Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,472
- 12,889
Next year,,,,,TrumpThis mother of hypocrites just like other US presidents. May god arrest him before their kangaroo election next year.
Next year,,,,,TrumpThis mother of hypocrites just like other US presidents. May god arrest him before their kangaroo election next year.
Labda dunia ya waislamu mkuu...Alipo Marekani anapumulia mashine. Kwamba Dunia inajua HAMAS si gaidi jambo dogo hilo ndugu?
View attachment 2841068
HAKUNA CEASE FIRE MAANA LAZIMA WAJUE OCTOBER 07 WALIKUA WANASHANGILIA VIFO VYA WAYAHUDI.
SASA WAVUNE WALICHOPANDA
Hizo ngonjera tu za UN,,, tumezizoeaUmeielewa resolution? Azimio linamtambua aliye gaidi dhidi ya asiye gaidi. Watambue wenzio wasiojitambua:
View attachment 2841072
Hapo ngoma nagwa...Umeielewa resolution? Azimio linamtambua aliye gaidi dhidi ya asiye gaidi. Watambue wenzio wasiojitambua:
View attachment 2841072
Anakuja trump ambae alihamishia ubalozi wa marekani Jerusalem..This mother of hypocrites just like other US presidents. May god arrest him before their kangaroo election next year.
Next year,,,,,Trump
Walikwenda kuua, kuteka na kubaka wanawake haya magaidi ya hamas!Jikite kwenye mada ndugu:
"HAMAS siyo gaidi, gaidi ni Israel."
Dunia imesema.
Laana ipi mkuu..Biden laana ya Palestina imfuate atoke madarakani unceremoniously! Asiyeujua haki ana maana gani wapi?
Mwone Bernie Sanders:
View attachment 2841076
Hapo ngoma nagwa...
Ukiwa mkrsto maarabu gaidi na ukiwa muislamu mayahudi gaidi
Walikwenda kuua, kuteka na kubaka wanawake haya magaidi ya hamas!
nashangaa udini ndio unatumika kuwaunga mkono badala ya kukemea kwanza ule unyama waliofanya haya magaidi mashetani!
Laana ipi mkuu..
Hao hamas si October 07 walikua wanashangilia kuua wayahudi mitaani huko gaza.
Leo wanalilia kuonewa huruma na wanaomba cease fire???
How???
Hili lipo wazi bro....ACHA UNAFIKI HII NI VITA VYA CHUKI ZA UDINI DHIDI YA WAISLAMU WAARABU NA WAYAHUDI.Waumini uchwara udini mnaupata wapi kwenye hili la ukombozi?
NIMEKUULIZA TAREHE 07 OCTOBER SI WALIWAUA WAYAHUDI HUKU WANASHANGILIA??
MBONA SASA WANALILIA CEASE FIRE????
AU RISASI ZIMEWAISHIA MKUU???
Si mlango wa nyuma wanalilia cease fire kupitia Qatar govt.
Uhuru wa kuwaondoa wayahudi kwenye aridhi ya mababu zao na sehemu walipozaliwa,,,,wayahudi sio wakoloni,,,pale ni kwao na wapo pale forever..Struggle ya HAMAS kupigania uhuru haina tofauti na ya umkhonto we sizwe, Mau Mau, SWAPO, MPLA, Museveni au nduguyo Kagame au hata Kabila Snr.
Hili lipo wazi bro....ACHA UNAFIKI HII NI VITA VYA CHUKI ZA UDINI DHIDI YA WAISLAMU WAARABU NA WAYAHUDI.
WAARABU WAMEFELI KUWAONDOA WAYAHUDI KWENYE ARIDHI YA MABABU ZAO,,,HISTORIA IPO WAZI HATA WAKIIKATAA.
UDINI UMEWAPUMBAZA WAARABU NA WAISLAMU DHIDI YA WAYAHUDI NA WAKRSTO
QUR'AN 9:30
Ni la dini mkuu tuache unafiki...Mnafiki ni wewe unayeka vifungu vya vitabu vya dini. Wapi nimeweka kifungu kimoja cha dini yoyote?
Suala la Palestina na Israel si la kidini.