Israel Sasa inatosha

 
na Netanyahu amekiri kuiwezesha HAMAS kifedha ili kujiendesha huko Gaza
 
Calendar of Resistance for Palestine! Events and actions around the world

7 October 2023

Everywhere around the world, millions are marching for Palestine. Over 300,000 took the streets of Washington, DC, in the belly of the beast, to stand with the Palestinian people against Zionist genocide. Labourers from Belgium to Japan to Barcelona have refused to load and carry weaponry for the occupation regime, while Block the Boat protests from Oakland to Tacoma have delayed, blocked and confronted US military ships loading war materiel. Palestine Action direct actions are challenging Elbit Systems from Cambridge to Leicester. In train stations, parliamentary and congressional offices and public venues, people are sitting in for Palestinian liberation.



Calendar of Resistance for Palestine! Events and actions around the world
 
Ina maana wanafunzi bado wanaenda shule huko gaza? Sounds really absurd!

Hii hali iliyoko huko ni bora watii lile agizo la kuondoka. Pia waache mikusanyiko kama hiyo.

No, shule hamna. Ila walifichwa hapo ili kuzuia Israel kuishambulia. Sasa makombora yakawa yanatokea hapo. Ndipo Israel kuishambulia bila kujali ni shule.
 
Suala la wao kuendelea au kuacha kupigana hilo ni juu yao mm na ww hatuna maamuzi juu ya hayo.

Lamsingi dunia nzima ime jua ya kuwa jeshi la Israel bila Marekani ni JWTZ iliyo chagamka, kwanza hata hapo nimewapendelea.

Mkuu acha unafiki ile tarehe 7 ulisherekea sana mbona sasahivi unatia huruma nini kimetokea.
 
Sasa Hamas utaidhibitije hali ya kuwa uwaacha hao Hamas badala yake unaenda kushambulia watoto na wanawake?

Hamasi wanawatumia hao watoto na wanawake kama ngao,pia gaza onyo lilishatolewa raia wema watoke so waliobaki ni vibaraka wa hamas acha wauawae tu.
 
Na matanki ya maji waliyolipua yalikua na viongozi wa Hamas ndani yake!?..toka mwanzo wanalipua shule, hospital na kudai kombora la Hamas limepoteza uelekeo,wameshindwa kupambana na Hamas wanabomoa majumba na kuua vichanga

Kwa hivyo Hamas wapo beach wanabarizi mpaka mji unatekwa?
 
Bro ebu twende taratibu. Ulitaka ufabyaje wakati hao HAMAS wanalimbilia humo masculinity, Mahospitalini, Makanisani na misikitini. Wao wanarusha makombora wakitokea humo au wanashambulia alafu wanakimbilia humo. Ulitaka Israel waende kuwabembeleza kwa kiwa kuna watoto? Je.wale vija a waliouawa kwenye Tamasha nao walikuwa wanapigana? Ebu bro tumia hiko kichwa kufikiria bro.
 

Divide and rule,mchezo ushaisha huo israel ndio ameshaipoteza gaza.
 
Hamasi wanawatumia hao watoto na wanawake kama ngao,pia gaza onyo lilishatolewa raia wema watoke so waliobaki ni vibaraka wa hamas acha wauawae tu.
Bora yako ambaye huto kufa.
 
Toa ushahidi wa hayo unayo yasema.
 
Na matanki ya maji waliyolipua yalikua na viongozi wa Hamas ndani yake!?..toka mwanzo wanalipua shule, hospital na kudai kombora la Hamas limepoteza uelekeo,wameshindwa kupambana na Hamas wanabomoa majumba na kuua vichanga
It seems like u know nothing about war. That is strategic approach kumlazimisha adui aingie kwenye matakwa yako. IDF waliamua kutengeneza scarcity ya mahitaji ya muhimu ili raia watoke kama ambavyo waliamrishwa. Hiyo ni kawaida kwa sababu hata Urusi aliitumia kwa Ukraine
 
Mkuu kila kiumbe hai kitakufa,ila dunia lazima iwe mahali salama kwa kuhakikisha magaidi ya kidini yanauwawa na kudhibitiwa vilivyo.
Kuna ugaidi zaidi ya kuuwa vichanga badala ya kupigana na wanajeshi wenzako?
 
Au siyo mtaalam wa war strategy,kwa hiyo ile kupiga hospital haikua kombora la Hamas lilishindwa kufikia shabaha Bali war strategy ya Israel!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…