Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,594
Samaleko wana Jukwaa na Moderators kwa ujumla.
Unapotokea msiba wa mtu maarufu hapa nchini kuanzia Viongozi, Wafanyabiashara na Wasanii kumekua na mtindo kwenye mitandao hii Jamii watu wakitaka kufahamu mazingira na nyumbani kwa mfiwa kuna Nyumba nzuri? Amejenga?
Ni mtindo uliozuka baada ya kufa kwa Mama mzazi wa msaniii (sina uhakika kama ni msanii au mzugaji) Lulu Diva nimeona watu wakipasifia kwa Membe. Leo naona macho yataelekweza kwa Ndugu Marehemu "Le Mutuz" na wengi wameanza kuhoji kama amejenga?
Unapotokea msiba wa mtu maarufu hapa nchini kuanzia Viongozi, Wafanyabiashara na Wasanii kumekua na mtindo kwenye mitandao hii Jamii watu wakitaka kufahamu mazingira na nyumbani kwa mfiwa kuna Nyumba nzuri? Amejenga?
Ni mtindo uliozuka baada ya kufa kwa Mama mzazi wa msaniii (sina uhakika kama ni msanii au mzugaji) Lulu Diva nimeona watu wakipasifia kwa Membe. Leo naona macho yataelekweza kwa Ndugu Marehemu "Le Mutuz" na wengi wameanza kuhoji kama amejenga?