Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Mkuu Kumbuka Mungu alipoliacha taifa la Israel kwa uovu na Warumi walilisambaratisha kabsa,,na akaawaahidi kuwa watakaporudi tena katika nchi ya ahadi atawapa msaidizi ambaye ni roho mtakatifu ambaye watatakiwa kumtii,,Waisarel hata baada ya Yesu kuja na kuachiwa msaidizi ambaye ni roho mtakatifu wameendelea kumkaidi Mungu,,na ndo maana wengi hawajaokoka kwa maana ya kumwamini Yesu Kristo,,bado wanamsubiri Messiah aliyetabiriwa katika agano la Kale katika kitabu cha Isaya.
Mkuu kuna Ndugu Easy E ameshatoa Jibu zuri itafute post Yake uione!
Niseme tu Kristo alipingwa vikali wakati akiwa hapa Duniani na alipo ondoka pia na kupingwa huku kutaendelea mpk atakaporudi mwenyewe!
Kwa mkristo anaejua maandiko haya mambo ni kawaida!