Israel imeshindwa kupangua hoja Africa kusini kwenye kesi ya ICJ

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,289
21,477
Leo ndo ilikua siku ya pili na siku ya Isreal kujitetea kuhusi tuhuma za mauuwaji ya haraiki (genecide) na war-crime uhalifu wa kivita.

Jana south Africa ilitoa hoja na maombi dhidi ya israel mbele ya majaji wa kimataifa 17 at the Hangue, leo ilikua siku ya majibu ila isreal imeshindwa kutoa utetezi unao ridhisha hata kwa raia wakawaida.

Waziri wa sheria wa Africa kusiniRonald Lamola amesema wamefata utaratibu wote wamahakama na koti ya ICJ ina jurisdication ya kusikiliza hiyo kesi, hiyo ndo ilikua hoja ya Israel ni hoja nyingine ya Isreal kwamba imefanya hivyo for self defence of 7th Octomber jambo ambalo ni kichekesho mpaka unaua watoto for self defence.........

Hoja nyingine ya Israel inasema South Africa inakinyongo na nchi ya Isreal kwanini yeye ndo amshataki sio waarabu.

Kwangu naona maombi ya South kusitisha military compign ya israel kwa kwasasa lazima yakubaliwe
 
Leo ndo ilikua siku ya pili na siku ya Isreal kujitetea kuhusi tuhuma za mauuwaji ya haraiki (genecide) na war-crime uhalifu wa kivita.

Jana south Africa ilitoa hoja na maombi dhidi ya israel mbele ya majaji wa kimataifa 17 at the Hangue, leo ilikua siku ya majibu ila isreal imeshindwa kutoa utetezi unao ridhisha hata kwa raia wakawaida.

Waziri wa sheria wa Africa kusiniRonald Lamola amesema wamefata utaratibu wote wamahakama na koti ya ICJ ina jurisdication ya kusikiliza hiyo kesi, hiyo ndo ilikua hoja ya Israel ni hoja nyingine ya Isreal kwamba imefanya hivyo for self defence of 7th Octomber jambo ambalo ni kichekesho mpaka unaua watoto for self defence.........

Hoja nyingine ya Israel inasema South Africa inakinyongo na nchi ya Isreal kwanini yeye ndo amshataki sio waarabu.

Kwangu naona maombi ya South kusitisha military compign ya israel kwa kwasasa lazima yakubaliwe
Kwanini Israel isitishe military campaign simesema wanajeshi wa Israel wanakufa au
 
Ulikuwa unawaelewa kweli wale wanasheria wa Israel walichokuwa wanazungumza kutetea kwamba yale sio mauaji ya Kimbari na maana halisi ya wao wanachokifanya?
Hakuna cha maana walichoongea.
ICC prosecutors takriban wanne walieleza wazi mwaka jana kuwa hiyo ni genocide na mpaka vielelezo walitoa.
 
Leo ndo ilikua siku ya pili na siku ya Isreal kujitetea kuhusi tuhuma za mauuwaji ya haraiki (genecide) na war-crime uhalifu wa kivita.

Jana south Africa ilitoa hoja na maombi dhidi ya israel mbele ya majaji wa kimataifa 17 at the Hangue, leo ilikua siku ya majibu ila isreal imeshindwa kutoa utetezi unao ridhisha hata kwa raia wakawaida.

Waziri wa sheria wa Africa kusiniRonald Lamola amesema wamefata utaratibu wote wamahakama na koti ya ICJ ina jurisdication ya kusikiliza hiyo kesi, hiyo ndo ilikua hoja ya Israel ni hoja nyingine ya Isreal kwamba imefanya hivyo for self defence of 7th Octomber jambo ambalo ni kichekesho mpaka unaua watoto for self defence.........

Hoja nyingine ya Israel inasema South Africa inakinyongo na nchi ya Isreal kwanini yeye ndo amshataki sio waarabu.

Kwangu naona maombi ya South kusitisha military compign ya israel kwa kwasasa lazima yakubaliwe
Sasa Kaa ukisubiri utekelezaji wa amri ya hiyo mahakama.
 
Kwanini Israel isitishe military campaign simesema wanajeshi wa Israel wanakufa au
Nisadie kuwauliza kwanini Israel isitishe vita ambayo Waisraeli wanapigwa na Hamas wanaibuka kidedea. Kwanini mashabiki wa Hamas wanaumia jinsi majeshi ya Israel yanavyopigwa wakati lengo la Hamas ni kuimaliza Israel.

