ISRAEL v/s IRAN.

ISRAEL v/s IRAN.

Status
Not open for further replies.
Ayatollah Ali Khamen huyu ni Kiongozi wa kidini bila Shaka!
Na kwa mujibu wa unabii atakua anaelewa vizuri kile anachokisema!
Na atakua anafahamu nini kitakujatokea Hapo baada Kati ya Us Na Israel na Ulaya na Roma kwa ujumla!
Sio Kama Iran hana shida ya kuongea na Us ila ni kwamba ata Iran ifanyeje Us na washirika wake hawawezi kubadilika! Ni udhalimu kwa kwnda mbali! Na bila Shaka Ayatollah Ali Khamen anafaham wazi kua Us na washirika wake wataitawala Dunia kabla ya Kiama na kwa maanahiyo cola zote zitakazokwenda kinyume nao zitaangushwa!

Tumeona Iraq, Libya, Syria Iko njian na mataifa mengine ya kiarabu yamekua vibaraka yameupokea huo ufedhuli wa western!
Wakimaliza Syria wanaingia Iran na ndio Maana Hapo nyuma nilisema Iran lazima itapigwa tu kwa namna yeyote!

Hapa naongea kiimani na kwa mujibu wa Unabii unavonielez!
mpango wa marekani kuitawala dunia unafahamika,mpango wa kuwa na serikali moja na hatimae hata imani moja.

Iran tangu mwanzo iko kwenye hitlist ya hawa watu tangu zamani,na sababu kubwa ni mafuta ,ili watawale dunia lazima marekan icontrol uchumi wa dunia na bila kucontrol mafuta inakua ni kazi bure.
Sababu ingine ni nguvu za kijeshi za iran ambazo wanaziona ni tishio kwao kwahiyo lazima wamlegeze kama walivyomfanyia saddamu.
Kwahiyo zitatafutwa kila mbinu ili kufikia malengo.
Wanaochora zoezi zima ndo haohao waisrael waliokamata sehemu nyeti za serikali ya marekani na pia uchumi wa dunia.hao ni ule ukoo wa rothchild na rockfeller hawa ndo wanajiona wao ndo bora kuliko wote duniani na kuna wengine wanaamini hata mpinga kristo atatokana na wayahudi.
Lakini kama ijulikanavyo mambo hayo ndo yatapelekea ile vita kuu ambayo imeongelewa.
Kwahiyo hatusemi hawawezi kuishambulia iran,swali ni kwamba je watashinda,wataweza kweli kutawala dunia au mipango yao itafail.?
 
Mimi mtu anaesema Israel ni taifa la mungu afu ukimuuliza mungu yupi akantajia Yesu huwa nataka kuvunja mbavu zangu wallah! Naona kama wanazungumza kitu wasichokijua kabisa. Yaani badala ya sisi binaadamu kujipendekeza kwa mungu tupate kwenda peponi, mungu amekuwa anadhalilika kujipendekeza kwa viumbe alivoviumba mwenyewe.... Mnazitumia akili zenu ipasavyo lakini? Kwanza taifa la Israel HALI A KHABARI NA MUNGU ANAEITWA YESU! Kwa waisrael Jesus is the false messiah! Hawamkubali hata tone...... Yaani ata kwa bahati mbaya hawamtambui yesu! Wao ni Moses tu alowaletea ten commandments! Ebu angalieni japo google, judaism views on jesus mtajionea!

Na Israel vs Iran ni kiini macho, hawa majamaa hawatopigana, ni marafiki hawa lakini wanaajenda yao! Wangekuwa washapigana zamani kwa tension ilokuwepo
 
Judaism has never accepted any of the claimed fulfillments of prophecy that Christianity attributes
to Jesus. Judaism also forbids the worship of a person as a form of idolatry, since the central belief of Judaism is the absolute unity and singularity of God.
 
