JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,393
- 9,674
NAANDIKA KWA MACHUNGU na Lazima tukubaliane kwamba huyu mwamba ni mtu wa dili. Hana mawazo mazuri juu ya nchi yetu.
Alipoingia tu madarakani, EWURA walipandisha bei ya mafuta hadi kiwango cha juu hakijawahi kutokea hapa nchini. Akasababisha mama akaanza kutoa hadi ruzuku (japo sina imani na hii ruzuku kama ilikuwepo ama la. Kabla ya vita vya URUSI na UKRAIN visingizio vilikuwa ghalama za usafirishaji, mara akaenda uarabuni kutafuta wazalishaji tununue moja kwa moja, lakini wapiii.. baadae ikaingia vita ya Urus ndio kabisaa akajipandishia.
Tangu aondolewe ile office, bei zinashuka kila kukicha, Mungu anajua. Umeshakwiba sana, Imetosha tafuta kazi zingine kwenye office za umma unazingua sana.
TANESCO, aliwavuruga hadi hawanahamu, siku wamesikia anaondoka walifurahi sana. Mwamba kila analolitaka lazima lifanikiwe, pesa anapelekaga south na amewekeza huko.
Alipoingia tu TANESCO, akaanzisha katakata ya umeme huku akiomba aongezewe fungu la matengenezo eti mitambo imedoda, mama nae kwa kuingia kingi akatoa fungu, kijana aliomba trillion za pesa nyingi, umeme bado ukawa unakatakata, hapo kati likaingia picha la kihindi, wahindi wakalamba dili la mabillion ya dollari, mambo bado yakabuma. Tangu aondoke umeme umeanza kuimalika. Mtaani kwetu ilikuwa kila jumatano na jumapili tukosa umeme. Siku hizi tunajiuliza wamekata? watu - UPO.
Mama kashitukia hizo dili akaona amtoe mambo ya nje, kule ni rahisi kupata taarifa zake, ila kijana hafanyi hata kazi zake analandalanda tu kwenye korido na kujimwambafai aungwe mkono na diaspora ili aupate Urais.
Kazi kwako Samia, tunajua unamuogopa Makamba na JK, lakini tunaomba usiogope kwa ajili ya Tanzania. Nakuhakikishia kwa kijana yule alivyokwapua pesa, anaaenda kununua magazeti yakuandike hadi ukonde kabla ya mwaka huu kuisha.
Makamba tafuta kazi zako binafsi office za umma umekula umetosha mzee.
Alipoingia tu madarakani, EWURA walipandisha bei ya mafuta hadi kiwango cha juu hakijawahi kutokea hapa nchini. Akasababisha mama akaanza kutoa hadi ruzuku (japo sina imani na hii ruzuku kama ilikuwepo ama la. Kabla ya vita vya URUSI na UKRAIN visingizio vilikuwa ghalama za usafirishaji, mara akaenda uarabuni kutafuta wazalishaji tununue moja kwa moja, lakini wapiii.. baadae ikaingia vita ya Urus ndio kabisaa akajipandishia.
Tangu aondolewe ile office, bei zinashuka kila kukicha, Mungu anajua. Umeshakwiba sana, Imetosha tafuta kazi zingine kwenye office za umma unazingua sana.
TANESCO, aliwavuruga hadi hawanahamu, siku wamesikia anaondoka walifurahi sana. Mwamba kila analolitaka lazima lifanikiwe, pesa anapelekaga south na amewekeza huko.
Alipoingia tu TANESCO, akaanzisha katakata ya umeme huku akiomba aongezewe fungu la matengenezo eti mitambo imedoda, mama nae kwa kuingia kingi akatoa fungu, kijana aliomba trillion za pesa nyingi, umeme bado ukawa unakatakata, hapo kati likaingia picha la kihindi, wahindi wakalamba dili la mabillion ya dollari, mambo bado yakabuma. Tangu aondoke umeme umeanza kuimalika. Mtaani kwetu ilikuwa kila jumatano na jumapili tukosa umeme. Siku hizi tunajiuliza wamekata? watu - UPO.
Mama kashitukia hizo dili akaona amtoe mambo ya nje, kule ni rahisi kupata taarifa zake, ila kijana hafanyi hata kazi zake analandalanda tu kwenye korido na kujimwambafai aungwe mkono na diaspora ili aupate Urais.
Kazi kwako Samia, tunajua unamuogopa Makamba na JK, lakini tunaomba usiogope kwa ajili ya Tanzania. Nakuhakikishia kwa kijana yule alivyokwapua pesa, anaaenda kununua magazeti yakuandike hadi ukonde kabla ya mwaka huu kuisha.
Makamba tafuta kazi zako binafsi office za umma umekula umetosha mzee.