Israel siyo taifa teule

Basi Kama unataka kuungana nao kuwa myahud Kuna makanisa yao hapola iringa karibu mkuu, hivi alieiba baraka za kakayake kisa kupendwa na mama ni mteule kwa mungu, Alie mnyima Kaka yake chakula alipotoka mawindoni nae ni Bora et
 
Mwaka 1967,nchi sita zilichakazwa vibaya mno iwe leo?. Mkono wa Yehova uko juu yao, na macho yake huwatazama.
Hata vita vya Maji maji waliwacharaza Germany 1960 huko sasa sijui wanaweza tena itabidi tuwakumbushe wa German sisi ni nani.
 
Ukisoma history mayahudi wengi hata waarabu mayahudi wengi sana hasa nchi ya Moroco na Yemen wako wengi wengine Ethiopia sasa sielewi hapa tukiongelea Israel tunaongelea taifa au Judaism maana kuna 1.8 million wa Israel waarabu ndani ya nchi ya Israel lakini sio mayahudi. Kama tunaongea Israel wateule basi kuna waarabu pia wa israel mpaka bungeni wapo hawa kina Ehud baraka ni wa wayahudi wa Iraq. ila kama dini ya Jews yesu wamemkataa kabisa hakuna nabii.
Historically, some Jewish writers and scholars have considered Jesus as the most damaging "false prophet,"[5] and traditional views of Jesus have been mostly negative, though influential Jewish scholars of the Middle Ages including Judah Halevi and Maimonides viewed Jesus as an important preparatory figure for a future universal ethical monotheism of the Messianic Age. Some modern Jewish thinkers starting in the 18th century with the Orthodox Jacob Emden and the reformer Moses Mendelssohn have sympathetically speculated that the historical Jesus may have been closer to Judaism than either the Gospels or traditional Jewish accounts would indicate, a view that is still espoused by some.

Judaism has never accepted any of the claimed fulfilments of prophecy that Christianity attributes to Jesus.
 
mtego ni ule ule tangu enzi za yesu, uteule wa israel unakuja kwenye mambo ya dini tu na sio serikali, yesu alipokuja wayahudi waliamini ndiye atakayekuwa waziri mkuu wako, kumbe yeye alikuwa na mipnago mingine kabisa
 
Tena naongezea hapa UYAHUDI ni UKAFIRI na ni USHIRIKINA kadhalika.

Soma sura ya tisa katika Qur'aan aya ya 30 mpaka 33.

Kadhalila UKADIANI nao siyo UISLAMU.


Hapa umeulizwa juu ya Uyahudi sasa huo Ukadiani na Ubaniani wako nani kakuuliza ???!!
 
Hapa umeulizwa juu ya Uyahudi sasa huo Ukadiani na Ubaniani wako nani kakuuliza ???!!
Nimeweka ziada juu ya Ukadiani.

Ulivyo uliza swali lako kuhusu Ukafiri wa Mayahudi,nikajiuliza ina maana husomi Qur'aan ? Ila nikahitimisha sababu wewe ni Kadiani ndiyo maana umeuliza swali hilo.
 
Nyie ndio mnawatukuza hao jamaa na kuwahusudu,mbona humu zipo thread nyingi zinawazungumzia
 
Nimeweka ziada juu ya Ukadiani.

Ulivyo uliza swali lako kuhusu Ukafiri wa Mayahudi,nikajiuliza ina maana husomi Qur'aan ? Ila nikahitimisha sababu wewe ni Kadiani ndiyo maana umeuliza swali hilo.


Wewe sio Muisilamu na kama ni Muisilamu basi utakuwa Muisilamu jina, na unasoma Qur'an kibubusa tu.

Hebu soma hiyo aya:-

 
Wewe sio Muisilamu na kama ni Muisilamu basi utakuwa Muisilamu jina, na unasoma Qur'an kibubusa tu.

Hebu soma hiyo aya:-

View attachment 1788263
Sasa hoja yako hapo iko wapi ? Kwani mtume hii aya ameifasiri vipi ? Mirza Gulamu Allau amlaani yeye amefasiri vipi hii aya. Maana aya iko wazi.

Kama wangekuwa Mayahudi na Wakristo na Wasabii wameamini aya isinge sema " ...na wakristo,walio muamini..." maana yake ni miongoni mwa walio muamini Allah,sababu Mayahudi katika maana husemwa ni wale Watu ambao nabii Mussa alitumwa kwao.
 
Akili yako ina funza.
Mkuu vumilia tu!Vijana wengi humu wanasubiri post za A'level na vyuo vya Nacte.Hao jamaa Wana hatari wakikutana na thread.Kama uhamini subiri post zitoke utakuta thread zao jukwaa la Edu Kule wakiuliza kuhusu kupata chuo sijui shule gani ipo wapi n.k pia wengine wameimaliza mtihani juzi na wengine wanaendelea hapa inahitaji uvumilivu bila hivyo utatukana kumbe unamtukana mwanafunzi wako.
 

Maneno mengi lakina porojo tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…