Israel yashambulia ngome ya Iran huko Syria

Yale machuma mrusi aliyofunga hapo Syria ni kama hayafanyi kazi. Yaani ndege za Israel zinapita kwenye hayo hayo machuma kujipigia maeneo mbalimbali. Ukichunguza vizuri unaweza kuta mrusi kafunga machine za kusaga mahindi huko Syria.
Wafuasi wa nabii Tito hawajifichi
 
Kuna watu wabishi sana hapa Duniani sijapata kuona.umbali wa kutoka Lebanon mpaka Port ya Latakia ni 300km.wakati makombola yana uwezo wa kwenda mpaka 3000km(mara 10 ya uwo umbali unaosema wewe).

Acha kubisha vitu usivyovijua
Acha kuleta mihemko kenge wahed
 
Unafahamu kiingereza vizur?...nionyeshe mstar uliandikwa kuwa Israel inaomba ruhusa ifanye mashambulizi Syria

Prime Minister Naftali Bennett and Russian President Vladimir Putin agreed during their meeting in Sochi on Friday that the two nations would continue to implement the so-called deconfliction mechanism that works to prevent Israeli and Russian forces from clashing in Syria, a senior Israeli official said.
Moscow maintains state-of-the-art S-400 air defense systems to protect its own assets in Syria, but has never turned them on Israeli planes.
Israeli military analysts on both Channel 12 and 13 said Friday that during the meeting Putin agreed to Israel maintaining its freedom of action in Syria, but had asked for additional advanced warning of strikes.,
 
Back
Top Bottom