ISIS wachinja mmarekani Syria

ISIS wachinja mmarekani Syria

Kitu ambacho kitawaangamiza wazungu baada ya miaka michache ijayo ni political correctness,wanajua ukweli ni upi lakn wanashndwa kuchukua hatua kuwalzisha watu wachache,na hv vikund vyote vya kigaidi kuanzia boko haram adi al-queda kwa bahati nzuri sio wanafiki hawafichi ajenda zao wanazisema live bila kuficha ficha,sasa nashangaa mtu mwngne anaanza kuwatetea,kwa mfano IS ajenda yao ni kusimamisha dola ya kiislam ilikuwa na ulazma gan kuanza kuchnja watu na kuwalazmisha watu wengne wasiokuwa waislam kuslim,na kwa bahati mbaya wanachnja adi waislam wenzao ambao wanaona imani yao inatofautiana nao,mimi nafikiri kuna haja ya waislam kukakaa pamoja na kupinga makundi kama IS na Boko Haram kutumia vibaya uislam na kutokuendelea kuwa laumu wamarekan ndio chanzo cha hv vkundi, hata kama walianzisha imekuaje hv vkund visiwe vya dini nyngne kama wahndu,sighs,budha na dini zngne
 
Naungana na wewe. Utafiti unahitajika na hypothesis ziko nyingi mno. Lakini pia inawezekana waislam wana mtazamo tofauti kwamba America in fight uislam wakati kumbe inawezekana America inafight mila za kiarabu na si uislam. Sasa hapa wanachanganya mahesabu.

Lakini pia inawezekana America imejenga hiyo midudud ili kuwaonyesha kwamba uislam kama uislam si tatizo kwa America ila ukatili wa kijinga kwa dunia ndilo tatizo.

Na pia inawezekana yamewekwa hapo kama shield kwa magaidi kwamba wakitaka ku attack, waone kama wanaatack sehemu takatifu kwa miungu yao.

Pengine ni mwanzo wa kutengenezwa uislam wa kistaarabu ukizingatia quaarani haina tafsiri sahihi kila mtu anaitafsiri anavyoona yeye.

Uwezekano ni mwingi.


Mkuu ninachopendekeza ni uchunguzi mkubwa zaidi uendelee ....

Kwa maana ambayo umeisema hapo juu na mtazamo wa wengi juu ya Marekani na Uislam,nisingetarajia kuona hata kikombe kikitengenezwa halafu kikawa na hata "harufu" ya Uislam,lakini kitendo cha kujenga msikiti pale "ground zero",kuweka makumbusho kama Al Kaaba na pia kuweka "minerat" juu ya jengo la One World Tower na mengine yanaleta maswali makubwa

Naamini hata waislam nao wanadhani kuwa Marekani na Uislam ni maji na mafuta,lakini wakifanya utafiti wanaweza wakajiuliza mara mbili mbili kama mtazamo wao huo uko sawa

Kuanzia ishu ya 9/11 hadi ISIS,nadhani hapo kuna kitu mkuu ....

Tufan ye utafiti zaidi .....!!
 
Lakini hawa mumiani wanasema wao wanachinja watu wasio waislam ili waubadili ulimwengu wote uwe wa kiislam. Sasa huyu, muislam mwenzao, tena anafanya huduma za kijamii, kuboresha maisha ya waislam wenzake katika maeneo ya vita, wanamchinja kwa ajili y anini?

Kuna tatizo kubwa kuliko linaloonekana hadharani hapa.

FAIZAFOXY analijua tatizo, lakinji hataki kulielewa, anadhani tatizo ni ukafiri na kusahau kuwa kwa mwarabu muislam ni mwarabu tu, wengine wote hata wakizaliwa na quran mkononi hawakubaliki.
 
Naungana na wewe. Utafiti unahitajika na hypothesis ziko nyingi mno. Lakini pia inawezekana waislam wana mtazamo tofauti kwamba America in fight uislam wakati kumbe inawezekana America inafight mila za kiarabu na si uislam. Sasa hapa wanachanganya mahesabu.
Mkuu,ni vigumu sana kutofautisha Uislam na Uarabu

Mavazi ya kike ya Kiislam ni ya Kiarabu
Mavazi ya kiume ya Kiislam ni ya Kiarabu
Kusali wanasali kwa kutumia lugha ya Kiarabu
Ukiwa un asali ni lazima uelekee huko huko Uarabuni

