...Israel Appears Ready For Strike

Mimi naona uwezekano upo kwa kuwa wamewahi kupiga maeneo yaliyosadikiwa kuwa ni nuclear facilities huko Iraq mwanzoni mwa miaka ya themanini na vilevile waliwahi kufanya hivyo kwa upande wa Syria!

Uwezekano wa mitambo ya Iran kushambuliwa ni mdogo kwakuwa wamejifunza kutokana na makosa ya Saddam aliejenga mitambo yake yote sehemu moja. Iran wamejenga sehemu 12 tofauti nchi nzima na nyingi ziko chini ya ardhi zimefunikwa na zege nzito.Mabomu yanayoweza kupenya zege hilo yapo Marekani na Urusi tu na Bush alishakataa kuwapa Israel mabomu hayo.Kitu kingine mashambulizi lazima yapite anga ya Iraq ambayo ni vigumu bila ruhusa na msaada wa Marekani na pia Iran imeshasema ikishambuliwa itachukulia imeshambuliwa na Marekani kwa hiyo majeshi ya Marekani yalio mashariki ya kati wajiandae kushambuliwa.
 
shame on you man!!!!!,unashabikia ujinga huku ukidhani kwamba wale wasioamini katika imani yako basi wanastahili kufa.kumbuka nguvu za kijeshi walizonazo mataifa ni kwa ajili ya maangamizi ya watu,tena mbaya zaidi wahanga huwa ni maskini wasio na hatia.Siungi mkono Iran kuwa na silaha za nyuklia,lakini ningeona maana zaidi kama wanomzuia kuwa na silaha hizi nao wangekuwa hawana nyuklia.AMERICA(USA),ISRAEL.UNITED KINGDOM,FRANCE.GERMAN AND CHINA.zoote hizo zina silaha za nyuklia lakini ni wao ndio wabeba bango wakubwa dhidi ya mwenzao Iran kumiliki kile ambacho wao wanacho,.
Kumbuka.NYUKLIA ni technology ya juu kabisa kupata kutokea duniani.Ni teknologia mkombozi kwa nchi husika kwani hutoa fursa ya kupata nishati ya uhakika bila kuharibu mazingira.Mataifa yaliyopiga hatua kubwa kiuchumi na technology hayataki kuona wengine wakijikomboa,kwani wanajua ukombozi wa kiuchumi huwa ni ukombozi wa kifikra na ukijikomboa kifikra basi hutaweza kuvumilia ukoloni.
Iran hata kama inaongozwa na wendawazimu, haiwezi kuweka rehani uhai wa taifa lao eti tu kwa kujifurahisha kwa kuishambulia israel.huku ikijua dunia nzima itakuwa against nao.wao wanatafuta technology ya nyuklia kwa matumizi ya kiraia(mohammed albaradei kathibitisha hilo)
Nawapa pole wote wenye fikra za kitumwa mnaoamini maendeleo yataletwa na wageni bila nyinyi wenyewe kujituma kama walivyofanya wachina na wahindi na sasa wanavyofanya wairani.

Kuna rafiki yangu aliwahi kuniambia , kule Urusi walikuwa wakipokea wanafunzi wengi miaka ya 50s na 60s kutoka China. Machina walikuwa hawana girl friend wala birthday celebrations . Kazi yao ni kitabu tu . Hakuna Jumamosi wal Jumapili.
Machina hawa ndio walio-sacrifice starehe zao na ndio waliokuja kuiinua China hii ya leo.
Kinyume na waafrika wao kila weekend lazima wafanye parties. Waaalikwe wasichana ,Pombe ndio ushindwe mwenyewe. Kila mwezi walikuwa na Birthdays kama vile huzaliwa kila mwezi.
Afrika kweli inaweza kupata maendeleo????
 
