Simple
JF-Expert Member
- Feb 6, 2009
- 249
- 121
- Thread starter
- #21
Sidhani kama maandalizi ni kikwazo, navyojua mimi ni kuwa Tanzania ya sasa si ya zamani, sasa hivi kuna technologia ya kueneza ujumbe kwa kutumia media mbalimbali kwa haraka sana kuwafikia wananchi hata wa vijijini.
Mpaka 30 oct ifike naamini wananchi wengi watakuwa wamepata ufahamu mzuri kuhusu Dr Slaa na sera zake.
Mzee unaishi dunia gani? hakuna lifanyikalo kiusahihi bila maandalizi ya kutosha,,usikurupuke tu kutoa maoni,,na usitumie imani kwenye siasa,,bali matendo,,,sijaona 'Active Campaigning' kwenye social media zaidi ya hapa JF,,,wahandishi uchwara wote wamenunuliwa,,so weka bayana ni media gani hizo zitatumika?,,nguvu kubwa ilibidi iwekwe kwenye 'Social Media' kwani humo ni vigumu kwa CCM kueneza propaganda zake,,Zitto aliliona hilo ndo maana akafungua blogu yake,,i guess Last month...viongozi wote na chadema kwa ujumla walipaswa kuiga mfano ule na kueneza ushawishi kwe nye,,Facebook,Twitter,Blogs,,Youtube na social media nyingine,,,watanzania vijana haipiti siku hawajaenda humo..