Hayo yote na manegine yakiwemo majina ni utamaduni wa Kiarabu na ni Uislam,hivyo unaweza kuona vile ilivyokuwa vigumu kuvitofautisha hivyo viwili mkuu,kwa maana hiyo kama Marekani itakuwa inapambana na mila za Waarabu [kitu ambacho binafsi sikubaliani nacho] moja kwa moja watakuwa wanapambana na Uislam

Mfano rahisi ni kwamba,Ukiwakataza mabinti mashuleni wasivae mavazi ya hijab kwasababu ni ya Kiarabu moja kwa moja utakuwa unakataza mavazi ya dini ya Kiislam,hapo naona utakuwa umeanza kuuona ugumu wa kutofautisha hayo mawili
Lakini pia inawezekana America imejenga hiyo midudud ili kuwaonyesha kwamba uislam kama uislam si tatizo kwa America ila ukatili wa kijinga kwa dunia ndilo tatizo.
Mkuu hawajajenga lolote kuhusu dini ya Kikristo ambayo inasadikiwa ndio imani ya Taifa hilo inakuwaje waje wajenge madude ya imani nyingine ambayo kuna wakati waliwai kusema [kinafiki] kuwa dini hiyo ni tatizo kwa dunia ya amani?

Hivi hawajui kweli hilo?
Na pia inawezekana yamewekwa hapo kama shield kwa magaidi kwamba wakitaka ku attack, waone kama wanaatack sehemu takatifu kwa miungu yao.
Mkuu kwanza siamini kabisa kama kuna ugaidi duniani
Siamini kabisa kama kuna vikundi vya kigaidi duniani

Hivi vyote vimewekwa kwasababu maalum na siku lengo lao likifikiwa utaona vyote vinaisha na hawajashindwa kuvizuia hata kama vingekuwepo,kwasababu hiyo sioni haja ya kuwabembeleza kwa kujenga midude ya imani yao ili kuwahadaa wasilipue au kushambulia
Pengine ni mwanzo wa kutengenezwa uislam wa kistaarabu ukizingatia quaarani haina tafsiri sahihi kila mtu anaitafsiri anavyoona yeye.
Mkuu hakuna Uislam unaousema wewe,Uislam upo kwenye Quran na kama kuna ambae anakwenda kinyume na huo basi huyo ni fake na adhambu yake ni kifo,unapoona Muislam yoyote ni rafiki yako halafu akaanza kuifuatilia dini yake jua urafiki wenu uko mashakani,nasema hili kiuzoefu

Maana ya Quran ipo wazi sema tu tatizo ni kuwa hawajawa na nguvu wanayoitaka na siku wakiipata ndio utajua hasa Quran inamaanisha nini,kwa sasa wanaruhusiwa hata kudanganya ili tu uvutiwe nao halafu uwape mamlaka kisha waje wakukate kichwa .....
Uwezekano ni mwingi.
Ni kweli lakini kama nilivyosema ni bora tuwe wachunguzi zaidi tutapata maarifa,kwa kuanza hebu tembelea hizi anuani hapa chini ili uweze kupata angalau mwanga

www.alisina.org

www.fairhfreedom.org
 
Zimwi likujualo halikuli uka kwisha.....US moto mliuanzisha wenyewe , uzimeni sasa.
Kumbukeni kwamba , siku zote muosha naye huoshwa.
 
Kuna mambo mawili yanawezekana hapa

1;Nadhani utakuwa umechanganya na hotuba ya Bush baba
2;Inawezekana ukawa uko sahihi

Lakini mkuu kuna jambo unapaswa ulione kabla ya kufikia hitimisho

Ninaamini kuwa serikali ya Marekani sio sawa na serikali zetu hizi mtu anaweza kuingia madarakani na kuanza na mipango yake na kuacha ile ya zamani au kuifuta kabisa,kule wenzetu wana utaratibu ambao raisi hata atoke wapi hawezi kuja tu na kuweka mambo yake

Hapo kwenye picha niliyoiweka kuna eneo la ibada la Waislam kule makah na kuna eneo la kumbukumbu ya 9/11,ukitazama hayo maeneo yanafanana kwa kiasi kikubwa,hivi mkuu unaweza kufikiri hayo yamefanana kibahati mbaya tu?

Ramani hii ya eneo hadi jengo Obama aliikuta wakati anaingia madarakani,hii inamaana kuwa ilianzia kwa Bush,vyama vyote viwili vinaamini kuwa Osama ndie aliyefanya hayo mashambulizi, kwa mujibu wako ni kwamba Bush aliamini kabisa shambulio hilo lilifanyika kwasababu za kidini na alilazimika tu kutoa kauli ambayo niliiweka hapo juu,sasa swali la ufahamu ni kwamba,iweje waweke ujenzi wa makumbusho ambayo unafanana na eneo la ibada tena lililomuhimu kwa watu wale wale ambao wanawaona kama maadui wa hatari kwao?

