Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,232
- 12,733
Bwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri ni nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?
Nafikiri hili swali najiuliza sana kula uchwa! Hilda Newton au kenani kihongosi wanasitahiliBwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri no nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?
Kwa akili yako unaamini kabisa Dj atang'atuka?..hivi bavicha akili zenu ziko sawa kweli.?Bwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri no nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?
Godbless LemaBwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri no nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?
HAONDOKI MPAKA TUPATE KATIBA MPYABwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri ni nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?
Jamaa akiachia basi chawa wengi humu watakufa na njaa, na wengi wao hatutowaona tena hapa JF kwani zile data wanazotumiwa sasa na mwenyekiti watazikosa.Bwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri ni nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?
Actualy atapatikana tu mwingine, si yeye pekee mwenye uwezo wa kuongozaBwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri ni nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?
Putin yupo kwenye konda bukta inadondoka, Crimea inaondoka we mzee una habari ?Kwa mujibu wa machadema, Mbowe akiondoka na chama kinakufa!
Mh Freeman Aikael MBOWE akifanikiwa kukipa CDM Dola, ataruhusiwa kukabidhi chama Kwa mwingine.Bwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri ni nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?
ExactlyJohn Heche
Bwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri ni nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?