kutungwa sheria ya kutibidhi hali hiyo,matarajio ya taifa,na ya jamii,ionekane na uthibitike inadhamira ya dhati ya kuihudumia na kupunguza kama sii kuondoa madhila yanayopelekea kufika huko🤔
 
We nae na umri huo ulionao bado unajipendekeza tu kwa watawala?no wonder umemaliza first degree ukiwa mbabu.pathetic
Nimewaza kama wewe mkuu
Huyo hata uchawi hakosi, hakosi kuwa na tunguri huyo
Hapo kwenye dhamiri yake anajua kabisa siyo sahihi
Jitahidi kuwa angalau kama akina mzee ulimwengu wale peponi wana viti vyao vinawasubiri tu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi.

Tufanye hivyo mapema.
mtoa mada hajielewi
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi.

Tufanye hivyo mapema.
kadri Sa100 anavyoajili watu kumsifia huku mitandaonu ndipo hata wale walikuwa hawana muda naye wataanza mfuatilia na kuona mauozo yake ya kujaribu kugawa bandari na ngorongoro
 
a
Adhabu iwe nzito kwa kila mtu anayetumia uhuru wa kujieleza vibaya
adhabu isiwe nzito kwa viongoz wanauoa raia wake ili wagawe ardhi kwa waarabu ? adhabu isiwe nzito kwa wanasaini mikataba bila kuisoma kisa kapewa hongo na waarab na bila kelele za baadhi yetu bandari ilikuwa inagawiwa bureee kabisa

yaan hii nchi inahitaj waje hata alshababu tusafishe watu kupunguza wajinga maana mmekua wengi hata mkipewa buku 5 mnakuja tetea majambaz humu mitandaoni kwa kuita mnalinda heshima
 
Back
Top Bottom