MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 5,165
- 13,217
Tunatakuwa tujifunze kwanza kati ya Ethiopia na Eritrea.
Ila ninacho kijua
ZRA itakuwa imezidi kuimarisha nguvu zake.
Chuo Cha ufundi kitabaki vile vile
Polisi kamishna wa Zanzibar atakuwa Inspector jenerali wa Zanzibar
Uhamiaji kamishna wao atakuwa Kamishna jenerali wa Zanzibar na mamlaka yake yatakuwa kamili
KVZ ndio litakuwa jeshi la nchi ya Zanzibar
Jku itachukuwa atam ya jkt kule Visiwani
Volunteer ndio itakuwa mgambo kule kwao
Kmkm ndio Navy Yao kule Zanzibar
Tutaanza ugomvi wa mpaka kama Malawi kwenye maji
Ila ninacho kijua
ZRA itakuwa imezidi kuimarisha nguvu zake.
Chuo Cha ufundi kitabaki vile vile
Polisi kamishna wa Zanzibar atakuwa Inspector jenerali wa Zanzibar
Uhamiaji kamishna wao atakuwa Kamishna jenerali wa Zanzibar na mamlaka yake yatakuwa kamili
KVZ ndio litakuwa jeshi la nchi ya Zanzibar
Jku itachukuwa atam ya jkt kule Visiwani
Volunteer ndio itakuwa mgambo kule kwao
Kmkm ndio Navy Yao kule Zanzibar
Tutaanza ugomvi wa mpaka kama Malawi kwenye maji