Israel yashambulia vituo vya Hamas huko Gaza

Israel yashambulia vituo vya Hamas huko Gaza

Jumuiya ya kimataifa ina condemn strikes za Israel ambazo most of the time hazi discriminate between military targets na civilians.

Lakini little is done kwasababu huwa naona kama Israel huwa wanakuwa 'pampered' sana international community wakiongozwa na US na UN.

Israel plays the victim kila mahali since ile Holocaust kule Germany under Nazi regime na kuongezeka kwa vitendo vya antisemitism around the word.

To be fair ni kuwa mimi naona occupation ya Israel katika West Bank na Gaza sio kitu poa kwa Palestinians na tokea Hamas wamechukua uongozi in mid 2000s wamekuwa in constant conflict vs Israelis.
Usingeitaja US ningeshangaa (utani)

Hawa US na UK ndio waliitengeneza Israel kama nchi kwa "kuwadhulumu" wapalestina ardhi yao. Sina uhakika kama US alikuwepo ila UK nadhani ndio alikuwa anatawala huko kipindi hicho. Wakawachezea mchezo.

Ukiongelea Jumuiya ya mataifa unategemea ni sawa unaongelea UK, na US hamna tofauti. Unategemea nini hapo?

Na ni lazima US wawa-'pamper' Israel kwani Geopolitically, Israel na America wana-share the same interest, US anamtumia Israel na Israel anamtegemea US ambayo ni very common in geopolitical strategies throughout history.

Hii conflict haitakaa iishe, nawaonea huruma hawa Hamas kwa sababu wana tegemea siku moja wataiangusha Israel.
 
Wamiliki ni
Tehran na Damascus

Sasa hivi wote wawili wapo katika misukosuko kabambe ...... Hamass wanabip tu..... kihalisia
Hezbollah na Hamass ni majeshi kutoka Tehran na Damascus pamoja na vifaa vitumikavyo.

Sasa hivi utulivu unaonekana ni sababu sponsors wamekalia makaa ya moto.
Ile kumuua Soleimani US wamefanya strategy Moja kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usingeitaja US ningeshangaa (utani)

Hawa US na UK ndio waliitengeneza Israel kama nchi kwa "kuwadhulumu" wapalestina ardhi yao. Sina uhakika kama US alikuwepo ila UK nadhani ndio alikuwa anatawala huko kipindi hicho. Wakawachezea mchezo.

Ukiongelea Jumuiya ya mataifa unategemea ni sawa unaongelea UK, na US hamna tofauti. Unategemea nini hapo?

Na ni lazima US wawa-'pamper' Israel kwani Geopolitically, Israel na America wana-share the same interest, US anamtumia Israel na Israel anamtegemea US ambayo ni very common in geopolitical strategies throughout history.

Hii conflict haitakaa iishe, nawaonea huruma hawa Hamas kwa sababu wana tegemea siku moja wataiangusha Israel.
Haha ni ngumu sana uzungumzie Middle East Crisis bila kuwahusisha Westerners.

In my opinion it was unfair kwa wao kuruhusu re-settlement ya Jews kwenye land ambayo hawawepo for so many centuries. Arabs walisha settle hapo for centuries na kufanya mambo mengi sana.
 
Haha ni ngumu sana uzungumzie Middle East Crisis bila kuwahusisha Westerners.

In my opinion it was unfair kwa wao kuruhusu re-settlement ya Jews kwenye land ambayo hawawepo for so many centuries. Arabs walisha settle hapo for centuries na kufanya mambo mengi sana.
Lakini wangeenda wapi wayahudi na walipokuwa walitimuliwa na kunyanysika?
Kumbuka pale ni kwenye ardhi ya mababu zao.
 
Lakini wangeenda wapi wayahudi na walipokuwa walitimuliwa na kunyanysika?
Kumbuka pale ni kwenye ardhi ya mababu zao.
Lakini after all those hundreds of years huwezi kurudi tu from nowhere unakuja ku claim kuwa ni ardhi ya mababu wakati watu wengine wameshaiendeleza.

Jews wamerudishwa Palestinians wamelost land yao, identity, heritage and most of them wakaishia kuwa refugees kwenye nchi za waarabu wenzao.

There must have been even a better way of resolving the conflict. The problem ni kuwa Israelis played victims and they were backed by the US and UN. Even the Arab League could not do anything.
 
Mungu alivyoumba hii dunia, aliwapa kila kabila eneo la kuishi.Waisrael walidhulumiwa eneo lao na mataifa pinzani, ila kwa kupata msaada wanajaribu ku re-establish taifa lao. By then conquering occupation ilikuwa ni njia ya kawaida ya kuongeza au kunyakua eneo, ndio maana unaweza kuona hata waarabu wamejazana Africa. Israel bado anatumia njia hii katika kuunda Israel mpya.
Usingeitaja US ningeshangaa (utani)

Hawa US na UK ndio waliitengeneza Israel kama nchi kwa "kuwadhulumu" wapalestina ardhi yao. Sina uhakika kama US alikuwepo ila UK nadhani ndio alikuwa anatawala huko kipindi hicho. Wakawachezea mchezo.

Ukiongelea Jumuiya ya mataifa unategemea ni sawa unaongelea UK, na US hamna tofauti. Unategemea nini hapo?

Na ni lazima US wawa-'pamper' Israel kwani Geopolitically, Israel na America wana-share the same interest, US anamtumia Israel na Israel anamtegemea US ambayo ni very common in geopolitical strategies throughout history.

Hii conflict haitakaa iishe, nawaonea huruma hawa Hamas kwa sababu wana tegemea siku moja wataiangusha Israel.
 
Back
Top Bottom