ISIS wachinja mmarekani Syria

ISIS wachinja mmarekani Syria

Hakuna cha aid worker hapo.. huyo ni jasusi wa US... wawachinje kadiri watakavyowakamata
 
You must be kidding brother. Kwa nini huwa mnapenda kuwanawilia America kwa kila jambo baya mkilifanya? Kwa nini America haiwachinji waislam wakiwa Marekani?

Kwa nini hizi vurugu ziwe ni kwenye waislam tu? Tena wenye chuki na Ukristo, Umarekani, Uzungu na Uyahudi?

Huoni kama unafanya dhambi kusema uwongo huku ukifahamu? Au kwa uislam na uwongo si dhambi?

Inafika mahala mnaukubali ukweli hata kama unauma ama unakuwa aibu kwenu. Huwezi kubadili Ukweli kwa kuwasingizia watu wengine kwa masuala mnayoyafanya wenyewe kwa imani mliyojiwekea wenyewe.

America Iwachinje Wamarekani kwa ajili ya nini?


Huyo kachinjwa na CIA jamani sio waislamu. Waislamu hawezi kufanya kitu kama hicho. ISIS, BOKO HARAM, ALQAEDA n.k WOTE HAO NI MAKAFIRI. CIA Wanaojaribu kuuchafua Uislamu.
 
You must be kidding brother. Kwa nini huwa mnapenda kuwanawilia America kwa kila jambo baya mkilifanya? Kwa nini America haiwachinji waislam wakiwa Marekani?

Kwa nini hizi vurugu ziwe ni kwenye waislam tu? Tena wenye chuki na Ukristo, Umarekani, Uzungu na Uyahudi?

Huoni kama unafanya dhambi kusema uwongo huku ukifahamu? Au kwa uislam na uwongo si dhambi?

Inafika mahala mnaukubali ukweli hata kama unauma ama unakuwa aibu kwenu. Huwezi kubadili Ukweli kwa kuwasingizia watu wengine kwa masuala mnayoyafanya wenyewe kwa imani mliyojiwekea wenyewe.

America Iwachinje Wamarekani kwa ajili ya nini?

Tatizo Mkuu hufuatilii mambo. Ni ukweli ambao ulisha dhihirika kua ISIS ilianzishwa na Wamarekani na wao wenyewe wakakiri kukosea kama ambavyo walifanya kwa OSAMA bin Laden.

America Created Al-Qaeda and the ISIS Terror Group

By Garikai Chengu
Global Research, September 19, 2014

Region: Middle East & North Africa
Theme: 9/11 & 'War on Terrorism', Intelligence, US NATO War Agenda

isistroops-400x225.jpg

Much like Al Qaeda, the Islamic State (ISIS) is made-in-the-USA, an instrument of terror designed to divide and conquer the oil-rich Middle East and to counter Iran's growing influence in the region.

The fact that the United States has a long and torrid history of backing terrorist groups will surprise only those who watch the news and ignore history.

The CIA first aligned itself with extremist Islam during the Cold War era. Back then, America saw the world in rather simple terms: on one side, the Soviet Union and Third World nationalism, which America regarded as a Soviet tool; on the other side, Western nations and militant political Islam, which America considered an ally in the struggle against the Soviet Union.

The director of the National Security Agency under Ronald Reagan, General William Odom recently remarked, "by any measure the U.S. has long used terrorism. In 1978-79 the Senate was trying to pass a law against international terrorism – in every version they produced, the lawyers said the U.S. would be in violation."

During the 1970′s the CIA used the Muslim Brotherhood in Egypt as a barrier, both to thwart Soviet expansion and prevent the spread of Marxist ideology among the Arab masses. The United States also openly supported Sarekat Islam against Sukarno in Indonesia, and supported the Jamaat-e-Islami terror group against Zulfiqar Ali Bhutto in Pakistan. Last but certainly not least, there is Al Qaeda.

Lest we forget, the CIA gave birth to Osama Bin Laden and breastfed his organization during the 1980′s. Former British Foreign Secretary, Robin Cook, told the House of Commons that Al Qaeda was unquestionably a product of Western intelligence agencies. Mr. Cook explained that Al Qaeda, which literally means an abbreviation of "the database" in Arabic, was originally the computer database of the thousands of Islamist extremists, who were trained by the CIA and funded by the Saudis, in order to defeat the Russians in Afghanistan.