Au basi tukubali Hamas wanashinda ila wanashinda njaa.
 
It's all true, tatizo je ni nani wa kumzuia kwa vitendo Israel asiendelee? Hata yeye amekiri akiamin hakuna cha kumfanya.
 
Leo ndo ilikua siku ya pili na siku ya Isreal kujitetea kuhusi tuhuma za mauuwaji ya haraiki (genecide) na war-crime uhalifu wa kivita.

Jana south Africa ilitoa hoja na maombi dhidi ya israel mbele ya majaji wa kimataifa 17 at the Hangue, leo ilikua siku ya majibu ila isreal imeshindwa kutoa utetezi unao ridhisha hata kwa raia wakawaida.

Waziri wa sheria wa Africa kusiniRonald Lamola amesema wamefata utaratibu wote wamahakama na koti ya ICJ ina jurisdication ya kusikiliza hiyo kesi, hiyo ndo ilikua hoja ya Israel ni hoja nyingine ya Isreal kwamba imefanya hivyo for self defence of 7th Octomber jambo ambalo ni kichekesho mpaka unaua watoto for self defence.........

Hoja nyingine ya Israel inasema South Africa inakinyongo na nchi ya Isreal kwanini yeye ndo amshataki sio waarabu.

Kwangu naona maombi ya South kusitisha military compign ya israel kwa kwasasa lazima yakubaliwe
Yaani unajifanya wewe ndio una akili saaana.
 
Nisadie kuwauliza kwanini Israel isitishe vita ambayo Waisraeli wanapigwa na Hamas wanaibuka kidedea. Kwanini mashabiki wa Hamas wanaumia jinsi majeshi ya Israel yanavyopigwa wakati lengo la Hamas ni kuimaliza Israel.

Au basi tukubali Hamas wanashinda ila wanashinda njaa.
asa tutampaje idf ushindi kwa kuuwa watoto na wanawake
 
Leo ndo ilikua siku ya pili na siku ya Isreal kujitetea kuhusi tuhuma za mauuwaji ya haraiki (genecide) na war-crime uhalifu wa kivita.

Jana south Africa ilitoa hoja na maombi dhidi ya israel mbele ya majaji wa kimataifa 17 at the Hangue, leo ilikua siku ya majibu ila isreal imeshindwa kutoa utetezi unao ridhisha hata kwa raia wakawaida.

Waziri wa sheria wa Africa kusiniRonald Lamola amesema wamefata utaratibu wote wamahakama na koti ya ICJ ina jurisdication ya kusikiliza hiyo kesi, hiyo ndo ilikua hoja ya Israel ni hoja nyingine ya Isreal kwamba imefanya hivyo for self defence of 7th Octomber jambo ambalo ni kichekesho mpaka unaua watoto for self defence.........

Hoja nyingine ya Israel inasema South Africa inakinyongo na nchi ya Isreal kwanini yeye ndo amshataki sio waarabu.

Kwangu naona maombi ya South kusitisha military compign ya israel kwa kwasasa lazima yakubaliwe
kwamba hamas walipoua watoto ni sw ? je hamas walishindwa nin kwenda ICJ ? Mabeberu yanawafurahisha tu mjisahau huku Yemen anakula doz
 
Leo ndo ilikua siku ya pili na siku ya Isreal kujitetea kuhusi tuhuma za mauuwaji ya haraiki (genecide) na war-crime uhalifu wa kivita.

Jana south Africa ilitoa hoja na maombi dhidi ya israel mbele ya majaji wa kimataifa 17 at the Hangue, leo ilikua siku ya majibu ila isreal imeshindwa kutoa utetezi unao ridhisha hata kwa raia wakawaida.

Waziri wa sheria wa Africa kusiniRonald Lamola amesema wamefata utaratibu wote wamahakama na koti ya ICJ ina jurisdication ya kusikiliza hiyo kesi, hiyo ndo ilikua hoja ya Israel ni hoja nyingine ya Isreal kwamba imefanya hivyo for self defence of 7th Octomber jambo ambalo ni kichekesho mpaka unaua watoto for self defence.........

Hoja nyingine ya Israel inasema South Africa inakinyongo na nchi ya Isreal kwanini yeye ndo amshataki sio waarabu.

Kwangu naona maombi ya South kusitisha military compign ya israel kwa kwasasa lazima yakubaliwe
TUMEZOEA KELELE ZA WAARABU KABLA HATA NYINYI HAMJAZALIWA
 
Back
Top Bottom