Israel opened masjid Ebrahim as

Jibu swali acha maelezo
 
Kwa Wayahudi,siyo Muhammad tu,Yesu hawamtambui kabisa. Na ndiyo maana pale Israel,Wakristo ni kama sifuri yaani 2-4%, ni kama hakuna. Angalao Waislam inafika 17%
 
kitabu cha kuaminika ni biblia ila kurani hii yenye iliandikwa na waarabu ina uongo mwingi
Hilo Biblia wala halojulikani ni Kitabu cha Nabii nani ! Na humo ndani hamna Injil ya Yesu bali kuna ya Yohana, Mathayo, Luka na Marko na nyaraka (barua) za Paulo. Pima uongo umo wapi ?
 
Anhaaaaaa
Kumbe uislamu huu wa Muhammad ni wa kizushi na wa kubumba,
Kumbe uyahudi na ukristo ndo uislamu sahihi,
Aisee umenipa kitu kipya mkuu
 
Waislamu ni 19%, wakristo ni08% ,waorthodox ni 14% dini zingine no 3% na waliobaki hawana dini rasmi.
Hivyo waislamu ndio wengi kuliko dini zingine.
Fikiri upya kabla haujaaibika,acha kuchanganya waarabu wanaoishi pembeni ya waisraeli na uisraeli
 
Lebanoni kwa asili ni nchi ya Ukristo,
Misri kwa asili ni nchi ya Ukristo,
Uislamu walilazimishwa tu kwa nguvu kipindi Fulani,
 
mkuu seems wewe pia hujui utofauti wa uyahudi na uzayuni, wanaoleta usumbufu pale ni mazayuni, uisilamu hauna tatizo na myahudi.
Hawajui tofauti ya ubaguzi wa rangi na Dini. Hata makaburu walikuwa wakiristo wazuri tuu !
 
Bila shaka hao ni yakobo, ibrahim na yusufu Mababa wa Imani ya ukristo.
Inaonekana kama unataka kujenga picha kwamba hao walikuwa waislamu. Halafu kitabu kilichoandika habari za hao wahenga ambacho ni Bible hakijawaita hao watu ni mitume .

Waislamu hicho kitabu si chenu mnalazimisha tu kionekane kinautambua uislamu kibaya zaidi mnajaribu kukipindisha kutoka kwenye unyoofu wake.Mbona ukristo hautasfiri Quran kama nyie mnavyotoka na mishipa ya shingo kwa kutafsiri Bible.
Juzi tu nimepita sehemu nimekuta mtu kavaa baragashia mishipa Ya shingo imemtoka anahoji kwanini yesu anaitwa Emmanuel
 
Hiki kitabu chako kimemtukana hadii muumba wake, saa sijui muandishi nani
Hawajielewi hao Sheikh ! Kitabu kinachosema mungu alivuliwa nguo akavikwa taji la miiba !
 
biblia inayotukana na kudhalilisha watakatifu!!?..kitabu kile ni story story tu za wana
Inamdhalilisha nani? Hebu fafanua kidogo isijekua umekaririshwa kama jamaa zangu Fulani walikaririshwa wakaenda kukata suruali zao zikawa fupi baada ya kutambua ukweli wakaanza kujutia
 
kwa mfano uwongo UPI?!..mi najua biblia kuna mwandishi anakiri aandikayo hakuyashuhudia ika alisimuliwa,pia Paulo anadai alitia chumvi ili nae apate kujisifu nga kidogo
Mkuu ID YAKO haina maadili
 
Koma ,ukristo haujawahi kuwa uislam na nimeona eti mtume isa Huyo sio yesu.Coz Jesus is alpha and omega .Alikuwepo,yupo na ataendelea kuwepo.
Kwani Jesus ndo Yesu !?....kwanini asiwe Issah ?
Je John ndo Yohana na ndo Yah'ya ?
Nuhu ndo Noah ?....Methew ndo Mathayo ?
 
Safari yake inaitwa 'mirajj'

Alipaa Kwenye anga la wapi acheni uongo.Mlivyosikia yesu kapaa nanyi mkampaisha Muhammad.We toka uzaliwe umemuona nani kapaa.Wanga tu ndio huwa wanapaa tena hawaonekani.
K wa mujibu wa The laws of nature mwanadamu hawezi paa isipokuwa ndege tu muwe mnawaza hata kidogo kuliko kukubali kila kitu kisa tu umekatazwa kuhoji kwa kisingizio utapata dhambi
 
Nani amekwambia haya uliyoyaandika?
Umesimuliwa?
 
ReligionsJewish 74.8%, Muslim 17.6%, Christian 2%, Druze 1.6%, other 4% (2015 est.)
 
HIVI HAO MANABII WALIKUWA WAISLAMU AU WAISRAELI???KAMA WALIKUWA WAISLAMU MBONA SASA WAYAHUDI NA WAISLAMU HAWAPATANI???MBONA MAISHA YAO YAKO ISRAEL NA SIO UARABUNI???MBONA KAMA KUNA UONGO NAUONA HAPA??
Hata mm nimegundua hilo..
 
NI KICHEKESHO KUSEMA UISLAMU ULIKUWEPO WAKATI WA ADAMU,WAKATI HISTORIA INASEMA UISLAMU ULIANZA BAADA YA MOHAMAD AKIWA MWANZILISHI.WALE MANABII WOTE WALIKUWA WAEBRANIA AMBAO NDIO WAISRAELI WA SASA...
Tusaidia maana naona hapa wengine wanavyoongea kama chenga vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…