America's relationship with Al Qaeda has always been a love-hate affair. Depending on whether a particular Al Qaeda terrorist group in a given region furthers American interests or not, the U.S. State Department either funds or aggressively targets that terrorist group. Even as American foreign policy makers claim to oppose Muslim extremism, they knowingly foment it as a weapon of foreign policy.

The Islamic State is its latest weapon that, much like Al Qaeda, is certainly backfiring. ISIS recently rose to international prominence after its thugs began beheading American journalists. Now the terrorist group controls an area the size of the United Kingdom.

In order to understand why the Islamic State has grown and flourished so quickly, one has to take a look at the organization's American-backed roots. The 2003 American invasion and occupation of Iraq created the pre-conditions for radical Sunni groups, like ISIS, to take root. America, rather unwisely, destroyed Saddam Hussein's secular state machinery and replaced it with a predominantly Shiite administration. The U.S. occupation caused vast unemployment in Sunni areas, by rejecting socialism and closing down factories in the naive hope that the magical hand of the free market would create jobs.

Under the new U.S.-backed Shiite regime, working class Sunni's lost hundreds of thousands of jobs. Unlike the white Afrikaners in South Africa, who were allowed to keep their wealth after regime change, upper class Sunni's were systematically dispossessed of their assets and lost their political influence.

Rather than promoting religious integration and unity, American policy in Iraq exacerbated sectarian divisions and created a fertile breading ground for Sunni discontent, from which Al Qaeda in Iraq took root.

The Islamic State of Iraq and Syria (ISIS) used to have a different name: Al Qaeda in Iraq. After 2010 the group rebranded and refocused its efforts on Syria.

There are essentially three wars being waged in Syria: one between the government and the rebels, another between Iran and Saudi Arabia, and yet another between America and Russia. It is this third, neo-Cold War battle that made U.S. foreign policy makers decide to take the risk of arming Islamist rebels in Syria, because Syrian President, Bashar al-Assad, is a key Russian ally. Rather embarrassingly, many of these Syrian rebels have now turned out to be ISIS thugs, who are openly brandishing American-made M16 Assault rifles.

America's Middle East policy revolves around oil and Israel. The invasion of Iraq has partially satisfied Washington's thirst for oil, but ongoing air strikes in Syria and economic sanctions on Iran have everything to do with Israel. The goal is to deprive Israel's neighboring enemies, Lebanon's Hezbollah and Palestine's Hamas, of crucial Syrian and Iranian support.

ISIS is not merely an instrument of terror used by America to topple the Syrian government; it is also used to put pressure on Iran.

The last time Iran invaded another nation was in 1738. Since independence in 1776, the U.S. has been engaged in over 53 military invasions and expeditions. Despite what the Western media's war cries would have you believe, Iran is clearly not the threat to regional security, Washington is.

An Intelligence Report published in 2012, endorsed by all sixteen U.S. intelligence agencies, confirms that Iran ended its nuclear weapons program in 2003. Truth is, any Iranian nuclear ambition, real or imagined, is as a result of American hostility towards Iran, and not the other way around.

America is using ISIS in three ways: to attack its enemies in the Middle East, to serve as a pretext for U.S. military intervention abroad, and at home to foment a manufactured domestic threat, used to justify the unprecedented expansion of invasive domestic surveillance.

By rapidly increasing both government secrecy and surveillance, Mr. Obama's government is increasing its power to watch its citizens, while diminishing its citizens' power to watch their government. Terrorism is an excuse to justify mass surveillance, in preparation for mass revolt.

The so-called "War on Terror" should be seen for what it really is: a pretext for maintaining a dangerously oversized U.S. military. The two most powerful groups in the U.S. foreign policy establishment are the Israel lobby, which directs U.S. Middle East policy, and the Military-Industrial-Complex, which profits from the former group's actions.

Since George W. Bush declared the "War on Terror" in October 2001, it has cost the American taxpayer approximately 6.6 trillion dollars and thousands of fallen sons and daughters; but, the wars have also raked in billions of dollars for Washington's military elite.

In fact, more than seventy American companies and individuals have won up to $27 billion in contracts for work in postwar Iraq and Afghanistan over the last three years, according to a recent study by the Center for Public Integrity.

