Watu JF-Expert Member May 12, 2008 3,231 1,470 Jul 1, 2012 #1 Hebu jiulize, 1. Madakatari wote waliogoma na kufukuzwa kazi wakichukua kadi za chadema? 2. Baadhi yao wkipewa majimbo kama sugu?
Hebu jiulize, 1. Madakatari wote waliogoma na kufukuzwa kazi wakichukua kadi za chadema? 2. Baadhi yao wkipewa majimbo kama sugu?
Sigma JF-Expert Member Feb 26, 2011 5,006 1,254 Jul 1, 2012 #2 Hebu fikiria tena. Sidhani kama madaktari waliogoma ni wana chadema
Bishop Hiluka JF-Expert Member Aug 12, 2011 7,140 14,678 Jul 1, 2012 #5 Watu said: Hebu jiulize, 1. Madakatari wote waliogoma na kufukuzwa kazi wakichukua kadi za chadema? 2. Baadhi yao wkipewa majimbo kama sugu? Click to expand... Wakiingia kwenye siasa nani afanye kazi ya kutibu? Sidhani kama ni busara kila mtu kuwa mwanasiasa...
Watu said: Hebu jiulize, 1. Madakatari wote waliogoma na kufukuzwa kazi wakichukua kadi za chadema? 2. Baadhi yao wkipewa majimbo kama sugu? Click to expand... Wakiingia kwenye siasa nani afanye kazi ya kutibu? Sidhani kama ni busara kila mtu kuwa mwanasiasa...
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,209 42,071 Jul 1, 2012 #6 Sidhani kama wewe mwenyewe kama umefikiri vizuri kuisisha swala hili na siasa!