Nimekuelewa vema... Basi acha tu pongezi zangu kwao nisizibatilishe naweza kuwekwa kwenye kundi la watumwa na mabeberuMawakili wetu walikuwa wasikilizaji tu kazi imefanywa na yule sa. Sidhani kama wakili anaweza kufanya kazi za uwakili katika nchi nyingine bila kuwa registered kule. Pia bado hatujaambiwa ukweli halisi mazingira ya kuachiwa ndege yetu ndio maana tumesitisha safari za huko kwa kisingizio cha vurugu
ushauri uliotukuka ambao haupo kisiasa , umenena vizur sana mkuu tena kwa uzalendi na kwa maslahi ya nchi.Niwapongeze mawakili walioenda South Africa kupambana hadi kufanikiwa kuirudisha ndege aina ya airbus mali ya serikali ya Jamhuri? Ya Tanzania.. Nawapongeza sana kwakuwa ni nadra sana kutokea mawakili wetu kushinda kesi za nchi hasa nje ya nchi
Angalizo muhimu kwao:
Wasibweteke wakalewa sifa... Hii fungate ya ushindi isiwe ndefu... Wajipange... Hii ngoma bado mbichi sana... Ndege imerudi lakini deni bado liko pale pale na linazidi kuongezeka kutokana na riba
Bwana stein kadhamiria... Hata kama hatakata rufaa south Africa bado kuna mahakama ya Africa anaweza kukimbilia huko na bado kuna mahakama ya haki za binadamu anaweza kukimbilia huko na kusajili upya kesi yake
Ameshalipwa za kutosha na pengine ameshaona hakuna dalili za kulipwa tena hivyo atakachofanya sasa ni kusumbua na kuharibu taswira ya nchi kimataifa...
Hii inaitwa NIGUSE UNUKE.. unamwaga mboga namwaga ugali...
Kipindi hiki cha fungate zitafutwe mbinu za kumalizana na mzungu kiroho safi ILI maisha yaendelee bila hofu... Hapa Tanzania vinapokamatwa vitu kwenye misako ya polisi watu hutangaziwa kwenda kuvitambua vitu vyao
Akikamatwa jambazi sugu wananchi hutangaziwa kwenda kumtambua...
Nina hofu wadeni wetu wanatafutana na kutengeza group za mawasiliano ILI siku mali yetu ikikamatwa popote watoke kila kona.... Tuna nafasi bado ya kulimaliza hili kabla madhara hayajawa mengi
Kwahiyo mmelenga kumdhulumu ?Msiba sialisema, huyo mzungu hana hajanahiyo kesi, mawakili watanzania wenzetu tu, ndio wanatia chumvi kwenye chai.
Hataivyo Tanzania tuna mawakili wasomi wazuritu wenye viwango, kinachotusumbua ni uzalendotu.
Kwahiyo tuachane na ujasusi wa kisiasa? Chama chetu pendwa si kitakufa kibudu.Washauliwe mara ngapi kuwa kunahitajika majasusi wa kiuchumi.. Hawa ndo wataweza kupambana vizuri na kwa uendelevu makini matukio mengine ya kiuchumi yatupasa kuyasikia tu na si mpk hiyo mijizungu itugalagaze mahakamani
Taarifa hizi kwamba kesi bado inaendelea umezipata wapiNiwapongeze mawakili walioenda South Africa kupambana hadi kufanikiwa kuirudisha ndege aina ya airbus mali ya serikali ya Jamhuri? Ya Tanzania.. Nawapongeza sana kwakuwa ni nadra sana kutokea mawakili wetu kushinda kesi za nchi hasa nje ya nchi
Angalizo muhimu kwao:
Wasibweteke wakalewa sifa... Hii fungate ya ushindi isiwe ndefu... Wajipange... Hii ngoma bado mbichi sana... Ndege imerudi lakini deni bado liko pale pale na linazidi kuongezeka kutokana na riba
Bwana stein kadhamiria... Hata kama hatakata rufaa south Africa bado kuna mahakama ya Africa anaweza kukimbilia huko na bado kuna mahakama ya haki za binadamu anaweza kukimbilia huko na kusajili upya kesi yake
Ameshalipwa za kutosha na pengine ameshaona hakuna dalili za kulipwa tena hivyo atakachofanya sasa ni kusumbua na kuharibu taswira ya nchi kimataifa...
