Israel yashambuliwa

Israel yashambuliwa

Subirini show show ukiua Muisrael mmoja jiandaeni kufa zaidi ya mia
Hawa wa Palestina ndugu zake madam FaizaFoxy wazee wa kunena ALLAH AKBAR pale tu baada ya kumuua binadamu mwenzao sipati picha jinsi mu Israel Prime Minister Ndetanyahu akiwaandalia shoo moja kabambe, konkodi na ya kibabe mno!
 
Tulia uone show watayopigwa hao wavaa kobasi na vinjunga nusu... Palestine inaenda kumegwa nusu
Palestina ina wakistru pia! Usije kujidanganya kuwa mgogoro wa Palestina na Israel ni mgogoro wa kidini ata siku moja.
 
Hamas wameliamsha dude, tulia usikilizie muziki wako, wanakuambia hawashindwi katika misheni zao. Hao magaidi watajuta kuichokoza Israel.
 
Waisrael na wafuasi wao huwa wanajigamba hoo wataalam wa intejensia, hoo wabobezi wa usalama na vita. Leo wamekiona cha moto kwa mbinu za kimila/kienyeji za Hamasi. Israel ijifunze kuheshimu HAKI za wengine, hasa wapalestina. Wanapoteza muda kunyang'anya meno ya mahakama badala ya kulinda usalama wa nchi yao.
 
Hawa wa Palestina ndugu zake madam FaizaFoxy wazee wa kunena ALLAH AKBAR pale tu baada ya kumuua binadamu mwenzao sipati picha jinsi mu Israel Prime Minister Ndetanyahu akiwaandalia shoo moja kabambe, konkodi na ya kibabe mno!
Kwani yaneanza jana? Sema jana watu yamewafika shingoni, liwalo na liwe, kama kuuliwa wapalestiuna ni kila siku kwa miaka zaidi ya 75 sasa.
 
wajinga wachache wanaodhani Palestina yote ni Waislam kumbe na wakristo wengi tuu.
 
Waisrael na wafuasi wao huwa wanajigamba hoo wataalam wa intejensia, hoo wabobezi wa usalama na vita. Leo wamekiona cha moto kwa mbinu za kimila/kienyeji za Hamasi. Israel ijifunze kuheshimu HAKI za wengine, hasa wapalestina. Wanapoteza muda kunyang'anya meno ya mahakama badala ya kulinda usalama wa nchi yao.
Tangu kuumbwa kwa dunia hakujawahitokea Taifa lolote lililopigana vita mfululizo visivyoisha zaidi ya Israel na Palestine, bisha kwa ushahidi wala si mahaba....

Sasa unaanzaje kukejeli Israel kwa shambulizi zito 1 walilopata juzi ilihali bado Taifa lipo na Wazuri Mkuu wao kashatangaza kuwa Israel itafanya malipo tokana na maafa yaliyotokea Gaza juzi?
 
Palestina ina wakistru pia! Usije kujidanganya kuwa mgogoro wa Palestina na Israel ni mgogoro wa kidini ata siku mojahata kama ni mixa kwann wakawashambulie..watu wame tulia zao ngoja wapelekewe moto
 
Back
Top Bottom