Cha bure ni neno la Mungu tu! Au kuna watu wanauza Siku hizi Injili......?
Nasubiri majibu!
Injili gani iko sawa leo duniani mbona hata Prophet Mussa alisema the Law (Bible) will get corrupted.

Deuteronomy 31:25-29 where Moses peace be upon him predicted the corruption/tampering of the Law (Bible) after his death.

GOD Almighty Said: "`How can you say, "We [the Jews] are wise, for we have the law of the LORD," when actually the lying pen of the scribes has handled it falsely?' (From the NIV Bible, Jeremiah 8:8)"

Fateni Quran nyie ndo kitabu kilicho baki kiko sawa.
 
Ukisoma kile kitabu cha Daniel 2:1-45 utaona Mfalme Nebuchandnnezzar anaota ndoto ya hayo yangelikuja tokea Hapo badae Yani tawala zote na nguvu zake na wengine kutawala Dunia kwa ujumla na mpaka tawala hizi za Leo na niñi kitatokea Hapo baada ya hizi tawala!


Sasa anachokizungumzia Ayatollah ni hiki cha kitabu cha Daniel 7 yote na Ufunuo13 yote! Kama utakua na nafasi utasoma kwa muda wako
Kwahiyo Ayatollah anafahamu vizuri kabisa kua nini kitakuja tokea Hapo mbele na anaelewa udhalimu utashinda tu!
 
Kwanini Ayatolla amwambie Rais wake kua anapoteza muda kijadili na Us na kwamba kua Us ni Sheitwan na Sheitwan Hua haaminiki?

Naomba tuojadili hii kauli ata Kama kwa Imani zetu!
Huyu Ayatollah anavigezo gani vya kumfanya aseme hivo na anaona niñi mbele na Huu Usheitwan wa Us kautoa wapi na utakua na mpango gani Na Dunia?
Naomba majibu!
Trust me Friends No one will walk with USA forever hata marafiki zake wanajua hayo.

Waulize viongozi wa Brasil na wengine wa Europe yani USA hana rafiki anaye muamini sababu siasa ya USA ina damu ya ki Israel, hawa watu hata wafanyiwe mazuri gani hawakumbuki utu.

Prophet Mussa aliwasaidia sana wa Israel lakini badaye wakamgeuka, yani siasa ya USA as long kuna wa Israel ndani yake itabaki kuwa ya ki adui yani usitegemee akilini kwako USA/Israel wana marafiki wa kweli ni kujidanganya tu.
 
Ukisoma kile kitabu cha Daniel 2:1-45 utaona Mfalme Nebuchandnnezzar anaota ndoto ya hayo yangelikuja tokea Hapo badae Yani tawala zote na nguvu zake na wengine kutawala Dunia kwa ujumla na mpaka tawala hizi za Leo na niñi kitatokea Hapo baada ya hizi tawala!


Sasa anachokizungumzia Ayatollah ni hiki cha kitabu cha Daniel 7 yote na Ufunuo13 yote! Kama utakua na nafasi utasoma kwa muda wako
Kwahiyo Ayatollah anafahamu vizuri kabisa kua nini kitakuja tokea Hapo mbele na anaelewa udhalimu utashinda tu!
Mimi huwa sisumbui akili yangu kusoma kitabu amabacho Prophet Mosses(Mussa) alisha sema kitakuwa currupted, mimi nafata abcde.

a.. Believe in One God.
b.. Believe in Jesus Christ as a messenger of God.
c.. Accept and implement the laws that already existed in the Torah.
d.. Follow the matters of wisdom taught by Jesus.
e.. Look to The Prophet, (Prophet Muhammed), who was foretold by Jesus, to guide them on all matters, as per the gospel - the good news - brought by him.


turudi kwenye mada, lini Israel ataenda mpiga Iran? Naomba leo kabla ya kesho nione kweli (Bibi)Natanyahu anazo mbavu za kijeshi kwa Ayyatollah.

Mana Ayyatollah huwa ni wanaume.
 
mpango wa marekani kuitawala dunia unafahamika,mpango wa kuwa na serikali moja na hatimae hata imani moja.