According to the study, nearly 75 per cent of these private companies had employees or board members, who either served in, or had close ties to, the executive branch of the Republican and Democratic administrations, members of Congress, or the highest levels of the military.

In 1997, a U.S. Department of Defense report stated, "the data show a strong correlation between U.S. involvement abroad and an increase in terrorist attacks against the U.S." Truth is, the only way America can win the "War On Terror" is if it stops giving terrorists the motivation and the resources to attack America.

Terrorism is the symptom; American imperialism in the Middle East is the cancer. Put simply, the War on Terror is terrorism; only, it is conducted on a much larger scale by people with jets and missiles.


Garikai Chengu
is a research scholar at Harvard University. Contact him on garikai.chengu@gmail.com


http://www.globalresearch.ca/america-created-al-qaeda-and-the-isis-terror-group/5402881
 
Hao jamaa nı hatarı pamoja na jamaa kusılm wameamua kula kıchwa,ınawezeka umarekan wake nao umesababısha

Lakini hawa mumiani wanasema wao wanachinja watu wasio waislam ili waubadili ulimwengu wote uwe wa kiislam. Sasa huyu, muislam mwenzao, tena anafanya huduma za kijamii, kuboresha maisha ya waislam wenzake katika maeneo ya vita, wanamchinja kwa ajili y anini?

Kuna tatizo kubwa kuliko linaloonekana hadharani hapa.



Ninachohisi mie ni kuwa hao watu wa ISIS itakuwa waligundua njama za jamaa kuwa inawezekana sio mwenzao na kuwa alibadilisha tu dini kwa malengo maalumu....

Jeshini yenyewe hawa SNIPERS ni watu wanaotunza na kulindwa sana kwa kuwa wapo wachache sana na gharama ya mafunzo yao ni kubwa sana.... Kwa hiyo hainiingii akilini tu kuwa huyo jamaa aliyeenda SYRIA kwa gia ya kufanya kazi za kijamii hakuwa na malengo mengine zaidi ya hayo inayosemekana ndio yaliyompeleka... Kumbuka jamaa sio kuwa alikuwa tu ni SNIPER ila alikuwa ni kama mwalimu wao so kwa hali ya kawaida serikali ya USA hauwezi ukasema ingemwacha tu
 
kahtaan

Kwa kua wewe umeolewa unafikiri kila.nina wasi wasi wewe ndo umetoka kuolewa tena na sheikh.pili wewe ukisikia tu upanga unawaza kuchinja watu kumbe unaweza ata kutumia kujilinda.mistari hiyo hiyo hiyo kila thread,huna jipya.
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana pia. Walimteka nyara mwaka jana na ubaya wa wale watu unauawa bila hata coaurt ya kujitetea.

Isingekuwa hakuna watu wema kule, ningeshauri America wawaache wamalizane ila walinde mipaka ku avoid spread ya huo ushetani.



Ninachohisi mie ni kuwa hao watu wa ISIS itakuwa waligundua njama za jamaa kuwa inawezekana sio mwenzao na kuwa alibadilisha tu dini kwa malengo maalumu....

Jeshini yenyewe hawa SNIPERS ni watu wanaotunza na kulindwa sana kwa kuwa wapo wachache sana na gharama ya mafunzo yao ni kubwa sana.... Kwa hiyo hainiingii akilini tu kuwa huyo jamaa aliyeenda SYRIA kwa gia ya kufanya kazi za kijamii hakuwa na malengo mengine zaidi ya hayo inayosemekana ndio yaliyompeleka... Kumbuka jamaa sio kuwa alikuwa tu ni SNIPER ila alikuwa ni kama mwalimu wao so kwa hali ya kawaida serikali ya USA hauwezi ukasema ingemwacha tu
 
Inawezekana pia. Walimteka nyara mwaka jana na ubaya wa wale watu unauawa bila hata coaurt ya kujitetea.

Isingekuwa hakuna watu wema kule, ningeshauri America wawaache wamalizane ila walinde mipaka ku avoid spread ya huo ushetani.

Huyo marekani mshenzi yeye si ndio aliyewaleta hawa kwahiyo saafi sana
 
Inawezekana pia. Walimteka nyara mwaka jana na ubaya wa wale watu unauawa bila hata coaurt ya kujitetea.

