babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,281
- 16,268
Walishaambiwa zamani sana,ua mmoja wetu tunaondosha 100 wa kwenu.Kwa hiyo una justify mauaji ya raia 500 kwa hiyo sababu? Really?
Kwa hiyo wakipiga makanisa 10 kwa unachotetea (10x500)=5000. Raia 5000 watakuwa wameuliwa!
Kama ni akili au imani yako ndiyo inamwelekeo huo?! Mungu wako ni muuaji na katili! Na kama ni akili yako basi wewe ni muuaji na katili.
Turudi kwenye hesabu.
Hammas wameua 500
500×100=ngapi?
Kipigo kinaendelea