Hakuna kosa. Ila kuna watu humu bila hata soni eti wanasemaga Israel ni zaidi ya Marekani katika kila kitu ikiwamo uchumi, nguvu za kijeshi, influence, na kadhalika, kitu ambacho si cha kweli hata kidogo.
Mkuu hujalijua vizuri hili Taifa, hiyo ni janja tu. Utaona mwenyewe, ! si hapo wameomba? subiri waingie vitani ndipo utagundua ilikuwa geresha