Itakuwaje siku Muungano ukivunjika?

Itakuwaje siku Muungano ukivunjika?

Na uvunjike,
Raia walio na nafuu ya muungano ni wazanzibar
Acha wajitegemee
-Jeshi litapata kazi ya kufanya badala ya kudeal na upinzani
Mimi si muuminiwa muungano kwa namna navyowaona na kuwachukulia wazenji wanaojihisiwao ni waarabu,masharti kibao mbongo anapoenda kwao lakini wakija huku wanajisahau
 
Salaam wakuu,

Najaribu kuwaza itakuwaje siku muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika,

Je Tanzania nayo itakufa, maana ni zao la muungano huo.

Katika mambo haya ambayo tunashirikiana chini ya muungano, ni ipi hatma yake.

-Ulinzi na usalama wa taifa
-Mambo ya nje (diplomasia)
-Uraia
-Sarafu na benki kuu
-Usajili wa vyama vya siasa
-Elimu ya juu
-Uhamiaji
-Posta na mawasiliano
-Kodi ya mapato ya kitaifa
-Leseni za viwanda vya kimataifa
-Huduma za anga
-Mambo ya mafuta na gesi


Pamoja na kwamba Zanzibar itakuwa ni taifa huru, je imejipangaje kiuchumi pale utakapoyumba kutokana na kutegemea zaidi misaada au rasilimali kutoka Tanganyika?

Vipi kuhusu utaifa?

Naomba kufahamishwa katika hayo kwanza japo ya kuuliza ni mengi.
Tutafanya sherehe ya kufa mtu!
 
Salaam wakuu,

Najaribu kuwaza itakuwaje siku muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika,

Je Tanzania nayo itakufa, maana ni zao la muungano huo.

Katika mambo haya ambayo tunashirikiana chini ya muungano, ni ipi hatma yake.

-Ulinzi na usalama wa taifa
-Mambo ya nje (diplomasia)
-Uraia
-Sarafu na benki kuu
-Usajili wa vyama vya siasa
-Elimu ya juu
-Uhamiaji
-Posta na mawasiliano
-Kodi ya mapato ya kitaifa
-Leseni za viwanda vya kimataifa
-Huduma za anga
-Mambo ya mafuta na gesi


Pamoja na kwamba Zanzibar itakuwa ni taifa huru, je imejipangaje kiuchumi pale utakapoyumba kutokana na kutegemea zaidi misaada au rasilimali kutoka Tanganyika?

Vipi kuhusu utaifa?

Naomba kufahamishwa katika hayo kwanza japo ya kuuliza ni mengi.
Huenda mabadiliko yanayozuiwa leo ikawa ni mwanzo wa mabadiliko ya kweli.
 
Salaam wakuu,

Najaribu kuwaza itakuwaje siku muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika,

Je Tanzania nayo itakufa, maana ni zao la muungano huo.

Katika mambo haya ambayo tunashirikiana chini ya muungano, ni ipi hatma yake.

-Ulinzi na usalama wa taifa
-Mambo ya nje (diplomasia)
-Uraia
-Sarafu na benki kuu
-Usajili wa vyama vya siasa
-Elimu ya juu
-Uhamiaji
-Posta na mawasiliano
-Kodi ya mapato ya kitaifa
-Leseni za viwanda vya kimataifa
-Huduma za anga
-Mambo ya mafuta na gesi


Pamoja na kwamba Zanzibar itakuwa ni taifa huru, je imejipangaje kiuchumi pale utakapoyumba kutokana na kutegemea zaidi misaada au rasilimali kutoka Tanganyika?

Vipi kuhusu utaifa?

Naomba kufahamishwa katika hayo kwanza japo ya kuuliza ni mengi.
Siku hiyo jw litawapiga polisi na hapo ndipo ccm nayo itatoka madarakani maana jw linatakuwa limexhoja uonevu wa polisi kwa wananchi
 
Muungano ukivunjika, Hakutakuwa na sherehe za Muungano kwenye kalenda.
 
Ni upumbavu kuvunja muungano wa africa kwa africa!, hili likija kujitokeza hakika tunatakiwa kutawaliwa upya mimi sioni haja yoyote ya africa sehemu popote kutengana!, Hilo ni hubiri ambalo halifai kabisa..
Kwa mtu yoyote anaweza kutengana ktk hili bara ni mpuuzi wamwisho mpk sasahivi haikutakiwa tuendelee kuishi kwenye mipaka yakikoloni Africa ni state moja tu!, nothing else hayo mengine ni mbwembwe na ujinga!.

Dini ni ujinga!.
zimekuja kuvuruga taswira ya muafrika!.

Vizazi vijavyo vitakuja kuona tulivyochelewa na watatulaumu sana!, sisi kila leo na kesho tumeendelea kuwa vijakazi kwenye nchi zetu wenyewe!, nguvu zakiuchumi bado wanazo wazungu na waarabu na viongozi wetu wapo tu wanakenua!.
kuzungumzia utengano ni kuturudisha kwenye mkutano wa Berlin huko which is nonsense!
Badala ya kujadili hoja wewe umepaniki. Mmoja wa waasisi wa huu muungano aliwahi kusema muungano ni sawa na koti tuu likikubana unalivua. Mzee mwingine aliwahi nukuliwa akisema angekuwa na uwezo kisiwa hiki angelikisogeza mpaka katikati ya bahari ya hindi. Sasa wewe mwenzangu na miye uliyetoka huko Kipindimbi ndani ndani, mipovu inakutoka 🤣🤣...mleta uzi amehoji tuu kwamba "kama" yaani just assumption, wewe povu kama lotee..
 
Tanganyika itayumba sababu itakuwa Haina Rais alipo ni Rais wa Tanzania hivyo TZ ikifa Tg itayumba!
Zenj haita yumba sababu Wana Kila KITU KUITWA Taifa.
Tatizo history hamfuatilii mko bize na mipira Vs Mondi na Kiba. Umewahi kufuatilia Tanzania iliundwaje baada ya muungano? Ukiacha kuchanganya udongo na mengineyo ukweli ni kwamba vitu vingi vya iliyokuwa inaitwa TANGANYIKA vilibadilishwa na kuwa TANZANIA...
 
Badala ya kujadili hoja wewe umepaniki. Mmoja wa waasisi wa huu muungano aliwahi kusema muungano ni sawa na koti tuu likikubana unalivua. Mzee mwingine aliwahi nukuliwa akisema angekuwa na uwezo kisiwa hiki angelikisogeza mpaka katikati ya bahari ya hindi. Sasa wewe mwenzangu na miye uliyetoka huko Kipindimbi ndani ndani, mipovu inakutoka 🤣🤣...mleta uzi amehoji tuu kwamba "kama" yaani just assumption, wewe povu kama lotee..
Asante kwa kunisaidia kulielewesha hilo
 
Tatizo history hamfuatilii mko bize na mipira Vs Mondi na Kiba. Umewahi kufuatilia Tanzania iliundwaje baada ya muungano? Ukiacha kuchanganya udongo na mengineyo ukweli ni kwamba vitu vingi vya iliyokuwa inaitwa TANGANYIKA vilibadilishwa na kuwa TANZANIA...
Ndio umebishia Nini??
Yaani mpaka mishipa ya shingo inakutoka 🙄😆😆😆
 
Wait kwanza tukitengeneze hiki kisiwa kiwe Dubai ndogo, then ukuta Kwa Berlin utavunjwa tu iwe isiwe

Nchi ya mazuzuland watabaki wanapambana na madeni yao
 
Back
Top Bottom