1. Jana ilikuwa siku mbaya sana kwa Israel na mshirika wake mkuu Marekani, kwenye Baraza kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA).
2. Kwamba kwa kauli moja lilipitishwa azimio lenye kuishutumu Israel wazi wazi na si mpigania uhuru HAMAS!
3. Kwa takwimu hizi za kura:
4. Kwamba 10 wasiojitambua ni hawa:
5. Na kwa maneno kuntu ya wachangiaji mbali mbali (Pakistan post #2 imewakilisha);
6. Kwa hakika Israeli na vibaraka wake akiwamo Marekani (na VETO yake uchwara UNSC) wameumbuka!
2. Kwamba kwa kauli moja lilipitishwa azimio lenye kuishutumu Israel wazi wazi na si mpigania uhuru HAMAS!
3. Kwa takwimu hizi za kura:
4. Kwamba 10 wasiojitambua ni hawa:
5. Na kwa maneno kuntu ya wachangiaji mbali mbali (Pakistan post #2 imewakilisha);
6. Kwa hakika Israeli na vibaraka wake akiwamo Marekani (na VETO yake uchwara UNSC) wameumbuka!