Isingekuwa hakuna watu wema kule, ningeshauri America wawaache wamalizane ila walinde mipaka ku avoid spread ya huo ushetani.

Mkuu,kuna kitu nakiona duniani humu na naona kama tunajiingiza kwenye mambo tusiyoyajua

Ninachokiona hapa ni kwamba Marekani na hawa wanga'au hawana tofauti

Naona kuna mpango wa kuifanya hii dini kuwa dini ya dunia,we subiri tu ....

Tunadanganywa mkuu na siku tukija kuamka tutakuwa tumeshachelewa

Baada ya WTC kushambuliwa siku moja baadae rais wa Marekani wakati huo George W Bush alitoa hotuba akisema kuwa "Islam is peace" akaongeza kuwa walichokifanya hawa magaidi sicho ambacho Uislam unafundisha bali Uislam ni amani,unaweza kujiuliza hivi kati ya Al-Qaida na Bush ni nani anaeujua Uislam?

Obama nae amesema kuwa ISIS sio Waislam kwani Uislma haufundushi kile ambacho wanakifanya,hii maana yake nini?

Pale gound zero ya WTC kumejengwa msikiti,halafu kwenye eneo la kumbukumbu ya tukio hilo kuna eneo limejengwa kama Makah kule ambako wanaenda kuhiji,hii maana yake nini?

Tazama hapa chini uone hii picha ........

nwt4.jpg


Hilo ni moja tu,kuna mengi sana,hivi ni kweli serikali ya Marekani na wakuu wa Marekani sio Waislma na wanapiga vita Uislam kweli?

Kama wanapiga vita Uislam na sio Waislam,ni kwanini wajenge hayo kwenye maeneo nyeti kama haya?

Mkuu tusaidiane kujiuliza

cc: Mkuu wa chuo , Ntuzu Telefunken charminglady .......!!
 
Last edited by a moderator:
Hizi structure mimi sikuzijua na hata kama ningeziona bado nisingeweza kuzihusisha na uislam kwa kuwa hakuna ninalolijua zaidi ya mavazi, uchawi, matusi, ubishi na ukatili wao.

Lakini pia, Bush na Al kaida, kama ni uislam basi al Quaida wanaujua kuliko bush. Obama anaweza kuwa anaujua uislam kwa namna anayoisema ama inayotekelezwa.

Lakini inawezekana hawa viongozi wa America, wanaongea hivi ili kujipunguzia maadui kwa maana wanalazimika ku appreciate uislam wa kawaida ambao ndio unawaislam wengi, ili kutokujenga chuki kati ya waislam wote na binadamu wasio waislam.

Hata kama wanafahamu kwamba uislam ndio unaoasisi ugaidi na ushetani wote, inabidi wa praise kundi moja kama namna ya kuleta mgawanyiko miongoni mwa wafuasi wa dini hii ambao, kwao kuwa brainwashed na kufanya mambo sawa na shetani, siyo jambo la ajabu.

Kuhusu hizi structure, ni unafiki ule ule? au wanataka kujenga sehemu nyingine ya waislam kuwa wanahiji nje ya uarabuni ili kupunguza arabic influences kwenye dini hii? Uarabu na u bedui, ukatili na unyama wote ni maji na samaki.

Unapendekeza nini kifanyike ili tufahamu ukweli halisi?


Mkuu,kuna kitu nakiona duniani humu na naona kama tunajiingiza kwenye mambo tusiyoyajua

Ninachokiona hapa ni kwamba Marekani na hawa wanga'au hawana tofauti

Naona kuna mpango wa kuifanya hii dini kuwa dini ya dunia,we subiri tu ....

Tunadanganywa mkuu na siku tukija kuamka tutakuwa tumeshachelewa

Baada ya WTC kushambuliwa siku moja baadae rais wa Marekani wakati huo George W Bush alitoa hotuba akisema kuwa "Islam is peace" akaongeza kuwa walichokifanya hawa magaidi sicho ambacho Uislam unafundisha bali Uislam ni amani,unaweza kujiuliza hivi kati ya Al-Qaida na Bush ni nani anaeujua Uislam?

Obama nae amesema kuwa ISIS sio Waislam kwani Uislma haufundushi kile ambacho wanakifanya,hii maana yake nini?