Hii inaitwa NIGUSE UNUKE.. unamwaga mboga namwaga ugali...
Kipindi hiki cha fungate zitafutwe mbinu za kumalizana na mzungu kiroho safi ILI maisha yaendelee bila hofu... Hapa Tanzania vinapokamatwa vitu kwenye misako ya polisi watu hutangaziwa kwenda kuvitambua vitu vyao
Akikamatwa jambazi sugu wananchi hutangaziwa kwenda kumtambua...
Nina hofu wadeni wetu wanatafutana na kutengeza group za mawasiliano ILI siku mali yetu ikikamatwa popote watoke kila kona.... Tuna nafasi bado ya kulimaliza hili kabla madhara hayajawa mengi
[emoji3][emoji3][emoji123][emoji123][emoji123][emoji120][emoji120][emoji109][emoji109][emoji109] Buji BantonWell said Kuhani Mkuu wa Kilingeni Mshana Jr
Huko kwenye siasa mi sijuiKwahiyo tuachane na ujasusi wa kisiasa? Chama chetu pendwa si kitakufa kibudu.
Pole ndugu, nadhani hujui kusoma au una uoni hafifu.Unatumika na mabeberu
huo ni upungufu wa akili hivi huko tumemshinda aje atunshindie huku?Yap neno lakini Usisahau hata mahakama Za hapa anaweza kuja na kutusulubu hapa hapa,ukizingatia ukumu Za awali alipata point tatu yeye
yani hawa ndo wananiumiza moyo manake babu yangu ni mhangaHuyo mzugu hana ubavu wa kupambana na sisi, wako wengi wanaotudai na mpaka wenyewe kwa wenyewe tunadaiana na hatulipani.Mzungu akawaulize wazee wa EAC wamedai mpaka wakaandamana na kulala barabarani lakini wakaambulia virungu na hakuna aliyethubutu kushitaki,sasa huyo mzungu wa Makuyuni aoneshwe ungangari wetu ili akome.
Kwahiyo mlifanya hivyo kwakua aliwashinda mahakamani ...ili inaonyesha ni jinsi gani Taifa lenu linapenda sana dhuluma....HII NI HARAMUAna P. I (prohibited Immigrant) hivyo hawezi kuingia hapa mpaka zuio litenguliwe
Lile batamzinga lilikuwa linajiropokea tu.Liwagu..na wewe unamuamini Msiba kabisaa. Mzungu kaburu hajawahi samehe Deni kamwe. Na kwa taratibu za kisheria kesi inafutwa Mahakamani sio kwa kuambiwa Musiba sijui Msiba. Mawakili Ni wawakilishi tu wa mfungua madai wala sio wenye kesi Hivyo hawawezi kuzuia kesi isifutwe japo wanaweza kushauri. Hivyo kesi haijawahi kufutwa kabisa na tulishindwa kwenye Rufaa mwaka 2018. Tutafute namna kulimaliza hili jambo tusisingizie usaliti Wala mbwembwe zingine.
Kwa ufahamu wako kule Sauzi tulimshinda kwenye kesi gani?huo ni upungufu wa akili hivi huko tumemshinda aje atunshindie huku?
Mawakili wetu walikuwa wasikilizaji tu kazi imefanywa na yule sa. Sidhani kama wakili anaweza kufanya kazi za uwakili katika nchi nyingine bila kuwa registered kule. Pia bado hatujaambiwa ukweli halisi mazingira ya kuachiwa ndege yetu ndio maana tumesitisha safari za huko kwa kisingizio cha vurugu
yani hawa ndo wananiumiza moyo manake babu yangu ni mhanga
yani wanateseka kila wiki lazima waende keko kufatilia alafu ni wazee haswa wengine wanatembea kwa miguu kilomita za kutosha manake kugombea mabasi hawawezi
ningekua na uwezi nimwambie mheshimiwa rais awaambie tu hawatalipwa ili wabaki nyumbani watulie manake wengine adi wanaangushwa mabarabarani kugombea mabasi wanapata ulemavu!Hali ni mbaya