Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,415
- 30,919
Nimekaa miaka sita kwenye Hii nchi hakika ni nchi nzuri mnoo geographical location yake ni katikati ya ulaya watu wake ni wachapa kazi ila pia wapenda starehe mnoo dini kuu ni Roman Catholic
nchi Hii ina hazina ya historia ya kale iliyohifadhiwa vyema pengine kuliko nchi yoyote duniani pia miji yake ina ustaarabu wa kale kuliko nchi yoyote ya ulaya
Jaribu kutembelea miji Hii utaamini nisemayo
Turin
Milan
Genoa
Rome
Cicily
Kisiwa cha Cicily ndipo kundi la mafia lilizaliwa
Miaka sita niliyokaa italia nimejifunza mambo mengi umaskini upo hasa kusini ila kwa ujumla ni nchi tajiri yenye viwanda vingi vikubwa
Waitalia wanapenda Sana ngono hata viongozi wa serikali wanakumbwa Sana na haya makashfa ya ngono rejea kashfa ya dungadunga ya waziri mkuu tajiri Silvio berluscon angalau Romano prodi alikuwa ametulia ukifika Roma usisahau kufikia piaza navona
Karibuni italia
nchi Hii ina hazina ya historia ya kale iliyohifadhiwa vyema pengine kuliko nchi yoyote duniani pia miji yake ina ustaarabu wa kale kuliko nchi yoyote ya ulaya
Jaribu kutembelea miji Hii utaamini nisemayo
Turin
Milan
Genoa
Rome
Cicily
Kisiwa cha Cicily ndipo kundi la mafia lilizaliwa
Miaka sita niliyokaa italia nimejifunza mambo mengi umaskini upo hasa kusini ila kwa ujumla ni nchi tajiri yenye viwanda vingi vikubwa
Waitalia wanapenda Sana ngono hata viongozi wa serikali wanakumbwa Sana na haya makashfa ya ngono rejea kashfa ya dungadunga ya waziri mkuu tajiri Silvio berluscon angalau Romano prodi alikuwa ametulia ukifika Roma usisahau kufikia piaza navona
Karibuni italia