Kuna rafiki yangu aliwahi kuniambia , kule Urusi walikuwa wakipokea wanafunzi wengi miaka ya 50s na 60s kutoka China. Machina walikuwa hawana girl friend wala birthday celebrations . Kazi yao ni kitabu tu . Hakuna Jumamosi wal Jumapili.
Machina hawa ndio walio-sacrifice starehe zao na ndio waliokuja kuiinua China hii ya leo.
Kinyume na waafrika wao kila weekend lazima wafanye parties. Waaalikwe wasichana ,Pombe ndio ushindwe mwenyewe. Kila mwezi walikuwa na Birthdays kama vile huzaliwa kila mwezi.
Afrika kweli inaweza kupata maendeleo????

Huo ni mtazamo wako tu kwamba ili uendelee lazima usifanye sherehe au ku-relux. Kwa nchi zetu za dunia ya tatu hata ukiamua kutokula na kutokua na hayo uliyo yataja huwezi kuendelea bila kuwa na utawala wenye vision.

Wewe unasema wachina walikuwa wengi russia, umesahau kwamba watanzania nao walikuwa wengi sana miaka ya 70 na 80 huko huko russia na India hata ulaya ya magaribi kidogo. Swali hapa ni je, walivyorudi walikuta nini kimeandaliwa ili watumie ujuzi wao?? jibu ni hakuna.

Mfano ni wale wataalamu wetu pale Nyumbu, walikuwa na uwezo wa ku-design engines za magari na at the first stage waliweza lakini alivyochukua nchi mwinyi akafikiri nchi itaendelea kwa kuwa na wauza mitumba wengi, akaisahau nyumbu, leo wale wataalamu wote wako nje ya TZ wanapiga mzigo.

Kitu kikubwa ili nchi iweze kuendelea ni maandalizi ya muda mrefu kwa wananchi wake. Tanzania kwa mfano hatuna hata national priorities, kila serikali ikiingia inakuja na nyimbo zake kwa mwendo huo hatuwezi kufika.

Kama wanaoendesha nchi ya Rwanda wamesoma na kuishi Tanzania wengi wao, na sasa Rwanda inaonekana kupiga hatua kuliko sisi TZ, hiyo ni ishara kwamba tuna tatizo la uongozi/utawala na wala siyo wataalamu. Tuna endekeza siasa ktk kila kitu hata pale pasipo hitaji siasa.

Katika makosa ambayo Nyerere alifanya ni kuingiza siasa kwenye utendaji wa kitaalamu ili adhibiti migomo. Ndiyo maana unakuta mkurugenzi mkuu wa kiwanda ni mtu amesomea sheria, au siasa badala mtu huyo awe na taaluma inayo husiana na kiwanda kile, mfano mhandisi, n.k.
 
Uwezekano wa mitambo ya Iran kushambuliwa ni mdogo kwakuwa wamejifunza kutokana na makosa ya Saddam aliejenga mitambo yake yote sehemu moja. Iran wamejenga sehemu 12 tofauti nchi nzima na nyingi ziko chini ya ardhi zimefunikwa na zege nzito.Mabomu yanayoweza kupenya zege hilo yapo Marekani na Urusi tu na Bush alishakataa kuwapa Israel mabomu hayo.Kitu kingine mashambulizi lazima yapite anga ya Iraq ambayo ni vigumu bila ruhusa na msaada wa Marekani na pia Iran imeshasema ikishambuliwa itachukulia imeshambuliwa na Marekani kwa hiyo majeshi ya Marekani yalio mashariki ya kati wajiandae kushambuliwa.

Mkuu japo siwashabikii wayahudi, lakini naimani wakiamua wananweza kushambulia, sema tu kama hawata pata mabomu hayo muhimu.
 
Kuna rafiki yangu aliwahi kuniambia , kule Urusi walikuwa wakipokea wanafunzi wengi miaka ya 50s na 60s kutoka China. Machina walikuwa hawana girl friend wala birthday celebrations . Kazi yao ni kitabu tu . Hakuna Jumamosi wal Jumapili.
Machina hawa ndio walio-sacrifice starehe zao na ndio waliokuja kuiinua China hii ya leo.
Kinyume na waafrika wao kila weekend lazima wafanye parties. Waaalikwe wasichana ,Pombe ndio ushindwe mwenyewe. Kila mwezi walikuwa na Birthdays kama vile huzaliwa kila mwezi.
Afrika kweli inaweza kupata maendeleo????

