General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
Ni mara nyingi sana viongozi wa ngazi ya juu nchini kuitumia clouds fn na hata Tv kutolea matamko.
Kibaya zaidi viongozi hao huenda wenyewe kutoa matamko.
Mwanzoni nilifikiri Clouds huwafuata ofisini kuwahoji. Kiukweli sijawahi sikia Makonda kaenda tbc kuhojiwa au kutolea sintofahamu iliyojitokeza.
Tunashuhudia hata Rais akiipa Kick radio hii na kuzidi kupata umaarufu zaidi ya TBC. Tuliona Rais akipiga simu clouds kuwapongeza na kutolea ufafanuzi kuhusu mshahara wake.
Juzi Rais nae anasema anatamani angehudhuria Fiesta, tamasha ambalo linaongozwa na Clouds media.
Kifo cha TBC medi kinakaribiaa.
Kibaya zaidi viongozi hao huenda wenyewe kutoa matamko.
Mwanzoni nilifikiri Clouds huwafuata ofisini kuwahoji. Kiukweli sijawahi sikia Makonda kaenda tbc kuhojiwa au kutolea sintofahamu iliyojitokeza.
Tunashuhudia hata Rais akiipa Kick radio hii na kuzidi kupata umaarufu zaidi ya TBC. Tuliona Rais akipiga simu clouds kuwapongeza na kutolea ufafanuzi kuhusu mshahara wake.
Juzi Rais nae anasema anatamani angehudhuria Fiesta, tamasha ambalo linaongozwa na Clouds media.
Kifo cha TBC medi kinakaribiaa.