Iran tangu mwanzo iko kwenye hitlist ya hawa watu tangu zamani,na sababu kubwa ni mafuta ,ili watawale dunia lazima marekan icontrol uchumi wa dunia na bila kucontrol mafuta inakua ni kazi bure.
Sababu ingine ni nguvu za kijeshi za iran ambazo wanaziona ni tishio kwao kwahiyo lazima wamlegeze kama walivyomfanyia saddamu.
Kwahiyo zitatafutwa kila mbinu ili kufikia malengo.
Wanaochora zoezi zima ndo haohao waisrael waliokamata sehemu nyeti za serikali ya marekani na pia uchumi wa dunia.hao ni ule ukoo wa rothchild na rockfeller hawa ndo wanajiona wao ndo bora kuliko wote duniani na kuna wengine wanaamini hata mpinga kristo atatokana na wayahudi.
Lakini kama ijulikanavyo mambo hayo ndo yatapelekea ile vita kuu ambayo imeongelewa.
Kwahiyo hatusemi hawawezi kuishambulia iran,swali ni kwamba je watashinda,wataweza kweli kutawala dunia au mipango yao itafail.?

Sasa Umeona Umeanza kua mkweli na kukubali kua Iran atakuja shindwa!
Unajua nilihisi kuna vitu unaweza ukawa unafahamu na ukawa unafahamu ukwelli! Ila ulichokua unafanya ni kubisha tu! Naungana na Ayatollah kua ata wakisemaje Sheitwani haaminiki! Na Pia ule mpango wa kuitawala Dunia utatumia na watu wate kulazimishwa kuabudu Siku moja itafika!
Kwa hiyo Iran haiwezi kumudu haya itaangushwa!

Sizani swala la mafuta ndio sababu kubwa ya kuivamia Iran au kuifanya Iran isimame! Mi niseme wazi kua Iman ndio sababu ya kutaka kuivamia Iran na Pia! Haya ni maneno tu! Kwani mi ninavofahamu haya yote ni vita dhidi ya Uasi na Haki! Na ikumbukwe kua Warumi walipigwa na jeshi la Nzige ambalo ni la waarabu na kuidhoofisha Ike dola ya Rumi iliyokua ikitawala Dunia! Na sasa Hawa waarabu baadhi ndio wabishi hawataki mafundisho ya Uasi!

Lakini kwa mujibu wa Maandiko Mnyama atatawala Dunia na kufanya makufuru makubwa na kuwatesa.Saints!
Na kwa mfumo Huu Iran haiponi
 
Injili gani iko sawa leo duniani mbona hata Prophet Mussa alisema the Law (Bible) will get corrupted.

Deuteronomy 31:25-29 where Moses peace be upon him predicted the corruption/tampering of the Law (Bible) after his death.

GOD Almighty Said: "`How can you say, "We [the Jews] are wise, for we have the law of the LORD," when actually the lying pen of the scribes has handled it falsely?' (From the NIV Bible, Jeremiah 8:8)"

Fateni Quran nyie ndo kitabu kilicho baki kiko sawa.

Unajua wakati mwingine huenda ndivo ulivofundishwa hivo na kupewa fafanuzi zisizofaa kwa mafungu yako hayo haimaanishi kua bible imechakachuliwa!

Deuteronomy hiyo31:14-29 inazungumzia Uasi wa Israel

Na Jerimiah hiyo inazungumzia Peril of false Teaching! Sasa nashangaaa kuona kua umepata point ya kusema bible imechakachliwa! Ni uongo kupotosha watu!
Fanteni biblia Kwani ata kitabu chenu kinafahamu kua biblia ndio iliyotangulia kwanza!
 
Trust me Friends No one will walk with USA forever hata marafiki zake wanajua hayo.