Mkuu,hapo huoni kuna kitu amba cho tunajilazimisha tusikielewe?

Additional hints;

Mwanzo 11:9 [9/11]
9 Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo Bwana alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko Bwana akawatawanya waende usoni pa nchi yote.


Ufunuo 9:11
11 Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni
.

Waliichagua 9/11 kwa sababu za kidini au sababu gani?
Na kama ni ya kidini ni ya dini ipi?

Au ni bahati mbaya tu?



Mkuu Eiyer wakati mwingine unaleta hoja ambazo zinahitaji kutulia na kutafakari Vzr na wakati mwingine Unaweza ukashindwa uanzie wapi kuelezea na uishie wapi Maana mambo ni mengi mno ktk swala hili...!


Mkuu Eiyer kwa kutaka kuyachambua haya maswala Mkuu hatuwezi kukomea tu kwa kuiangalia Marekani tu lazima tuangalie mambo mengine pia km ya kiuchumi, kisiasa na kiimani... Hapa tunatakiwa kuiangalia dunia nzima ktk mfumo wake wote wa mambo Yote km siasa, uchumi na Imani na malengo ya madola makubwa....!
 
Last edited by a moderator:
Wamarekani walilianzisha Iraq.. Wakaenda Libya na kama haitoshi wakaingia Syria.. Matokeo yake ndo haya sasa.. Hakukaliki wala kulalika.. Wamelikoroga na walinywe sasa..
 
Mkuu Eiyer wakati mwingine unaleta hoja ambazo zinahitaji kutulia na kutafakari Vzr na wakati mwingine Unaweza ukashindwa uanzie wapi kuelezea na uishie wapi Maana mambo ni mengi mno ktk swala hili...!


Mkuu Eiyer kwa kutaka kuyachambua haya maswala Mkuu hatuwezi kukomea tu kwa kuiangalia Marekani tu lazima tuangalie mambo mengine pia km ya kiuchumi, kisiasa na kiimani... Hapa tunatakiwa kuiangalia dunia nzima ktk mfumo wake wote wa mambo Yote km siasa, uchumi na Imani na malengo ya madola makubwa....!

Kwahiyo mkuu tufanyeje sasa?

Maana naona kama tunaelea huku mambo mengi tukitakiwa tuyajadili!
 
Wamarekani walilianzisha Iraq.. Wakaenda Libya na kama haitoshi wakaingia Syria.. Matokeo yake ndo haya sasa.. Hakukaliki wala kulalika.. Wamelikoroga na walinywe sasa..

Halafu mkuu ni kwanini ni nchi za Kiarabu tu?
 
Kwahiyo mkuu tufanyeje sasa?

Maana naona kama tunaelea huku mambo mengi tukitakiwa tuyajadili!


Mkuu ni vema kuendelea kujifinza na kutafuta ukweli huku tukilinganisha na maandiko yanavyosema....!

Mkuu ile kauli ya Bush hii Hapa....!

Wakati majeshi ya Marekani yakijiandaa kuipiga Afghanistan na utawala wake wa kiislamu Bush alinukuliwa akisema utawala wake Uko tayari kwa CRUSADE dhidi ya magaidi....! USA Today 17 September 2001

Kwanini Crusade Mkuu? Crusade ilikua vita takatifu ya RC ktk zama za Giza...., Bush Anamaanisha nini kwa kusema CRUSADE?
 
da! it pain much, et mtu anamchinja mwenzake kama kuku alafu anasema atapata dhawabu kwa Allah, kama sio wehu ni nn,,
Sidhan kama kuna huyu Mungu, anaeamrisha watu kuua wenzao. Ee mwenyezi Mungu tuepushe na haya ya nchi za kiarabu
 
Mkuu ni vema kuendelea kujifinza na kutafuta ukweli huku tukilinganisha na maandiko yanavyosema....!

Mkuu ile kauli ya Bush hii Hapa....!

Wakati majeshi ya Marekani yakijiandaa kuipiga Afghanistan na utawala wake wa kiislamu Bush alinukuliwa akisema utawala wake Uko tayari kwa CRUSADE dhidi ya magaidi....! USA Today 17 September 2001

Kwanini Crusade Mkuu? Crusade ilikua vita takatifu ya RC ktk zama za Giza...., Bush Anamaanisha nini kwa kusema CRUSADE?

Mkuu hawa wartu huwa wanazungumza maneno backwards na unaweza usiwaelewe ....