Hivi ndiyo ubaguzi wenyewe huo au ni kuto kujua lugha? Wachina una waita Machina?
 
"Changing the Face"
Can change nothing.
But
"Facing the Change"
can change everything
Don't complain about others
Change yourself if you want peace
.
 
President Mahmoud Ahmadinejad warned Tuesday that Iran's military would "cut off" the hands of those wishing to attack the Islamic Republic and repeated his demand that U.S.-led troops leave the region.

"No power will ever dare to think of launching aggression against Iran. Today, Iran is experienced and powerful," the hardliner said in an address to the nation on the anniversary of the eruption of the Iran-Iraq war in 1980.

"Our armed forces are ready to confront the forces of darkness. If anybody wants to shoot a bullet at us from anywhere, we will cut off his hands," he said.

"The world must know that the Iranian people will strongly defend their rights and their land," added Ahmadinejad, who according to state television left Iran soon after his address, bound for New York where he is to attend the U.N. General Assembly meeting.

Iran's arch-foe Israel has refused to rule out a military option should Tehran fail to curb its controversial nuclear programme, which the West fears is a cover for making atomic weapons.

The Jewish state is trying to convince delegates to the U.N. General Assembly to stay away from the chamber when Ahmadinejad addresses the gathering, a senior Israeli diplomat said on Tuesday.

Ahmadinejad, who has earned international notoriety by anti-Israeli tirades, again called the Holocaust a "myth" on Friday as Iran staged an annual pro-Palestinian march.

Tuesday's event marking the invasion of Iran by Saddam Hussein's Iraqi forces which provoked a war lasting almost a decade was marred when a military plane taking part in the extravaganza crashed near Tehran, the official IRNA news agency reported.

"One plane which was conducting manoeuvres during the parade crashed in the village of Vali Abad," near Tehran, the report said. It did not say if there were any casualties.

IRNA later dropped the report from its website without giving any reason. No independent confirmation could be obtained concerning the reported crash.

In his address, Ahmadinejad demanded that U.S.-led foreign forces leave Iraq and Afghanistan.

"We advise you to go back to your own land. Our region will never accept a lengthy presence of foreigners," the re-elected president, dressed in his trademark light-colour jacket and wearing sunglasses, said at the ceremony attended by top military and administrative officials.

"As you saw in Iraq and Afghanistan, people are against the presence of foreigners. It is impossible (for foreign troops) to have a stable base in the region."

During the parade, Iranian military pick-up trucks were seen sporting large banners proclaiming, "Death to Israel" and "Death to America".

Thousands of soldiers participated in the parade during which Iran also showed off its range of missiles, including the latest Sejil version, and displayed its fighter plane, Saegheh, which it claims to have built domestically.

The parade took place opposite the mausoleum built for Iran's revolutionary leader Ayatollah Ruhollah Khomeini on the outskirts of Tehran.

Ahmadinejad said the Iran-Iraq war, which killed about a million people on both sides, and which Iran describes as the "Sacred Defence", was a "humiliation to Satanic forces". Iranian officials refer to the United States as the Great Satan.

"Chemical weapons were used against our nation and the Satanic powers equipped Saddam (Hussein) against our nation. Saddam was backed by certain arrogant powers," the president said, reminiscing about the brutal conflict.

"We ask the arrogant powers to revise their polices ... they sell weapons and then talk of peace."

Ahmadinejad's comments also come just days ahead of a high-profile international meeting between Iran and representatives of the six world powers on Tehran's latest package of proposals.

The package aims to allay global concerns over Tehran's nuclear programme which Western powers suspect is aimed at making an atomic bomb, a charge vociferously denied by Iran.
http://business.maktoob.com/20090000375470/No_power_dare_attack_Iran_Ahmadinejad/Article.htm
 
Back
Top Bottom