Waulize viongozi wa Brasil na wengine wa Europe yani USA hana rafiki anaye muamini sababu siasa ya USA ina damu ya ki Israel, hawa watu hata wafanyiwe mazuri gani hawakumbuki ut


Prophet Mussa aliwasaidia sana wa Israel lakini badaye wakamgeuka, yani siasa ya USA as long kuna wa Israel ndani yake itabaki kuwa ya ki adui yani usitegemee akilini kwako USA/Israel wana marafiki wa kweli ni kujidanganya tu.




Sasa unabisha nini iwapo unafahamu kua Us Hana Rafiki na tangu lini Sheitwan akawa na Rafiki?

Yale mataifa yatakayokua kinyume chao yataangushwa!
Afghanistan
Iraq
Libya
Na sasa Syria!
Who is Next? Could be Iran, North Korea?
 
Unajua wakati mwingine huenda ndivo ulivofundishwa hivo na kupewa fafanuzi zisizofaa kwa mafungu yako hayo haimaanishi kua bible imechakachuliwa!

Deuteronomy hiyo31:14-29 inazungumzia Uasi wa Israel

Na Jerimiah hiyo inazungumzia Peril of false Teaching! Sasa nashangaaa kuona kua umepata point ya kusema bible imechakachliwa! Ni uongo kupotosha watu!
Fanteni biblia Kwani ata kitabu chenu kinafahamu kua biblia ndio iliyotangulia kwanza!
Sa Nimsikie Prophet Mussa au wewe, nani anaye sema ukweli.

Prophet Mussa (Mosses) alisha sema kabla hata Bibilia haikuja, sa mbona hajasema kuhusu Quran au hakujua kama itakuja Quran.
 
Sasa unabisha nini iwapo unafahamu kua Us Hana Rafiki na tangu lini Sheitwan akawa na Rafiki?

Yale mataifa yatakayokua kinyume chao yataangushwa!
Afghanistan
Iraq
Libya
Na sasa Syria!
Who is Next? Could be Iran, North Korea?
Syria kimenuka pale wako Hazbullah na Iran na Bashar Al Assad amebaki kama jina lake Simba.
 
Mimi huwa sisumbui akili yangu kusoma kitabu amabacho Prophet Mosses(Mussa) alisha sema kitakuwa currupted, mimi nafata abcde.

a.. Believe in One God.
b.. Believe in Jesus Christ as a messenger of God.
c.. Accept and implement the laws that already existed in the Torah.
d.. Follow the matters of wisdom taught by Jesus.
e.. Look to The Prophet, (Prophet Muhammed), who was foretold by Jesus, to guide them on all matters, as per the gospel - the good news - brought by him.


turudi kwenye mada, lini Israel ataenda mpiga Iran? Naomba leo kabla ya kesho nione kweli (Bibi)Natanyahu anazo mbavu za kijeshi kwa Ayyatollah.

Mana Ayyatollah huwa ni wanaume.

Acts 4:12
Nor is there salvation in any other, for there is no other name under heaven given among men by which we must be Saved.

How will you be saved without Jesus? And it is only one name under The sun that we Must be saved
Jesus is everything!


Unaifahamu Surat Azzukhuruf Kama sijakosea itakua hivo? Kama Unaifahamu niambie nikueleze inavosema!
 
Sa Nimsikie Prophet Mussa au wewe, nani anaye sema ukweli.

Prophet Mussa (Mosses) alisha sema kabla hata Bibilia haikuja, sa mbona hajasema kuhusu Quran au hakujua kama itakuja Quran.
Mimi nafata jinsi neno linavoseama wewe unafata mapokeo uliyopewa!
Surat azzukhuruf 61 na 62 inasema Ivi
Naye Nabii Isa bin Maria ndio ishara kuu kua Kiama kimetukaribia. Msikifanyie mchezo.
Naye Nabii Isa bin Mariam ndio njia iliyo. Nyoofu ya kumfikisha mwanadamu kwa Munyaazi Mungu. Mfateni yeye!
Jesus said to him, I am the way, the truth, and the life. No one comes to the Father except through Me. John 14:6
 
Syria kimenuka pale wako Hazbullah na Iran na Bashar Al Assad amebaki kama jina lake Simba.