Crusade ni vita iliyodaiwa kuwa ya kidini lakini ndio vita iliyosababisha kuinuka kwa Kabbalist ambao walikuta mambo kwenye hekalu la Suleiman na kuyatumia kwa namna walivyotaka wao

Lakini pia vita ile ilikuwa ina lengo la kuufanya Uislam kuwa imara zaidi,hili wengi hawajui,hata ukiangalia kuanzia 9/11 hadi leo Uislam umekuwa Imara zaidi mara dufu na watu wengi wameingia Uislam kuliko kabla ya hapo,kuna agenda nyeti sana kwenye mambo haya na ukiingia kichwa kichwa unatoka kapa mkuu

RC waliingia kwenye vita kwa lengo lile lile ambalo wengine waliingia na mwisho wa asiku ilitoa majibu ambayo watu hawayajui,kama ujuavyo wanapojua kuwa jambo fulani linatakiwa vita itokee na wakawa hawana sababu ya kuianzisha vita ile huitafuta sababu hiyo kisha vita inazuka

Chanzo cha crusade ni majeshi ya Rumi kutaka kuurudisha mji wa Jerusalem chini ya himaya ya Kikristo,hiyo ndio sababu ambayo watu waliambiwa lakini sababu kuu haikuwa hii bali ilikuwa kuwafanya hawa watu kuwa imara zaidi ya mwanzo na walifanikiwa kwa kiwango kikubwa!
 
Mkuu hawa wartu huwa wanazungumza maneno backwards na unaweza usiwaelewe ....

Crusade ni vita iliyodaiwa kuwa ya kidini lakini ndio vita iliyosababisha kuinuka kwa Kabbalist ambao walikuta mambo kwenye hekalu la Suleiman na kuyatumia kwa namna walivyotaka wao

Lakini pia vita ile ilikuwa ina lengo la kuufanya Uislam kuwa imara zaidi,hili wengi hawajui,hata ukiangalia kuanzia 9/11 hadi leo Uislam umekuwa Imara zaidi mara dufu na watu wengi wameingia Uislam kuliko kabla ya hapo,kuna agenda nyeti sana kwenye mambo haya na ukiingia kichwa kichwa unatoka kapa mkuu

RC waliingia kwenye vita kwa lengo lile lile ambalo wengine waliingia na mwisho wa asiku ilitoa majibu ambayo watu hawayajui,kama ujuavyo wanapojua kuwa jambo fulani linatakiwa vita itokee na wakawa hawana sababu ya kuianzisha vita ile huitafuta sababu hiyo kisha vita inazuka

Chanzo cha crusade ni majeshi ya Rumi kutaka kuurudisha mji wa Jerusalem chini ya himaya ya Kikristo,hiyo ndio sababu ambayo watu waliambiwa lakini sababu kuu haikuwa hii bali ilikuwa kuwafanya hawa watu kuwa imara zaidi ya mwanzo na walifanikiwa kwa kiwango kikubwa!



Mkuu Eiyer Uko sahihi kabisa ktk maelezo yako na km nilivyosema hapo mwanzo Kua ni mambo mengi sn ktk kujadili haya na sijui uanzie wapi...!

Yaah ni kweli Mkuu Hiyo haikua sababu, ingawa kuna wengine wanasema Kua sababu ilikua ni kuvuruga Ukristo na wayahudi na kuupa uislamu nguvu...! Na sasa wanataka kuwanyang'anya waislamu nguvu zao na mji wa Jerusalem...!

Mkuu Eiyer ulishawahi kufatilia maswala km ya Waco Massacre na Murrah Building ktk mji wa Oklahoma?

Mkuu serikali ya Marekani ndio adui wa wamarekani wenyewe na dunia nzima na ndio adui wa Amani duniani..!

Mkuu ulishawahi kufatilia na unafatilia Matukio ya Rais Abraham Lincon, kifo cha JFK, Waco Massacre, Murrah Building in Oklahoma city, WTC in New York na ISIS ? Ukifatilia utakuta kuna agenda ya siri kubwa na serikali ya Marekani ndio adui wa wamarekani wenyewe na dunia kwa ujumla. Kwasababu wote Hao waliotuhumiwa ktk Matukio hayo ni mapandikizi kwa ajili ya kuwatupia lawama lkn muhusuka mkubwa wa Matendo hayo ni serikali ya Marekani yenyewe na wako na malengo kadhaa ktk kutekeleza haya, lengo Lao kubwa la kwanza ni kuiharibu katiba ya taifa la Marekani...!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom