Isolate the fifty richest Jews and all wars will cease

Isolate the fifty richest Jews and all wars will cease

Mwarabu alikua kama mchuuzi tu wa watumwa Kwa sababu alishafika maeneo mengi, hivo alikua anachukua watumwa na kwenda kumuuzia mzungu, ananunua Kwa bei ndogo maporini anakwenda kuuza kama bidhaa Kwa mzungu na kupata faida kiasi halafu mzungu anaenda kuwatumia watumwa kwenye shughuli za uzalishaji mali na maendeleo ya mataifa yao
Ndio maana nikasema master mind alikua mzungu.
Kwasababu hao waarabu walifika Kilwa karne tatu nyuma kabla ya mzungu na hawakufanya hiyo biashara.
 
Yesu amewahi kuingia kwenye majengo ya hivi?
Yesu anaingia moyon mwako chief. Yesu pia anasema wakiwepo wawili au watatu kwa jina langu mimi nipo nitakuwa Katikati yao. So kusanyiko la kikristo popote lilipo Yesu yupo ndani. Mungu hahitaji kanuni za kibinadamu ili umfikie ila uwe unatenda mema atakuwa na wewe daima. Kumbuka unatakiwa umuabudu Mungu katika roho na kweli kama Yesu alivyompa jibu yule Mama msamaria. Maana yeye aliuliza watu wanapaswa kwenda Jerusalem wakamwabudu Mungu yeye akasema saa yaja ambayo waabuduo halisi hawatamuabudu Mungu Jerusalem au kwenye majengo ila kwenye roho na kweli. Maana ndani yako wewe ndio unajua umezini umeiba NK so kwasabu wewe ndiwe unajijua utajua unavyosali unamaanisha au unafeki kwa watu kuwa upo Ibadan .so majengo hayatengenenzi mahusiano yako na Mungu zaid ya wewe uamue kujenga uhusiano na Mungu.
 
Najua historia kuliko ujuavyo wewe tena hunipati hata upunje.
Aliyeanza biashara ya utumwa ni MZUNGU.
Wewe unakataa nini??
Kama sio mzungu kuchochea hiyo biashara mwarabu asingejikita nayo hapa Afrika.
Mbona kabla ya hiyo biashara waarabu na waajemi walifika Kilwa na wakakuza mji wa Kilwa pasi na kufanya biashara za utumwa!??
Unakataa nini wewe mweupe kichwani tu!??
Walivyoanzisha industrial revolution wakajidai biashara ya utumwa inatakiwa ivunjwe.
nahis unabasha wa kiarab , unaezaj upinga ukwel ulio waz ? wale wanyamwez wa Zenj walifikaj kule visiwan?
 
Ndio maana nikasema master mind alikua mzungu.
Kwasababu hao waarabu walifika Kilwa karne tatu nyuma kabla ya mzungu na hawakufanya hiyo biashara.
mastermind anakuwaj mzungu hapo ?
 
Yesu anaingia moyon mwako chief. Yesu pia anasema wakiwepo wawili au watatu kwa jina langu mimi nipo nitakuwa Katikati yao. So kusanyiko la kikristo popote lilipo Yesu yupo ndani. Mungu hahitaji kanuni za kibinadamu ili umfikie ila uwe unatenda mema atakuwa na wewe daima. Kumbuka unatakiwa umuabudu Mungu katika roho na kweli kama Yesu alivyompa jibu yule Mama msamaria. Maana yeye aliuliza watu wanapaswa kwenda Jerusalem wakamwabudu Mungu yeye akasema saa yaja ambayo waabuduo halisi hawatamuabudu Mungu Jerusalem au kwenye majengo ila kwenye roho na kweli. Maana ndani yako wewe ndio unajua umezini umeiba NK so kwasabu wewe ndiwe unajijua utajua unavyosali unamaanisha au unafeki kwa watu kuwa upo Ibadan .so majengo hayatengenenzi mahusiano yako na Mungu zaid ya wewe uamue kujenga uhusiano na Mungu.

