Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Kofia mbili(ukuu wa mkoa na ukatibu wa ccm mkoa) zilipotenganishwa mwaka 1982 aliletwa Morogoro kama Katibu na Mzindakaya akawa Mkuu wa mkoa.Aliyekuwa na hizo kofia(au vilemba)Mama Anna Abdallah Msekwa akapelekwa Dodoma na kilemba kimoja,Mkuu wa mkoa.