ISIS (Islamic State), kulikoni?

ISIS (Islamic State), kulikoni?

Status
Not open for further replies.

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,729
Hili kundi kwa hivi sasa linapigwa na MAREKANI, UINGEREZA, UFARANSA, URUSI, na SAUDI ARABIA.

UJERUMANI, AUSTRALIA na JORDAN zitajiunga na mashambulizi muda wowote kuanzia sasa.

Hoja yangu;

Ni wapi kikundi hiki kimepata nguvu hizi na kutishia dola kubwa za Dunia kiasi hiki?! Nani anawafadhili hawa jamaa?
 
Acha wawaue tu idadi yao ipungue duniani. Wapigwe tu, maana hakuna namna
 
Hili kundi kwa hivi sasa linapigwa na MAREKANI, UINGEREZA, UFARANSA, URUSI, na SAUDI ARABIA.

UJERUMANI, AUSTRALIA na JORDAN zitajiunga na mashambulizi muda wowote kuanzia sasa.

Hoja yangu;

Ni wapi kikundi hiki kimepata nguvu hizi na kutishia dola kubwa za Dunia kiasi hiki?! Nani anawafadhili hawa jamaa?
Marekani iliwajenga ki uwezo sana!
 
Hili kundi kwa hivi sasa linapigwa na MAREKANI, UINGEREZA, UFARANSA, URUSI, na SAUDI ARABIA.

UJERUMANI, AUSTRALIA na JORDAN zitajiunga na mashambulizi muda wowote kuanzia sasa.

Hoja yangu;

Ni wapi kikundi hiki kimepata nguvu hizi na kutishia dola kubwa za Dunia kiasi hiki?! Nani anawafadhili hawa jamaa?

Playing war games haohao ndio haohao
 
kuna mawili. wababe duniani wapo ktk mchanganyikiwo wa kimaamuzi.

eliminate isis , umpe nguvu asad
. umpe nguvu asad umeimarisha ezbula huku unahatarisha uwepo wa israel.

kumbuka wazayuni ndio wanashikilis mifumo ya pesa duniani. wamarekani hawajawahi kukubali kuona israel wananyanyaswa.

Hii ngoma bado mbichi sana.
 
Tupe elimu maana suala hili huwa sielew kabisa... Hususan hapo wanaposema america ndio great granter halafu leo anawapga

Sio huko tuu bali popote duniani anachonganisha kwa mkono wa kushoto halafu mkono wa kulia anasuluhisha na wakati huo huo anafanya biashara ya silaha
 
Tupe elimu maana suala hili huwa sielew kabisa... Hususan hapo wanaposema america ndio great granter halafu leo anawapga

Tafuta movie moja inaitwa American Odyesis,ilifungiwa na wamarekani..japo yenyewe inazungumzia arqad ila waweza pata picha ya haya mataifa makubwa
 
Thesis * antithesis = synthesis

Ukiielewa hii kitu itakupa majibu mengi Sana. The world is approaching the peak of its existence.
Mathew 24

Vita hivi vyote vinawaandaa wakazi/wenyeji wa dunia kwa ajilii ya NWO. Haya yote hayana budi kutokea ili ule mwisho uje.
 
hawataisha kamwe

Mkuu kivipi hawataisha? maana napenda sana michanganuo yako kwenye mambo ya kimataifa ivi wewe sio rais wa mioyo ya Watanzania mh Benard Kamilius Membe kweli sio wewe?
 
Ha ha ha,obama aliposema wanataka kucontain,kwamaana ya kuwafanya wawe managed alikua anajua anaongea nini,you just cant defeat an idea with bombs.
Pamoja na marekani kuwatumia kwa manufaa yao bado hao jamaa wanawahate sana wamarekani kwa vitendo vyao wanavyofanya mashariki ya kati,kwahiyo hata wawatumia vipi bado hawa muslim hadline wanarudi kuwafanyia mashambulizi hao wamarekani na group lake,hata wakiwashambulia na kuwaua wle wanaobaki na wanazaliwa wanakuja kuendeleza .
Katika waislamu bilion 1.7duniani kote,kunakadiliwa uwepo wa mahadliner milion 100,
hata kama unaua 1000 kwasiku ambayo rekodi hiyo haijafikiwa,bado itakuchukua miaka karibu 250 kuwamaliza,hao milion 100,
haiwezekani,

ndo maana marekani wanaongelea swala la kuwacontain na si kuwafyekelea mbali kwani haitawezekana
 
Tupe elimu maana suala hili huwa sielew kabisa... Hususan hapo wanaposema america ndio great granter halafu leo anawapga

huko kuwapiga ni taarifa tu unayopewa kupitia media,ila kimsing wanawalinda dhidi ya urusi,iran na asad
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom