Itangazwe Rasmi Clouds Fm ni Radio ya Taifa

Itangazwe Rasmi Clouds Fm ni Radio ya Taifa

Clouds ndo media inayosikilizwa zaid Tanzania....hata hvyo hyo siyo sababu ya kukimbilia pale viongozi wanakosea.... japo Mara nying clouds huwatafuta viongozi na Mara chache viongozi huenda wenyewe
Not only that BT also.....Clouds na ccm n saw a na shiny moja pande tofaut
 
hii haiwezi kuwa radio ya taifa hata nusu, hv umeona wapi nchi ikubali kuwa na redio ya taifa yenye mtangaji kama DIVA au KIBONDE muda wote anasifia bia na makalio ya kina GIGI MONEY. ukiwa mzazi alafu ukute mtoto wako anasikiliza hii redio ndo utajua inaharibu vijana kiasi gani. redio baada ya kufanya mambo ya maana inatumia nguvu kubwa kumdondosha msanii wa bongo flava ambae atakataa kuwapigia goti. hawa majamaa bado local sana. Na ndo maana wanaajiri watu kwa kusingizia wanaangalia kipaji na sio elimu yako coz wanajua msomi hawezi akavumilia upuuzi wao na maisha ya majungu na fitna mana hatoweza kuwasujudia.
 
atleast kidooooogo kwenye radio wanajali muda. hii tv ndo kabisa wanavaa kiatu kilichowazid ukubwa. yani katika suala la vipind ndo kabisa havieleweki, mara leo kipo kesho hakipo na hakuna taarifa zozote.
 
CCM walishaiozesha TBC hadi kuitwa TBCCM....sasa wamehamia Clouds.

Clouds nao wakianza kurusha matangazo kikada nao watakufa kifo cha mende kama TBC.

Media inatakiwa iwe huru ili ipate uwanja mpana zaidi wa kupendwa na watu.

Clouds wanatakiwa washtuke mapema, ujio wa CCM siyo wa kheri!
 
Clouds FM wanajua maana ya biashara...
 
Nadhani Clouds wanajua sana kufuatilia habari na kuwashawishi viongozi kufika kwa mahojiano na hii ni muhimu kibiashara kwani ina vuta wasikilizaji. Hawa viongozi hawainuki wenyewe kuna namna kituo kinafanya kuwasiliana nao ili waje wajieleze wenyewe. Sasa vituo vingine kama waoga kuwaita viongozi kwenye vipindi vyao au hawana segment za mahojiano kwenye vipindi vyao si rahisi. Ni ujanja wa kibishara tu ndio unawazidi nguvu wengine. Hii ni sawa na ITV jinsi walivyoteka soko la taarifa ya habari. Ukikaa sehemu za kijamii kama baa ikifika wakati wa taarifa ya habari utasikia kila mtu anasema weka ITV. Baada ya hapo utasikia weka Star TV hapo watu wanakuwa wanataka kuangalia BBC Swahili. Sijawahi kusikia weka TBC sijui kwanini? Watu wakiangalia Channel 10 saa 1 na ITV saa 2 huwa wanahisi kutosheka na taarifa za habari kwa siku hiyo. TBC wanaona ni kama kwenda kuambiwa tu mambo ya CCM
 
Ni ulimbukeni tu, japokuwa clouds Ndio radio inaongoza kusikilizwa nchini, Ila hakuna utaratibu na mipaka kwa hawa wanaojiita viongozi,
 
Kama uliangalia msimu wa fiesta, wakuu wa mikoa na wilaya walivyoichukulia fiesta kama tukio la kitaifa la kiserikali, Rais na viongozi wa kitaifa wanavyotembelea na kutoa taarifa kupitia clouds tv na redio, SIO KITU KIBAYA, ila tunaiua TBC kama shirika la utangazaji la kitaifa, ingekua vzur kama TBC ingepewa kipaumbele, kua ni chanzo cha taarifa mama na matamko ya kitaifa, inapoelekea watendaji hawatotoa taarifa TBC na kupeleka vyombo vya habari binafsi, TBC watachukua kutoka vyombo vngne vya habari....
TBC wajitathmini,
 
Dunia ya ushindani hii. Chakwako kibaya cha jirani kinameremeta, kwanini basi kisiwe cha jirani? Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Tbc hawataki kubadilika, sielewi ni kwa nini! Jina kuuubwa "Tbc Taifa" lakini vipindi vyao havina kiwango.
Hata taarifa ya habari, kwa ubora inaachwa kwa mbali na tv banfsi. Wajirekebishe pakubwa, vinginevyo wataangukia pua.
 
Tbceee ipo km piliton ..wengi wanaikwepa so ukiweka tangazo kule linawafikia watu wachache mno..so ni bora kudeal na clouds TV/FM ambayo upendwa zaidi
 
Hv hii TV bado ipo mana mm niliifuta mda tena wkt nimeomba kuifuta DSTV wakawa wagumu nkawaambia wanipe pesa yng wachkue Dish lao sina haja kuangalia TV ya Mbogamboga kila hbr za Kipropaganda tu............
 
Kama uliangalia msimu wa fiesta, wakuu wa mikoa na wilaya walivyoichukulia fiesta kama tukio la kitaifa la kiserikali, Rais na viongozi wa kitaifa wanavyotembelea na kutoa taarifa kupitia clouds tv na redio, SIO KITU KIBAYA, ila tunaiua TBC kama shirika la utangazaji la kitaifa, ingekua vzur kama TBC ingepewa kipaumbele, kua ni chanzo cha taarifa mama na matamko ya kitaifa, inapoelekea watendaji hawatotoa taarifa TBC na kupeleka vyombo vya habari binafsi, TBC watachukua kutoka vyombo vngne vya habari....
TBC wajitathmini,
Clouds inawafuta hao wakuu wa serikali,sasa hivi ni mashindano tu.TBC kuna mkurugenzi wa biashara jiulizeni anafanya kazi gani pale
 
Hv hii TV bado ipo mana mm niliifuta mda tena wkt nimeomba kuifuta DSTV wakawa wagumu nkawaambia wanipe pesa yng wachkue Dish lao sina haja kuangalia TV ya Mbogamboga kila hbr za Kipropaganda tu............

Mkuuu mbona umeshindwa onyesha ugreat thinker.....?
 
Back
Top Bottom