alisema lini?Mungu Aliye hai...Muumba wa Mbingu na nchi....
Hujui kama wa Israel,walichonganishwa,wakauliwa maelfu kwa maelfu na Hitler.Na waarabu wanaochanganishwa hawako dini moja, wako waislamu na wako wakristo pia.Na kwanini hao waarabu wakubali kuchonganishwa wakati Ni wafuas was dini ya kweli? Kwanini wakubali kuchonganishwa Na kuuwana hovyo hovyo wao kwa wao. Kwanini hao waarabu wasiwachonganishe waisrael wauwane wenyewe kwa wenyewe???
Waisrael pia walichonganishwa,wakauliwa maelfu kwa maelfu na Hitler.Na hao waarabu wanaochanishwa hawako dini moja, wako waislamu na wako wakristo.Na kwanini hao waarabu wakubali kuchonganishwa wakati Ni wafuas was dini ya kweli? Kwanini wakubali kuchonganishwa Na kuuwana hovyo hovyo wao kwa wao. Kwanini hao waarabu wasiwachonganishe waisrael wauwane wenyewe kwa wenyewe???
Hao waisrael pia walichonganishwa,wakauliwa maelfu kwa maelfu,hii muisrael hasau maishani mwake.Ukikubali kuchonganishwa inamaana unakuwa na low thinking capacity
Barack Obama RoadIsrael mi huwa siwamini hata kidogo. Ukiwakaribisa umekaribisha marekani
Hili kweli taifa teule,lisilomtambuwa Yesu, na kumuita mtoto wa nje ya ndoa.Karibuni Israel...Waafrika tunawapenda sana yaani saaaana.....Njooni tu....Taifa teule....
No, No, hapana, Africa hatuhitaji mwangalizi kutoka huko.
Si ajabu anaweza kukubaliwa kuingia AU maana Afrika inazidi kupoteza uelekeo wa kujitawala, hasa baada ya kufariki kwa mashujaa wetu kama vile; Kwame Nkrumah, Julius K. Nyerere, Sir seretse khama, Martin Luther King Jr, Samora Machel, Nelson Mandela n.k
Afrika inazidi kupoteana.
Huwa najiuliza sana maswali, je ni lini Afrika itapata wapiganaji na wazalendo kama hao niliowataja hapo juu?
kuna miungu wengi...jehova,allah,ptah nkKwani wewe Umeniuliza nini?
Duu kwani Wamarekani hawapo hapa nchini ?Israel mi huwa siwamini hata kidogo. Ukiwakaribisa umekaribisha marekani
Afadhali hii, Libya wanafanywa watumwa na nchi nyingine za kiarabu wanasukumwa kutokea kwenye magorofaIsrael has begun to toughen its stance toward refugees, telling unwanted Africans here they must leave now or face an indefinite stay in prison.
Israeli authorities are sending letters to the first of 45,000 Eritrean and Sudanese refugees, informing them they have 30 days to accept Israel’s offer of $3,500 in cash and a one-way ticket home or to an unnamed third country in Africa, or face incarceration at Saharonim prison.
Israeli leaders have proclaimed that their tough approach — building a fence along the country’s border, denying work permits for illegal migrants, forcing them into a detention center in the desert — may ultimately save lives by dissuading migrants from attempting a perilous journey. Critics of the Israeli policy counter that a country built by refugees should be more accepting of those fleeing war, poverty and oppression.
Israeli government to refugees: Go back to Africa or go to prison
Walibya wanawauza hawa blacks kwa mnada kama dagaa, na hapo Libya ipo Africa, jiulize wangefanya nini kama Libya ingekuwa nje ya Africa.Wengi humu,washabiki wa Israel,hawajui kiingereza,hii habari hawatailewa.Watafikiria ni matangazo ya biashara.Wakati waafrika wanatimuliwa Israel hawatakiwi.
jehova huyu wa kwenye kitabu mnachoita biblia?Jehova
Sisi hawana cha kupoteza. Nahisi wanataka wapalestina wawahamishe kabisa kule. Wawalete huku kwetuWamewachonganisha Waarabu wee wakafanikiwa, daha sasa wanataka kuja kwetu Daah twafwa