Itangazwe Rasmi Clouds Fm ni Radio ya Taifa

Itangazwe Rasmi Clouds Fm ni Radio ya Taifa

Ni mara nyingi sana viongozi wa ngazi ya juu nchini kuitumia clouds fn na hata Tv kutolea matamko.
Kibaya zaidi viongozi hao huenda wenyewe kutoa matamko.

Mwanzoni nilifikiri Clouds huwafuata ofisini kuwahoji. Kiukweli sijawahi sikia Makonda kaenda tbc kuhojiwa au kutolea sintofahamu iliyojitokeza.

Tunashuhudia hata Rais akiipa Kick radio hii na kuzidi kupata umaarufu zaidi ya TBC. Tuliona Rais akipiga simu clouds kuwapongeza na kutolea ufafanuzi kuhusu mshahara wake.

Juzi Rais nae anasema anatamani angehudhuria Fiesta, tamasha ambalo linaongozwa na Clouds media.

Kifo cha TBC medi kinakaribiaa.

Sasa kama TBC yenyewe hawabuni vipindi vinavyovutia unategemea nn...hivi kuna watu still wanatazama TBC??
 
Me naomba kuuliza,,,
Binafsi sijawahi kuwasikia clouds radio wakiwahoji viongoz wa upinzani live kwenye radio yao au kuwaita kwenye kituo chao kwa ajili ya mahojiano na ufafanuzi
So bila shaka clouds mnamahusiano makubwa na ccm
 
Clouds ndo media inayosikilizwa zaid Tanzania....hata hvyo hyo siyo sababu ya kukimbilia pale viongozi wanakosea.... japo Mara nying clouds huwatafuta viongozi na Mara chache viongozi huenda wenyewe
tbc ishajifia na viongozi wanalijua hilo uwezi kua popular kupitia tbc! na radio inayoongoza na inasimamiwa na watu rahisi ni clouds so by any means clouds lazima ikamatwe na serkali na imekamatika haswa cs wananufaika
 
Ni mara nyingi sana viongozi wa ngazi ya juu nchini kuitumia clouds fn na hata Tv kutolea matamko.
Kibaya zaidi viongozi hao huenda wenyewe kutoa matamko.

Mwanzoni nilifikiri Clouds huwafuata ofisini kuwahoji. Kiukweli sijawahi sikia Makonda kaenda tbc kuhojiwa au kutolea sintofahamu iliyojitokeza.

Tunashuhudia hata Rais akiipa Kick radio hii na kuzidi kupata umaarufu zaidi ya TBC. Tuliona Rais akipiga simu clouds kuwapongeza na kutolea ufafanuzi kuhusu mshahara wake.

Juzi Rais nae anasema anatamani angehudhuria Fiesta, tamasha ambalo linaongozwa na Clouds media.

Kifo cha TBC medi kinakaribiaa.

Hata clouds wenyew siku hz wanajiita "radio tanzania"
 
Me naomba kuuliza,,,
Binafsi sijawahi kuwasikia clouds radio wakiwahoji viongoz wa upinzani live kwenye radio yao au kuwaita kwenye kituo chao kwa ajili ya mahojiano na ufafanuzi
So bila shaka clouds mnamahusiano makubwa na ccm
Hapana wameshawahoji Mara kibao tu...japo kwa maswala tu ya kawaida...hata viongozi wa CCm huenda lake kwa maswala ya nchi na sio kisiasa zaidi
 
Me naomba kuuliza,,,
Binafsi sijawahi kuwasikia clouds radio wakiwahoji viongoz wa upinzani live kwenye radio yao au kuwaita kwenye kituo chao kwa ajili ya mahojiano na ufafanuzi
So bila shaka clouds mnamahusiano makubwa na ccm
una uhakika???
 
TBC hamna ubunifu miaka yote ., kazi kuonyesha harusi na mambo kama hayo .
 
Me naomba kuuliza,,,
Binafsi sijawahi kuwasikia clouds radio wakiwahoji viongoz wa upinzani live kwenye radio yao au kuwaita kwenye kituo chao kwa ajili ya mahojiano na ufafanuzi
So bila shaka clouds mnamahusiano makubwa na ccm
YULE ALIYEITWA TUMBILI JUZI KATI KANYIMWA NAFASI PALE
 
kumbe hii redio ya wafu bado ipo? mi nilishaisahau zamani sana.
 
Ni mara nyingi sana viongozi wa ngazi ya juu nchini kuitumia clouds fn na hata Tv kutolea matamko.
Kibaya zaidi viongozi hao huenda wenyewe kutoa matamko.

Mwanzoni nilifikiri Clouds huwafuata ofisini kuwahoji. Kiukweli sijawahi sikia Makonda kaenda tbc kuhojiwa au kutolea sintofahamu iliyojitokeza.

Tunashuhudia hata Rais akiipa Kick radio hii na kuzidi kupata umaarufu zaidi ya TBC. Tuliona Rais akipiga simu clouds kuwapongeza na kutolea ufafanuzi kuhusu mshahara wake.

Juzi Rais nae anasema anatamani angehudhuria Fiesta, tamasha ambalo linaongozwa na Clouds media.

Kifo cha TBC medi kinakaribiaa.
Hivi Ni vituo vya wahuni Tu na visikilizwa na watu wenye hulka hizo
 
Wanajua TBC wanaosikiliza ni Wachache Kwa hiyo Wakitoa Tamko kwenye TBC Ujumbe utakua Umepotelea Hewani.
 
Back
Top Bottom