Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 636
- 1,115
Ni ujinga tuKuliwa mate ni uamuzi wa mtu na mpenzi wake sio excuse ya kunyima mark's au kukusumbua na akiwa anapewa uchi atoe free marks huoni kuwa ni hatari ya kupata wataalamu hewa.
Dah Bora rushwa ya hela kuliko rushwa ya ngono aisee Mimi naweza tembea na sumu kabisa kwa wahuni wa hivyo inaumiza sana
Ni slayqueen hujafikisha cozwork unakuja kunililia nikuongeze marks naachaje kukuomba mbunye?.