AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,062
- 4,291
.
Hili tukio la Zanzibar bila shaka limewaumbua wa Tanganyika kuwa hawajui chochote zaidi ya majungu tu.
Hawajui chochote zaidi ya chuki na husda tu.
.
Hili tukio la Zanzibar bila shaka limewaumbua wa Tanganyika kuwa hawajui chochote zaidi ya majungu tu.
Mwache anyooshwe...kazidi kuwashwawashwa...Pole Jakaya Mrisho Kikwete
Na ni dhambi atakayoingia nayo kaburini kwake....Katika vitu vilimnyima points rais kikwete ni uchaguzi wa Zanzibar
Jk angewcha uchaguzi wa Zanzibar ukaenda kama ulikuwa angekuwa ni kati ya marais Bora sana afrika,na dunia
Ukimwona mwambie...KARMA IS A BITCH.Maskini Rais Wangu! Duh!
Itakuwa anakula kwa jiraniZanzibar heroes inawapa raha wazanzibar sio watanzania coz nao walikua na timu yao imeboronga.
Haiwezekan we baba kila kukicha ni mizozo na mke wako, familia chungu na raha hakuna. Jiran yako yy na mke wake wanaish kwa furaha, Sasa inakuwaje we ujisikie raha kuona majiran wanapata raha.