Simba ameshaanza kula majani subiri tu ataanza kukimbia hovyohovyo mbugani! Maana sasaiv si Yuko kwenye misitu katulia! Waasi Wanajipanga tu!

Na Us wanatafuta sababu ya kujihalalisha kuivamia Syria. Sio Kama wanaogopa wanatafuta wanatafuta sababu! Na Tayari wameshaingia ghalama kubwa kusogeza dhana zao pale yani hawarudi nyuma!
 
Ukweli ni kuwa haya maelezo ya kuitawala dunia ,waislamu wao wana version yao wa maelezo,na yanaonyesha wao ndo wataibuka kidedea,na ndo siri ya hao waislamu kutoogopa mabomu na makombora ya wamarekani na washirika wake.
Ndo maana hutokaa uone hawa jamaa wanasalimu amri kwa marekani.
Marekani ameingia hasala ya matrilion kule irag na afaghanstan,kiasi cha uchumi wake kushake,sasa hadi wanafunga serikali tatizo ni pesa.
Mmarekani hakupata kufikia malengo aliyopanga kule irag na afghanstan na inabidi atoe majeshi yake.
Walichofanya waarabu na afaghan ni kuirefusha vita ili kubomoa uchumi wa marekani,imefikia hali mpaka marekani hataki tena kushiriki vita vya nchi kavu kwani ameona inakula kwake.
Israel nao wamekua wanaitwanga gaza mabomu lakini jamaa ni hardcore israel anagwaya kuingiza askari wa miguu gaza kwani anajua casualt itakua kubwa.
Haya mambo ni ya kuangalia tu na wala hayaishi leo itachukua hata miaka 500,nasi wote tutakuwa tulishapita zamani na wala hakutakuwa na maisha kama yalivyo sasa.
 
Acts 4:12
Nor is there salvation in any other, for there is no other name under heaven given among men by which we must be Saved.

How will you be saved without Jesus? And it is only one name under The sun that we Must be saved
Jesus is everything!


Unaifahamu Surat Azzukhuruf Kama sijakosea itakua hivo? Kama Unaifahamu niambie nikueleze inavosema!
Sura Al-Imran 3:59 says, 'The similitude of Jesus before Allah is as that of Adam; He created him from dust, then said to him: "Be". And he was.' If Jesus is created, then he cannot be God."
 
Mimi nafata jinsi neno linavoseama wewe unafata mapokeo uliyopewa!
Surat azzukhuruf 61 na 62 inasema Ivi
Naye Nabii Isa bin Maria ndio ishara kuu kua Kiama kimetukaribia. Msikifanyie mchezo.
Naye Nabii Isa bin Mariam ndio njia iliyo. Nyoofu ya kumfikisha mwanadamu kwa Munyaazi Mungu. Mfateni yeye!
Jesus said to him, I am the way, the truth, and the life. No one comes to the Father except through Me. John 14:6
Na kuwekea hio Quran kwa kiswahili.


وَإِنَّهُ لَعِلْمٌ لِّلسَّاعَةِ فَلَا تَمْتَرُنَّ بِهَا وَاتَّبِعُونِ ۚ هَٰذَا صِرَاطٌ مُّسْتَقِيمٌ ( 61 ) Na kwa hakika yeye ni alama ya Saa ya Kiyama. Basi usiitilie shaka, na nifuateni. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.

وَلَا يَصُدَّنَّكُمُ الشَّيْطَانُ ۖ إِنَّهُ لَكُمْ عَدُوٌّ مُّبِينٌ ( 62 ) Wala asikuzuilieni Shet'ani. Hakika yeye ni adui yenu wa dhaahiri.

