samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Imagine mwalimu kakuona club unaliwa mate kizembe halafu aombe mzigo ulete mambo ya kingese? Lazma akudake tu
Halafu una chura, miguu imeshiba....anakuona masela wanakutafuna tu halafu unakuja kutia huruma na vimarks vyako mbuzi...lazima uliwe tu....