Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,742
- 7,431
Waafrika akili zetu za kipumbavu Sana, na hii inatokana na ulaji wa ugali ambao Marekani wanatumia kwa kulisha mifugo na kutengeneza Gas ya ethanol. Marekani wanasema ugali unafanya akili inakuwa pumbavu ndio maana tunatawaliwaUjinga mwingine huu,Yaani miafrica bana hovyo kabisa.Yaani muuzane wenyewe halafu mnasingizia European Union,Ni kwa nini wasiuzwe walibya ambao nchi yao imebaki magofu,mje muuzwe nyie weusi mnaokimbia kwenu.Hebu kila mmoja abaki nchini kwake uone kama huo uonevu hautakoma?.Biashara ya utumwa Libya ni ujinga wa kiafrica tu,hakuna cha mzungu wala nini.Badilikeni,kaeni nchini mwenu piganeni na maisha muone kama mtauzwa hovyo hovyo.