Israel opened masjid Ebrahim as

Adamu na Ibrahim vitabu vyao vinaitwaje
 
Waislamu ni 19%, wakristo ni08% ,waorthodox ni 14% dini zingine no 3% na waliobaki hawana dini rasmi.
Hivyo waislamu ndio wengi kuliko dini zingine.
Albadiri haijawahi kumuacha mtu salama km Wewe.

Kaongope mbele.
 

Sasa kwanini watu wamao fuata uislam wa kale wanaitwa makafiri?
 
Je YESU hakufa?, na kila nafsi itaonja mauti na kama hakufa alikwenda wapi naomba jibu sheikh
Alipaa mbinguni
atarudi duniani na atakuja kuoa na kuzaa ataishi miaka 40.atakuja kupambana na massih dajjal.atamuua.
 
Mambo ya waislam wayahudi wakrsto nk nawaachia nyie mimi nalima nyanya zangu huku ipogolo
Hahahahaaa! Tutaongea vizuri. Nataka nipate wakala kupokea mikusu na mifudu toka huku Tagamenda kwa hilo eneo kuanzia kwa Mwagongo, Stendi Ipogolo, Bhesania hadi Nyamuhanga!
 
Uislamu maana yake ni kujisimisha mbele za Mungu kutokana na kumshirika Mungu na chovhote au uyte kwenye ibada unazozifanya au katika sifa zake au katika UUngu wake.
Sawa ila ulianza baada ya Muhammad
 
Mkuu twende polepole, firauni kawai kujiita mungu lini?
 
statement yako ina ukweli ila sio 100% true

-waarabu walikuwa wanafanya biashara ya utumwa, uisilamu ulivyokuja ukaikomesha

-waarabu walikuwa wakiua watoto wa kike na kuona kama ni nuksi ila uisilamu ukakomesha

-kuna mavazi ya kiarabu na kiisilamu, kuna namna ya ufungaji kilemba kiisilamu na kiarabu, kanzu za kiisilamu na kiarabu, suruali za kiisilamu na kiarabu, ndevu za kiisilamu na kiarabu etc ukitaka nionyeshe kwa mifano na picha nitaonyesha

kama tamaduni haivunji sheria ya kiisilamu basi ni ruksa hata kama imetoka wapi.
 
picha yako unaweza kuisoma? huku kwangu inaonekana quality ndogo sana, eka link
 
mkuu una ushahidi kwamba Ibrahim alikuwa ni myahudi? Ibrahim ni baba wa wayahudi ni waarabu ila yeye si kati ya hao, vizazi vyake ndio vimezaa hayo makabila.

soma Quran 3:67 inakataa ibrahim hakuwa myahudi.
 
sasa unadhani marioo muhamad ni fara hakujua akisema amehusiwa dini sawa na wayahudi itamlipa
 
Hii si kweli usidhani vitabu vyenu hatuvisomi!kwa nini mudy alibadili kibla akiwa madina?kilichomfanya akiwa anaswali makalio anayaelekeza Jerusalem na kichwa maka?
mkuu umekaa hata ukaifikiria hii comment?

utakaaje uelekeze kichwa maka na makalio jerusalem ukiwa maeneo yote?

hebu tuangalie ramani.



hapo mtu ambaye yupo katikati ya maka na jerusalem pekee ndio ataprove point yako ila dunia nzima kuanzia huku africa, nenda urusi, nenda india, china etc wakiswali hawaipi jerusalem makalio, sometime tumia akili hesabu ndogo tu zingekuwezesha kung'amua hilo.

na sababu ya waisilamu kuelekea mecca ni Ibrahim baba yetu, ambae ameijenga al Qaaba.
 
Mkuu twende polepole, firauni kawai kujiita mungu lini?
soma historia ya firauni hata katika vitabu vyenu na ndio ahadi ya Mungu akamwambia kuwa atamuweka ili vizazi vijavyo vimuone na ndio ukaona mpaka leo yupo makumbusho pale misri.
 
Mnyukano huu una asili kuu, haukuanzia hapa duniani. Yachunguze haya na ukitumia akili kidogo utagundua tu asili ya huu mnyukano, wala sio WA race kama tudhaniavyo.

Kwanza, kwa viumbe vya kiroho Ukristu unasema, kuna malaika, wema na waasi. Uislamu unasema kuna malaika na automatically hawawezi kuhasi bali pia kuna majini hawa wako wema na waasi. Wema ni wachamungu (waislamu)

Ukristu unasema, Ibrahimu hakumsindikiza mama Ismail, na aliyetolewa kuwa sadaka ya kuchinjwa ni Isiaka si Ismail, wakati Uislamu unasema kinyume chake.

Ktk Uislamu wa kale aka Ukristu na Uyahudi kwa mujibu wa touraati na Zaburi na Injili na vitabu vyao vyote vya manabii wao, hawamtaji Ismail kuwa ni mtume wala nabii.

Lakini pia hata Quran haisemi huo Uislamu wa kale kivipi ulipotea kutoka kwa Nabii Ismail hata mtume alipokuja hakuukuta hata punje yake kwa vizazi vya Ibrahimu bali aliukuta huo toka kizazi cha Isiaka.

Ukifikiri vya kutosha hapa, haswa kwa hoja ya kwanza, inaonesha huu Uislamu modernized, upo kimkakati wa viumbe fulani hivi ktk kujiwekea uhalali wa kupata kibali cha kumtawala mwanadamu. Ni fikra zangu tu, vinginevyo, iletwe hoja hapa, kwa kutumia vitabu vya Uislamu wa kale, Uyahudi na Ukristu,vikithibitisha kwamba, Ibrahimu na kizazi chake, kiliamini kwamba, viumbe vya kiroho vipo ktk makundi mawili, majini na malaika kiuumbwaji na wala si malaika, wema na waasi.... Fikra zitaanza upya ktk hili.
 
Sawa ila ulianza baada ya Muhammad
Haukuanza kwa Muhammad bali ulianza tokea dunia kuumbwa kwa maana kila kilichojikubalisha na kujisalimisha kwa Mungu kilifuata Uislamu. Nabii Ibrahim sala na salam ziwe juu yake aliwakuta wazee wake na jamaa zake wakiabudu masanamu yeye aliyakataa na akajisalimisha mbele ya Mungu mmoja ambae hana mshirika hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hana mfano wake. Nuhu sala na salam ziwe juu yake aliwalingania jamaa zake waache kuabudia masanam na mizimu na vitu vyenginevyo na badala yake wamuabudu Mungu mmoja. Hivyo kila nabii aliyebeba dhana ya Mungu mmoja alikuwa ni muislam ila Nabii Muhammad yeye alikuja kukamilisha ujumbe wa Mungu kwa viumbe na baada ya yeye hakutakuwa na Mjumbe mwengine ambae atatumwa na Mungu mpaka dunia kumalizika.
 
mungu hajichanganyi hawezi deal na matokeo ya dhambi( ismail ) hakuwa kipenzi cha ibrahimu ila mungu alijaribu kujua nafsi ya mtumishi wake,ni wazi huwa tunawapenda watoto wa mke halali kuliko wa michepuko kama ismail
 
sasa unadhani marioo muhamad ni fara hakujua akisema amehusiwa dini sawa na wayahudi itamlipa
Ficha ujinga wako mkuu unajidhalilisha tu.Wakati mwenzako anaweka critical argument wewe unaleta vituko.Am sorry Kama nimekukwaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…