Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
- Thread starter
- #21
Soory umechelewa la sivyo. Project itakuwa un managableEmbu edit uniongeze hapo!
Ni rahisi kufanya IT project ya watu 20 mkiwa ofisi moja lakini ni kazi kubwa kufanya project kama hiyo ya watu hata 10 kila mtu akiwa remote. Its a challenge by itself.
Hope utaelewa . utashirikishwa next time ukiwepo.
To: Team members na Project leader
Lets brain storm site map ya website na Design ya daatabase tutakayokuwa nayo back edn, regarless of implemtations solution tutakayotumia.
eg
---Home page itakuwaje na viunganisho(link) gani , input field search box ,etc
---Idadi na majina ya tables, field za table etc