Isiwe furaha ya muda tuu

Nimekuelewa vema... Basi acha tu pongezi zangu kwao nisizibatilishe naweza kuwekwa kwenye kundi la watumwa na mabeberu
 
ushauri uliotukuka ambao haupo kisiasa , umenena vizur sana mkuu tena kwa uzalendi na kwa maslahi ya nchi.
 
Washauliwe mara ngapi kuwa kunahitajika majasusi wa kiuchumi.. Hawa ndo wataweza kupambana vizuri na kwa uendelevu makini matukio mengine ya kiuchumi yatupasa kuyasikia tu na si mpk hiyo mijizungu itugalagaze mahakamani
Kwahiyo tuachane na ujasusi wa kisiasa? Chama chetu pendwa si kitakufa kibudu.
 
Taarifa hizi kwamba kesi bado inaendelea umezipata wapi
 
Yap neno lakini Usisahau hata mahakama Za hapa anaweza kuja na kutusulubu hapa hapa,ukizingatia ukumu Za awali alipata point tatu yeye
huo ni upungufu wa akili hivi huko tumemshinda aje atunshindie huku?
 
yani hawa ndo wananiumiza moyo manake babu yangu ni mhanga
yani wanateseka kila wiki lazima waende keko kufatilia alafu ni wazee haswa wengine wanatembea kwa miguu kilomita za kutosha manake kugombea mabasi hawawezi
ningekua na uwezi nimwambie mheshimiwa rais awaambie tu hawatalipwa ili wabaki nyumbani watulie manake wengine adi wanaangushwa mabarabarani kugombea mabasi wanapata ulemavu!Hali ni mbaya
 
Ana P. I (prohibited Immigrant) hivyo hawezi kuingia hapa mpaka zuio litenguliwe
Kwahiyo mlifanya hivyo kwakua aliwashinda mahakamani ...ili inaonyesha ni jinsi gani Taifa lenu linapenda sana dhuluma....HII NI HARAMU
 
Kwahiyo mlifanya hivyo kwakua aliwashinda mahakamani ...ili inaonyesha ni jinsi gani Taifa lenu linapenda sana dhuluma....HII NI HARAMU
Hapana mimi sijuwepo nilikuwa kilingeni
 
Watanzania huwa tunalipa deni, baada ya deni kuwa kubwa. Wanaoshangilia tusilipe deni, wanataka riba iwe kubwa na deni liwe kubwa. Deni liko kwenye mfumo was dola, dola ikipanda, na deni linapanda.
 
Lile batamzinga lilikuwa linajiropokea tu.
 

Uko sahihi mkuu. Hebu fikiria hili: eti umeshinda kesi lakini gharama za kesi pia uzilipe wewe. Kuna mambo hayajakaa sawa lakini bora ndege imerudi.

Honesty (ukweli) ni bidhaa hadimu katika uongozi wa nchi zetu hizi.
 

Hili la wazee wa EAC linatisha saana,ni vizuri kuwauliza wenye kumjua na kumuogopa MWENYEZIMUNGU ni nini madhara yake.Kuna mtu anaandika saana jinsi Karma inavyotukula sisi walimwengu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…