SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,068
Tume ya pili ikisema tu kuwa MIKATABA inaruhusu kusafirisha mchanga kwa kiwango kile basi reports zimeshafananaInaelekea hili sakata hujalifuatilia vizuri
Kwani kila tume ilipewa majukumu mawili tofauti
Tume ya kwanza ilikua inachunguza kiasi cha madini kilichopo kwenye mchanga
Tume ya pili yenyewe inachunguza athari za kiuchumi na sheria
Hivyo ripoti haziwezi kufanana