Pale gound zero ya WTC kumejengwa msikiti,halafu kwenye eneo la kumbukumbu ya tukio hilo kuna eneo limejengwa kama Makah kule ambako wanaenda kuhiji,hii maana yake nini?

Tazama hapa chini uone hii picha ........

nwt4.jpg


Hilo ni moja tu,kuna mengi sana,hivi ni kweli serikali ya Marekani na wakuu wa Marekani sio Waislma na wanapiga vita Uislam kweli?

Kama wanapiga vita Uislam na sio Waislam,ni kwanini wajenge hayo kwenye maeneo nyeti kama haya?

Mkuu tusaidiane kujiuliza

cc: Mkuu wa chuo , Ntuzu Telefunken charminglady .......!!
 
Mkuu Eiyer mi niko tofauti kidogo na wewe ktk Hilo. Hiyo hotuba unayoisema wewe aliitoa baada ya kutoa kauli Kali na kusema ni vita ya kidini.... Baada ya ulimwengu wa kiisamu kuanza kuhoji Hiyo kauli ya dini ndipo akaja na Hiyo kauli ya Matendo ya magaidi Kua hayako sawa na uislamu....!

Nikomee hapo kwanza Mkuu.


Mkuu,kuna kitu nakiona duniani humu na naona kama tunajiingiza kwenye mambo tusiyoyajua

Ninachokiona hapa ni kwamba Marekani na hawa wanga'au hawana tofauti

Naona kuna mpango wa kuifanya hii dini kuwa dini ya dunia,we subiri tu ....

Tunadanganywa mkuu na siku tukija kuamka tutakuwa tumeshachelewa

Baada ya WTC kushambuliwa siku moja baadae rais wa Marekani wakati huo George W Bush alitoa hotuba akisema kuwa "Islam is peace" akaongeza kuwa walichokifanya hawa magaidi sicho ambacho Uislam unafundisha bali Uislam ni amani,unaweza kujiuliza hivi kati ya Al-Qaida na Bush ni nani anaeujua Uislam?

Obama nae amesema kuwa ISIS sio Waislam kwani Uislma haufundushi kile ambacho wanakifanya,hii maana yake nini?

Pale gound zero ya WTC kumejengwa msikiti,halafu kwenye eneo la kumbukumbu ya tukio hilo kuna eneo limejengwa kama Makah kule ambako wanaenda kuhiji,hii maana yake nini?

Tazama hapa chini uone hii picha ........

nwt4.jpg


Hilo ni moja tu,kuna mengi sana,hivi ni kweli serikali ya Marekani na wakuu wa Marekani sio Waislma na wanapiga vita Uislam kweli?

Kama wanapiga vita Uislam na sio Waislam,ni kwanini wajenge hayo kwenye maeneo nyeti kama haya?

Mkuu tusaidiane kujiuliza

cc: Mkuu wa chuo , Ntuzu Telefunken charminglady .......!!
 
Last edited by a moderator:
Abdul mohammed, we waijua qur'an vizuri..? Angalia maisha wanayoishi yaliyo chini ya utawala wa isis, wacha kumkosoa dada kwa kufanya wewe waijua qur"an.. Na ukiwa na jina zuri kamahilo.

Nenda kwenye youtube angalia waislam wanavyoishi katika dola ya kiislam. Uone maisha ya raha. Unaleta abali za ccm na isis. Allah ndo anajua zaidi.
 
hivi mbona kina mama na watoto wasio kuwa na hati a wanauawa kwa maelfu haitangazwi lakini huyu mmoja??? Kuna nini
ila ukanda wa hawa watoto wa mama mdogo
wanapandikizwa chuki
wanajifunza hata karate kwenye nyumba za ibada zao
 
Hizi structure mimi sikuzijua na hata kama ningeziona bado nisingeweza kuzihusisha na uislam kwa kuwa hakuna ninalolijua zaidi ya mavazi, uchawi, matusi, ubishi na ukatili wao.

Lakini pia, Bush na Al kaida, kama ni uislam basi al Quaida wanaujua kuliko bush. Obama anaweza kuwa anaujua uislam kwa namna anayoisema ama inayotekelezwa.

Lakini inawezekana hawa viongozi wa America, wanaongea hivi ili kujipunguzia maadui kwa maana wanalazimika ku appreciate uislam wa kawaida ambao ndio unawaislam wengi, ili kutokujenga chuki kati ya waislam wote na binadamu wasio waislam.

