Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

cumbamalema

JF-Expert Member
Sep 4, 2024
366
816
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari
 
nakuhakikishia,siku ukipata mali hautazungumzia uchawi tena,sijui umelogwa au umelogwa na ndugu! ukipata hela ndugu yangu haya maswala ya iman utakuwa unayamaliza kwa siri tena kubwa,ukiona mambo nyeti na ya siri kama uchawi basi wewe utakuwa umepgwa na maisha! kama unaamini uchawi,MUNGU, waganga nk amini ww kama ww,imani zako usituletee na sisi. imani ni siri ya mtu ndugu zangu!
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Kwenye 'R' unaweka 'L' nikaona we nawe ni zombi tu na bandiko lako la kijinga, nikaishia njiani huwezi kupoteza muda kumsoma tahira
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
umeeleweka, japo hata ugenini wanakuroga tu
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Imani potofu za kishirikina na uchawi ni utumwa wa fedheha na kimaskini sana dah 🐒
 
Imani potofu za kishirikina na uchawi ni utumwa wa fedheha na kimaskini sana dah 🐒
Muulize bos wako hapo anaishije Hadi leo baada ya kukalia kiti!!
Kama uchawi haupo walokole wanakemea mapepo ya nini kama hayapo!!?

Maana wachawi ni hao wapunga mapepo ambao hasta kwenye biblia yako imeandika"usiache mchawi akaishi"!!
 
nakuhakikishia,siku ukipata mali hautazungumzia uchawi tena,sijui umelogwa au umelogwa na ndugu! ukipata hela ndugu yangu haya maswala ya iman utakuwa unayamaliza kwa siri tena kubwa,ukiona mambo nyeti na ya siri kama uchawi basi wewe utakuwa umepgwa na maisha! kama unaamini uchawi,MUNGU, waganga nk amini ww kama ww,imani zako usituletee na sisi. imani ni siri ya mtu ndugu zangu!

Unajichanganya. Mleta mada unazungumzia uchawi na siyo imani wala ulozi.

Unaweza ukawa mchawi na usijijue kama wewe ni mchawi, lakini unaweza ukawa na imani ya Kikristo na ukajijua kwamba wewe ni Mkristo.
 
Back
Top Bottom