Pamoja na majibu yako mazuri yenye hisia nyingi na falsafa tele za kitheolojia ila ningependa kujua kama Yesu amewahi kuingia kwenye majengo kama haya ambayo kwa kiswahili sanifu tunayaita "Kanisa", yaani nyumba za Ibada za Wakiristo
 
Pamoja na majibu yako mazuri yenye hisia nyingi na falsafa tele za kitheolojia ila ningependa kujua kama Yesu amewahi kuingia kwenye majengo kama haya ambayo kwa kiswahili sanifu tunayaita "Kanisa", yaani nyumba za Ibada za Wakiristo
je Yesu aliwai tizama tv au kuendesha hata bodaboda ? halaf unataka fananisha zama zisizofanana , jengo sio imani bali mafundisho ndo yanajenga imani
 
nahis unabasha wa kiarab , unaezaj upinga ukwel ulio waz ? wale wanyamwez wa Zenj walifikaj kule visiwan?
We MATAKO unaelewa nini najaribu kueleza!?
Au akili zako umezikalia na ukazijambia!??
HAO WAARABU WAMEANZA BIASHARA YA UTUKWA BAADA YA MZUNGU KUANZISHA HIYO BIASHARA.
Tena hasa route ya Afrika -America-Europe.
Trade route kubwa ilikua ni hiyo na wazungu ndio walioanzisha na ndio waarabu wakafuata.
Walipozindua mashine kuona production ni kubwa na inahitaji soko na soko ni watu ndio walianzisha abolition of slave trade ambayo wao ndio walianzisha hiyo biashara.
We huelewi nini hapo?
 
Pamoja na majibu yako mazuri yenye hisia nyingi na falsafa tele za kitheolojia ila ningependa kujua kama Yesu amewahi kuingia kwenye majengo kama haya ambayo kwa kiswahili sanifu tunayaita "Kanisa", yaani nyumba za Ibada za Wakiristo
Yesu ameacha wanafunz wake na akawapa maagizo nendeni ulimwenguni pote mkawabatize watu na kuwafanya watu kuwa wanafunz wangu. So watu walifanyika hekalu la Mungu kupitia kumwamin Yesu. Asingeweza kuingia kanisan wakat alikuwa hapa dunian. Ni lazima kwanza arudi kwenye nafasi aliyokuwa nayo kabla then ndio aingie kanisani yaan kwenye mioyo ya waamin waliokubali kuwa wafuasi wke. Na Sio kwenye majengo. Tofauti ya waislam na wakristo ni kuwa. Waislam wako kwenye mwili na wakristo wapo kwenye roho so tunaona vitu katika picha mbili tofauti.
 
Ni kweli ndio maana black Arabic wako wengi Sana uarabuni
Tuwasogelee waliotuchukua UTUMWA na kutuuza kama mifugo uarabuni?

Wale waliotufunga minyororo kuanzia Uramo, Ujiji na kwingineko hadi Bagamoyo?

JE tuwasogolee waliotuhasi ili tusizae na binti zao kisa tuna rangi za nyani?
 
Sababu ya hao kuwafunga minyororo na kuwauza kama watumwa ni WESTERN IMPERIALISTS.
Biashara kubwa ya utumwa iliasisiwa na wazungu ambayo ni TRANS ATLANTIC SLAVE TRADE ama TRIANGULAR SLAVE TRADE.
Hivyo kama ulikua hujui hao waarabu walikua wakitukamata wanatupeleka kwa wazungu tukafanye kazi zao za viwanda.
Walipoona industrial revolution imeshika kasi na kuna use of machines akiona kuwa bidhaa zake zitahitaji soko na soko ndio hao watu Waka demand abolition of slave trade.
Hii dunia MZUNGU katufanya vituko sana AISEE.
Halafu unakaa kumlaumu mwarabu.
Mpaka Wafalme wao waliwahasi vijana kwa kuwatumikia au kuwaimbia majumbani kwao Ulaya

Castration ilikuwepo hata wakati wa medieval wakiwa wanahasi mashoga wote
 
Yesu ameacha wanafunz wake na akawapa maagizo nendeni ulimwenguni pote mkawabatize watu na kuwafanya watu kuwa wanafunz wangu. So watu walifanyika hekalu la Mungu kupitia kumwamin Yesu. Asingeweza kuingia kanisan wakat alikuwa hapa dunian. Ni lazima kwanza arudi kwenye nafasi aliyokuwa nayo kabla then ndio aingie kanisani yaan kwenye mioyo ya waamin waliokubali kuwa wafuasi wke. Na Sio kwenye majengo. Tofauti ya waislam na wakristo ni kuwa. Waislam wako kwenye mwili na wakristo wapo kwenye roho so tunaona vitu katika picha mbili tofauti.

Naona swali langu umekataa kulijibu.

Ngoja turudi ktk hoja yako ya kudai kuwa Wakiristo wapo ktk roho na waislamu wapo ktk mwili. Kwani Yesu alikuwa roho pekee na hakuwa na mwili?. Kilichokufa msalabani ni roho au mwili?. Kama kilichokufa ni mwili kwa nini basi kifo cha Yesu kiwe big deal wakati haikufa roho?
 
Back
Top Bottom