ISIS wachinja mmarekani Syria

ISIS wachinja mmarekani Syria

There is nothing good in those people. Even their deity is diabolical

Rafiki wa muislam ni muislam ,jamaa alibugi kujua labda kubadlsha dini kutamsaidia lakn wao walimuona hana imani kama wao kama wanawafyeka washia ije iwe yeye.
 
Rafiki wa muislam ni muislam ,jamaa alibugi kujua labda kubadlsha dini kutamsaidia lakn wao walimuona hana imani kama wao kama wanawafyeka washia ije iwe yeye.
What kind of deity support these despicable atrocities? A deity who supports that must be a fiendish devil.
 
Kitu ambacho kitawaangamiza wazungu baada ya miaka michache ijayo ni political correctness,wanajua ukweli ni upi lakn wanashndwa kuchukua hatua kuwalzisha watu wachache,na hv vikund vyote vya kigaidi kuanzia boko haram adi al-queda kwa bahati nzuri sio wanafiki hawafichi ajenda zao wanazisema live bila kuficha ficha,sasa nashangaa mtu mwngne anaanza kuwatetea,kwa mfano IS ajenda yao ni kusimamisha dola ya kiislam ilikuwa na ulazma gan kuanza kuchnja watu na kuwalazmisha watu wengne wasiokuwa waislam kuslim,na kwa bahati mbaya wanachnja adi waislam wenzao ambao wanaona imani yao inatofautiana nao,mimi nafikiri kuna haja ya waislam kukakaa pamoja na kupinga makundi kama IS na Boko Haram kutumia vibaya uislam na kutokuendelea kuwa laumu wamarekan ndio chanzo cha hv vkundi, hata kama walianzisha imekuaje hv vkund visiwe vya dini nyngne kama wahndu,sighs,budha na dini zngne

wahndu,sighs.budhaa na din nyengnezo hakuna ki2 apo.ISLAM CAN CHANGE THE WORLD.
 
Yohana 16:2-4
2 Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada.
3 Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.

Unabii wa wa Yesu unazidi kutimia hapo kwenye nyekundi, thanks Jesus

today we are slaughtering the soldiers of Bashar and tomorrow we'll be slaughtering your soldiers.
With Allah's permission we will break this final and last crusade and the Islamic State will soon like your puppet David Cameron said will begin to slaughter your people on your streets."
 
Mkuu Eiyer Uko sahihi kabisa ktk maelezo yako na km nilivyosema hapo mwanzo Kua ni mambo mengi sn ktk kujadili haya na sijui uanzie wapi...!

Yaah ni kweli Mkuu Hiyo haikua sababu, ingawa kuna wengine wanasema Kua sababu ilikua ni kuvuruga Ukristo na wayahudi na kuupa uislamu nguvu...! Na sasa wanataka kuwanyang'anya waislamu nguvu zao na mji wa Jerusalem...!

Mkuu Eiyer ulishawahi kufatilia maswala km ya Waco Massacre na Murrah Building ktk mji wa Oklahoma?

Mkuu serikali ya Marekani ndio adui wa wamarekani wenyewe na dunia nzima na ndio adui wa Amani duniani..!

Mkuu ulishawahi kufatilia na unafatilia Matukio ya Rais Abraham Lincon, kifo cha JFK, Waco Massacre, Murrah Building in Oklahoma city, WTC in New York na ISIS ? Ukifatilia utakuta kuna agenda ya siri kubwa na serikali ya Marekani ndio adui wa wamarekani wenyewe na dunia kwa ujumla. Kwasababu wote Hao waliotuhumiwa ktk Matukio hayo ni mapandikizi kwa ajili ya kuwatupia lawama lkn muhusuka mkubwa wa Matendo hayo ni serikali ya Marekani yenyewe na wako na malengo kadhaa ktk kutekeleza haya, lengo Lao kubwa la kwanza ni kuiharibu katiba ya taifa la Marekani...!

Mkuu nafahamu mengi sana kuhusu maisha ya Abraham Lincoln pamoja na John f Kennedy,nachotaka kusema hapa ni kwamba hawa watu wameanza haya mambo zamani sana na sasa tunapojua kidogo wao wanakuwa wanakaribia kumaliza mipango yao!
 
Wamerekani ndiyo hasa wanaowapa chakula na silaha..hao ISIS/IS...jisomee hapa chini. Kutokana na kugundulika hili US ndiyo maana anata kupeleka ground troops Iraq ili kuficha ukweli huu....


The Iraqi forces have found out that the US aircraft usually airdrop arms and food cargoes for ISIL militants who collect them on the ground, Asia news agency quoted Iraqi army's intelligence officers as saying.

"The Iraqi intelligence sources reiterated that the US military planes have airdropped several aid cargoes for ISIL terrorists to help them resist the siege laid by the Iraqi army, security and popular forces," added the report.
On Saturday, Iraqi security sources disclosed that the ISIL terrorist group is using the state-of-the-art weapons which are only manufactured by the US and each of their bullets are worth thousands of dollars.

US Planes Supplying ISIL with Weapons, Foodstuff. Iraq Intel Report | Global Research
 
Huyo kachinjwa na CIA jamani sio waislamu. Waislamu hawezi kufanya kitu kama hicho. ISIS, BOKO HARAM, ALQAEDA n.k WOTE HAO NI MAKAFIRI. CIA Wanaojaribu kuuchafua Uislamu.

sasa kati yako MZIMU na FaizaFoxy tumuamini nani?
 
Last edited by a moderator:
da! it pain much, et mtu anamchinja mwenzake kama kuku alafu anasema atapata dhawabu kwa Allah, kama sio wehu ni nn,,
Sidhan kama kuna huyu Mungu, anaeamrisha watu kuua wenzao. Ee mwenyezi Mungu tuepushe na haya ya nchi za kiarabu
nani amekuambia ni wehu wakati ni maagizo ya allah wao?
 
Wamerekani ndiyo hasa wanaowapa chakula na silaha..hao ISIS/IS...jisomee hapa chini. Kutokana na kugundulika hili US ndiyo maana anata kupeleka ground troops Iraq ili kuficha ukweli huu....


The Iraqi forces have found out that the US aircraft usually airdrop arms and food cargoes for ISIL militants who collect them on the ground, Asia news agency quoted Iraqi army’s intelligence officers as saying.

“The Iraqi intelligence sources reiterated that the US military planes have airdropped several aid cargoes for ISIL terrorists to help them resist the siege laid by the Iraqi army, security and popular forces,” added the report.
On Saturday, Iraqi security sources disclosed that the ISIL terrorist group is using the state-of-the-art weapons which are only manufactured by the US and each of their bullets are worth thousands of dollars.

US Planes Supplying ISIL with Weapons, Foodstuff. Iraq Intel Report | Global Research
Your post, we call it propaganda!
 
Hinawezeka halikuwa spy na hakahamuwa kubadili dini hili hawasome vizuri mbinu hipi wanatumia ya kivita au mfadhili wao nani hanayewapa msaada wa silaha hivyo basi wamemshitukia ndio hayo ya memkuta (ajari kazini) kwan hata Osama bin laden walitumia mbinu kama hiyo kumtafuta .
 
Back
Top Bottom