Hata kama wanafahamu kwamba uislam ndio unaoasisi ugaidi na ushetani wote, inabidi wa praise kundi moja kama namna ya kuleta mgawanyiko miongoni mwa wafuasi wa dini hii ambao, kwao kuwa brainwashed na kufanya mambo sawa na shetani, siyo jambo la ajabu.

Kuhusu hizi structure, ni unafiki ule ule? au wanataka kujenga sehemu nyingine ya waislam kuwa wanahiji nje ya uarabuni ili kupunguza arabic influences kwenye dini hii? Uarabu na u bedui, ukatili na unyama wote ni maji na samaki.

Unapendekeza nini kifanyike ili tufahamu ukweli halisi?

Mkuu ninachopendekeza ni uchunguzi mkubwa zaidi uendelee ....

Kwa maana ambayo umeisema hapo juu na mtazamo wa wengi juu ya Marekani na Uislam,nisingetarajia kuona hata kikombe kikitengenezwa halafu kikawa na hata "harufu" ya Uislam,lakini kitendo cha kujenga msikiti pale "ground zero",kuweka makumbusho kama Al Kaaba na pia kuweka "minerat" juu ya jengo la One World Tower na mengine yanaleta maswali makubwa

Naamini hata waislam nao wanadhani kuwa Marekani na Uislam ni maji na mafuta,lakini wakifanya utafiti wanaweza wakajiuliza mara mbili mbili kama mtazamo wao huo uko sawa

Kuanzia ishu ya 9/11 hadi ISIS,nadhani hapo kuna kitu mkuu ....

Tufan ye utafiti zaidi .....!!
 
Mkuu Eiyer mi niko tofauti kidogo na wewe ktk Hilo. Hiyo hotuba unayoisema wewe aliitoa baada ya kutoa kauli Kali na kusema ni vita ya kidini.... Baada ya ulimwengu wa kiisamu kuanza kuhoji Hiyo kauli ya dini ndipo akaja na Hiyo kauli ya Matendo ya magaidi Kua hayako sawa na uislamu....!

Nikomee hapo kwanza Mkuu.

Kuna mambo mawili yanawezekana hapa

1;Nadhani utakuwa umechanganya na hotuba ya Bush baba
2;Inawezekana ukawa uko sahihi

Lakini mkuu kuna jambo unapaswa ulione kabla ya kufikia hitimisho

Ninaamini kuwa serikali ya Marekani sio sawa na serikali zetu hizi mtu anaweza kuingia madarakani na kuanza na mipango yake na kuacha ile ya zamani au kuifuta kabisa,kule wenzetu wana utaratibu ambao raisi hata atoke wapi hawezi kuja tu na kuweka mambo yake

Hapo kwenye picha niliyoiweka kuna eneo la ibada la Waislam kule makah na kuna eneo la kumbukumbu ya 9/11,ukitazama hayo maeneo yanafanana kwa kiasi kikubwa,hivi mkuu unaweza kufikiri hayo yamefanana kibahati mbaya tu?

Ramani hii ya eneo hadi jengo Obama aliikuta wakati anaingia madarakani,hii inamaana kuwa ilianzia kwa Bush,vyama vyote viwili vinaamini kuwa Osama ndie aliyefanya hayo mashambulizi, kwa mujibu wako ni kwamba Bush aliamini kabisa shambulio hilo lilifanyika kwasababu za kidini na alilazimika tu kutoa kauli ambayo niliiweka hapo juu,sasa swali la ufahamu ni kwamba,iweje waweke ujenzi wa makumbusho ambayo unafanana na eneo la ibada tena lililomuhimu kwa watu wale wale ambao wanawaona kama maadui wa hatari kwao?

Mkuu,hapo huoni kuna kitu amba cho tunajilazimisha tusikielewe?

Additional hints;

Mwanzo 11:9 [9/11]
9 Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo Bwana alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko Bwana akawatawanya waende usoni pa nchi yote.


Ufunuo 9:11
11 Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni
.

Waliichagua 9/11 kwa sababu za kidini au sababu gani?
Na kama ni ya kidini ni ya dini ipi?

Au ni bahati mbaya tu?
 
Back
Top Bottom