Israeli yaelekea kushindwa kuwamaliza na kuwateketeza kundi la Hamas kama walivyoahidi

Habari ndefu sana
 
Watapigana hivyo hadi lini mamia ya raia wanataabika? Shughuli za kiuchumi zimesimama, watoto hawaendi shule, maelfu wamesongamana kwenye kambi za wakimbizi.
 
wahuthi wa Yemen na Algeria wamesaidia Hamas kwa kuzuia meli za mzigo wa silaha.
Ficha upumbavu wako,
Hao wanaweza kutumia air tu na wakasmugler silaha vizuri tu Israel.
Houthi ni taka tu kwa US na EU wanauliwa asubuhi tu wasisumbue.
10 juzi hapo wametandikwa na wakazikwa humohumo majini waliwe na samaki,we bado unaongea kuhusu houth.
Jinga kabisa
 
Vita ni akili haijalishi roketi imerushwa toka wapi, iwe chooni ama hotelini jambo la muhimu adui auwawe.

Haijalishi roketi zirushwe 500 ama 20 ilimradi hizo chache zinazorushwa zimdhuru adui.

IDF wenyewe wanakiri kupoteza ila nyie waswahili mnawakanushia.
 
Hayo ni maneno yako tu ila haysondoi ukweli kuwa Wayahudi wanadhalilishwa kila kukicha. Walichoganikiwa mpaka Sasa ni kuuwa wakimbizi na kulipua majumba
 
Mbona unaruka ruka kama maarage kwenye chungu mara Hizbollah mara Hamas kaa sehemu moja bas tukuelewe.

Kwa kukusaidia tu IDF inapambana na Hamas hao Hizbullah wanawashwa tu wakiendelea hivyo siku inakuja watakunwa vizur tu kama wenzao wa Gaza.
Mara ya mwisho vita ya Israeli na Hizbula iliisha Kwa mazungumzo ya mezani baada ya kutoa ngoma droo tena ilikuwa vita ya rusha nirushe sio ya kuviziana kama ya Hamas

IDF hafurukuti Kwa Hizbula
 
Tanzania tulichukua zaidi ya mwaka kumkimbiza Nduli dada, vita ya Dunia zaidi ya miaka mitano kummaliza Hitler, hawa wanaojificha ardhini kama viazi au mihogo na wanavaa hijabu hawana uniform hawana kambi utawamaliza miezi mitatu!!!
 
Hao wanaojiita makamanda wa mahamasi wenyewe wamekimbia na kujificha mashimoni hata ktk tv wanaogopa kujitokeza kwa kuogopa IDF, wkt kina Netanyahu wanatembelea Gaza wanavyotaka.
 
Kwa hiyo unasubiri refa aongeze muda ndo msawazishe? Hamas nao wanaomba muda uongezwe Ili wagonge misumari zaidi
Haya ndo tunawpenda kuyasikia. Acha wabondane hata kwa miaka kumi mwisho wa siku mbabe atajulikana. Mimi na wewe tuagize Pepsi
 
Tanzania tulichukua zaidi ya mwaka kumkimbiza Nduli dada, vita ya Dunia zaidi ya miaka mitano kummaliza Hitler, hawa wanaojificha ardhini kama viazi au mihogo na wanavaa hijabu hawana uniform hawana kambi utawamaliza miezi mitatu!!!
Mkuu, unawafamu uzuri Hamas?
 
Mara ya mwisho vita ya Israeli na Hizbula iliisha Kwa mazungumzo ya mezani baada ya kutoa ngoma droo tena ilikuwa vita ya rusha nirushe sio ya kuviziana kama ya Hamas

IDF hafurukuti Kwa Hizbula
Sasa hivi kuna makundi zaidi ya manne yale yanojulikana rasm ni Hamas, IJ, Hezbolla, na Wahuthi.

Hawa wajiita Axis of Resistance kwenye mashariki ya kati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…