Ishara kama Aina za Wachawi

nitaweza kuloga?
 
Dah
Hii dunia imejipindia asee

So kuna watu wanatembea mitaani, ila washachukuliwa kila kitu

Kifupi ni makopo tu?
Yap, is why huoni why mikosi inamuandama mtu, kumbe madada poa walishafanya yao. Wao huenda kwa waganga kupeleka vitu vyako halaf mganga hunuizia jambo ili unase

Kuwen makin sana, ukiona demu anahizo mambo baki na kitambaa chako
 

Mzee Kisebengo ana uchawi upi kati ya zote kwenye list? Kule kwetu Nziha na Dutumi huwa wanaenda kucheza na mashetani yao mlima Kolelo
 
Anko angu ni mchawi wa nyota. Sasa ana book lake nilikuwa nasoma basi ndio nikawa curious nichungulia nyota zinasemaje kuhusu bwana Antipas uwezekano wa kutoka Lupango.
Mambo si mazuri aisee Ila mi bado amateur so take this with grain of salt.
 
Ni lazima kumrudia Mungu
Aise sio poa maana tulikuwa kata moja uko usambaani mimi na rafiki yangu ambaye ni mzaliwa na mwenyeji wa iyo kata tulikuwa tunapenda kulewa pub moja karibu na pub jirani ya maza walikuwa wanadai mshirikina na walikuwa wanabifu Kati ya izo pub yule maza wanaodai mshirikina alikuwa anamchukia mwenzake wa pub nyingine na cha ajabu tukienda pale kulewa pombe tukinywa kidogo tu tunalewa balaa yaani kama sio pombe za kawaida hadi kuna siku zikatokea pulukushani za jamaa yangu pale pun na mtoto wa uyo maza mshirikina jamaa akamkimbiza hadi ndani kwao kwa uyo maza na mimi nikamfata kumgombelezea baada ya ilo tukio kesho yake nikajikuta Sina simu ,yule maza alimind sana kuwa jamaa kumkimbiza mtoto wake ambaye ni kama zimeruka na muda wote analewa na watu wakawa wanadai maza yake ndo kamtengeneza hadi ikabidi tukaombe msamaha yule maza akadai hatoi msamaha Bure Bila help tukamtoa akadai ametusamehe baada ya week tukiwa tumelewa jamaa yangu akapoteza machine ya kukusanyia ushuru POS MACHINE katika mazingira ya kutatanisha na hakuwahi kuipata na ndio safari ya kupoteza vitu ikaanzia hapo yaani nikilewa tu lazima nipoteze kitu,na kuna kipindi ni kama nilikuwa naendeshwa na remote aisee akili inanituma tu nistulie ghetto niende kulewa mbali na kituo changu cha kazi yaani naondoka lushoto mpaka Tanga kwenda kufanya Anasa, sikuhizi ndo nagundua haikuwa akili ya kawaida ,nimesummarize tu ila ni story ndefu sana
 
Aisee! Very interesting.. Alijua kukukamata vibaya mno.. Mimi kuna mama wa Kidigo pale Kino enzi hizo alikuwa mama ntilie.. Huwezi kuamini baada ya kuhamia kwa Aziz Ally ilikuwa kila week lazima nifunge safari mpaka Kibo kwenda tu kula kwake😂
 
(6,881) Chakula cha mama Mdigo Ubungo Kibo | Page 7 | JamiiForums Chakula cha mama Mdigo Ubungo Kibo
 
Kaka nakutafuta najaribu kukupm inakataa naomba namna ya kukupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…