KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,443
- 5,538
Salaam wakuu,
Najaribu kuwaza itakuwaje siku muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika,
Je Tanzania nayo itakufa, maana ni zao la muungano huo.
Katika mambo haya ambayo tunashirikiana chini ya muungano, ni ipi hatma yake.
-Ulinzi na usalama wa taifa
-Mambo ya nje (diplomasia)
-Uraia
-Sarafu na benki kuu
-Usajili wa vyama vya siasa
-Elimu ya juu
-Uhamiaji
-Posta na mawasiliano
-Kodi ya mapato ya kitaifa
-Leseni za viwanda vya kimataifa
-Huduma za anga
-Mambo ya mafuta na gesi
Pamoja na kwamba Zanzibar itakuwa ni taifa huru, je imejipangaje kiuchumi pale utakapoyumba kutokana na kutegemea zaidi misaada au rasilimali kutoka Tanganyika?
Vipi kuhusu utaifa?
Naomba kufahamishwa katika hayo kwanza japo ya kuuliza ni mengi.
Najaribu kuwaza itakuwaje siku muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika,
Je Tanzania nayo itakufa, maana ni zao la muungano huo.
Katika mambo haya ambayo tunashirikiana chini ya muungano, ni ipi hatma yake.
-Ulinzi na usalama wa taifa
-Mambo ya nje (diplomasia)
-Uraia
-Sarafu na benki kuu
-Usajili wa vyama vya siasa
-Elimu ya juu
-Uhamiaji
-Posta na mawasiliano
-Kodi ya mapato ya kitaifa
-Leseni za viwanda vya kimataifa
-Huduma za anga
-Mambo ya mafuta na gesi
Pamoja na kwamba Zanzibar itakuwa ni taifa huru, je imejipangaje kiuchumi pale utakapoyumba kutokana na kutegemea zaidi misaada au rasilimali kutoka Tanganyika?
Vipi kuhusu utaifa?
Naomba kufahamishwa katika hayo kwanza japo ya kuuliza ni mengi.