وَلَمَّا جَاءَ عِيسَىٰ بِالْبَيِّنَاتِ قَالَ قَدْ جِئْتُكُم بِالْحِكْمَةِ وَلِأُبَيِّنَ لَكُم بَعْضَ الَّذِي تَخْتَلِفُونَ فِيهِ ۖ فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ ( 63 ) Na alipo kuja Isa na dalili zilizo wazi, alisema: Nimekujieni na hikima, na ili nikuelezeni baadhi ya yale mliyo khitalifiana. Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na mnit'ii mimi.

إِنَّ اللَّهَ هُوَ رَبِّي وَرَبُّكُمْ فَاعْبُدُوهُ ۚ هَٰذَا صِرَاطٌ مُّسْتَقِيمٌ ( 64 ) Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi, na ni Mola wenu Mlezi. Basi Muabuduni Yeye tu. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.

فَاخْتَلَفَ الْأَحْزَابُ مِن بَيْنِهِمْ ۖ فَوَيْلٌ لِّلَّذِينَ ظَلَمُوا مِنْ عَذَابِ يَوْمٍ أَلِيمٍ ( 65 ) Lakini makundi kwa makundi yao yalikhitalifiana wao kwa wao. Ole wao walio dhulumu kwa adhabu ya siku chungu.


Usibadili Quran hakuna wapumbafu katika wa Islam, Sura nimekuwekea hapo na tafsiri ya kiswahili.
 
Simba ameshaanza kula majani subiri tu ataanza kukimbia hovyohovyo mbugani! Maana sasaiv si Yuko kwenye misitu katulia! Waasi Wanajipanga tu!

Na Us wanatafuta sababu ya kujihalalisha kuivamia Syria. Sio Kama wanaogopa wanatafuta wanatafuta sababu! Na Tayari wameshaingia ghalama kubwa kusogeza dhana zao pale yani hawarudi nyuma!
Simba katulizana na USA hujui hasara aliyo ipata mpaa kachanganyikiwa, kule Syria USA, France, UK, Israel, Saud Arabia, Qatar,UAE, Turkey, Libya wamepoteza mamilion na wametekewa silaha nyingi sana mpaa zingine Israel anaogopa zisije kutumiwa badaye kuishambulia Israel sababu zingine made in Israel.

USA na vibaraka wake walitegemea Syria wataipiga katika miezi 3-6, kichapo walicho kipata haswa pale Al Qusayr ni kipigo kama cha nuclear bomb, hata Israel walibid wa admit.

Bashar Al Assad na Jeshi la Syria ni kiboko mpaa Obama akawa ana tetemeka hajui cha kufanya, Syria kutoa silaha za Chemical hujui kapewa pesa ngapi mpaa Syria akakubali deal, mchezo wote ulichezwa nyuma ya pazia pale Urusi.
 
Adiosamigo: Mimi unanishangaza tu pale unapokataa kwa makusudi ikiwa unafaha wazi kuna mpango wa Us na washirika kuitwala Dunia na kulazimisha Iman moja

Na wakati Leo Umenipa history ya kwenye vitabu na uhali wa iman kutokana na yatakayo tokea Hapo badae! Kinchonishangaza ni wewe kuendelea kukataa wakati ukweli ata Ayatollah anafahamu kua Yuko kwenye Battle na Shetan?

Mkuu haya hayana budi kutokea Rest in Peace kwa Makanda wale wote hawakutaka kumsujudia Mnyama!
Saadam
Osama
Ghadaff
Pamoja na kua kuna mauvu walifanya lakini walisimamia ule ukweli mpaka kufa!
Keep it up Asaad to stand firm in your Faith and Iran as well!
Ole wao Yale mataifa ya kiarabu yalokua vibaraka na kugeuka kuiacha kweli!

Ndani ya ukristo Na uislam kuna wale wanaijua kweli kamwe hawatomuangikia Mnyama! Na hii ni Hali ya mtu mmoja mmoja na hivi ndivo ilivo kwa Iran kua lazima Watapigwa! Ila iman ya mtu mmoja mmoja ndio itakayo baki!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom