Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
kuna yule dada anaitwa Rachel Udoba....huwa akitangaza habari mawazo yake yanakuwa hayapo pale...anakuwa na mawazo yake mengine,anakufanya msikilizaji usubiri kusikiliza anataka kusema nini....very boring
Kesha acha kazi