Is time traveling possible?? (kusafiri muda inawezekana?)

Is time traveling possible?? (kusafiri muda inawezekana?)

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,092
Reaction score
1,917
Time traveling ni ile hali ya mtu kuweza kurudi nyuma(past) ya muda au kwend mbele ya muda(future)


Tuanzie hapa kwanza kwenye concept ya time is illusion ...

ili pewa nguvu sana na mtaalam nguli wa physics Albert Einstein akiamini time travelling is possible.

Na hii ipo proved kabisa in laboratory so ni theory ya kisayansi na si ubabaishaji kama zile za evolution of man wakina Darwin.

kwa wale waliosoma physics advance kuna theory inaitwa Principle of relativity
Kwenye kitabu cha Nelcon n parker wameelezea vyema

Ni hivi
Muda ni kitu ambacho huetengenezwa na ubongo na wala hakipo.
Kwa sababu hiyo tunachokiona ni sasa ni kile ambacho ubongo unakitafsiri kuwa ni ssa(now)
Kwa njia ya kuona kusikia na kugusa

Katika njia hizi Zote zina tumia Sauti kwenye kusikia mwili (impulse) kwenye kugusa na mwanga kwenye kuona

Katika hivyo vitu vilivyo tajwa hapo juu chenye mwendo kasi zaidi ni mwanga nao huvibeba vyote Kwa pamoja kama Electromagnetic waves zenye wavelength fafauti

Mwanga umebeba matukio yote kuazia adam mapaka sasa

Ikumbukwe wanga ni energy hivyo Hai hauharibiki upo tuu(Energy can neither created nor destroyed....)
Hujiifadhi kenye zone flani tu..

Kuweza kuishi kwenye zone ya mwanga wa wakati fulani uliopita utatakiwa kuuvercome mwanga huu unao uexperience sasa.

How:kuuovercome mwanga ni lazima huukimbie

Kama ukaweza kukimbizana na mwendo kasi wa mwanga(speed of light) unauwezo wa kufreez time na kutravel kabisa time

Kwasababu utahama kwenye tabaka la mwanga wa sasa na kuhamia kwenye tabaka la miaka iliyo pita au ijayo inategemea unasafiri kwa direction ipi

CHUKULIA MFANO
Kiumbe aliepo umbali ambao mwanga hutumia miaka 20 kufika huko, na mwanga ndio hubeba taarifa na Kuona mambo
Basi mwanga utanao fuka huki sasa ni ule uliotika kwenye uso wa dunia miaka 20 iliopita

Kwa hyo kiumbe huyo akiiangalia Dunia atexperience kile kilichikua kinafanyika miaka 20 iliyooita
( kwa maana hyo present yake ni 20 years past kwetu)

Kwa walio wahi kuangalia series ya FLASH mtaelewa haraka kuna episode flash ataka kwenda past akamuone muuaji wa mama yake ili mradhimu akimbie kwa speed ya 23% ya mwanga(light) ili aweze kurudi nyuma ya muda (back in time) kwa wakati alioutaka

Kusafiri muda kwenda past au future ni possible kulingana na principle of relativity kwa sababu vyote vina fanyinka simultaneously(kwa wakati mmoja) ambao ni NOW

NIISHIE HAPA MAANA NAONA NAANDIKA TUUU!
 
Sayansi ina vituko vyake aisee. Sasa twende katika uhalisia wa hili suala la Time Travel. Hapa nina maswali,maana maelezo yako haya jakaa kielimu yamekaa kama habari za kutunga.

Hapa nina maswali :

1. Naomba unipe mfano au mifano ya matukio halisi ambayo hutokea hapa duniani yanayothibitisha ukweli wa Time Travel ?

2. Hivi kwa akili yako ya kawaida unaona kwamba suala la Time Travel linawezekana ?

Narudi......
 
Sayansi ina vituko vyake aisee. Sasa twende katika uhalisia wa hili suala la Time Travel. Hapa nina maswali,maana maelezo yako haya jakaa kielimu yamekaa kama habari za kutunga.

Hapa nina maswali :

1. Naomba unipe mfano au mifano ya matukio halisi ambayo hutokea hapa duniani yanayothibitisha ukweli wa Time Travel ?

2. Hivi kwa akili yako ya kawaida unaona kwamba suala la Time Travel linawezekana ?

Narudi......
Los Angeles now ni Friday saa 7:00 mchana. Wakati Melbourne Australia ni Jumamosi saa 1:00 asubuhi..ukisafiri kwa fighter jet yenye kasi kwa 4hrs. Utafika Los Angeles Friday saa 11 jion..TIME TRAVEL hiyo back in Time..umetoka jumamosi asubuh umefika ijumaa jion
 
Hapa mkuu huoni unazungumzia Time between point A na B?
Hiyo theory haiwezi kuwa sahihi ukizingumzia Point A pekee...

Mfano uwe Temeke halafu Usafiri kwa Kasi mpaka Kesho yake...Ukiwa hapohapo Temeke..Yaani hiyo concept hata siilewi Kila nikiwaza.
Los Angeles now ni Friday saa 7:00 mchana. Wakati Melbourne Australia ni Jumamosi saa 1:00 asubuhi..ukisafiri kwa fighter jet yenye kasi kwa 4hrs. Utafika Los Angeles Friday saa 11 jion..TIME TRAVEL hiyo back in Time..umetoka jumamosi asubuh umefika ijumaa jion
 
Los Angeles now ni Friday saa 7:00 mchana. Wakati Melbourne Australia ni Jumamosi saa 1:00 asubuhi..ukisafiri kwa fighter jet yenye kasi kwa 4hrs. Utafika Los Angeles Friday saa 11 jion..TIME TRAVEL hiyo back in Time..umetoka jumamosi asubuh umefika ijumaa jion
Hii sio time travel mkuu hapa tunapo sema time travel kama unarudi nyuma ya muda yani unaweza kwenda 1990 na ukawakuta watu walio kufa hko utawakuta eg unaweza ukawa umezaliwa 1999 na ukarudi 1990 utamuona nyerere akiwa hai na kuutubia taifa
 
Hii sio time travel mkuu hapa tunapo sema time travel kama unarudi nyuma ya muda yani unaweza kwenda 1990 na ukawakuta watu walio kufa hko utawakuta eg unaweza ukawa umezaliwa 1999 na ukarudi 1990 utamuona nyerere akiwa hai na kuutubia taifa
Lost hii imeeleza mambo mengi about time ....hat de javu wameieleza vizuri sana na Desmond ndio kavaa sana uhusika wa hizi theory
Hapa mkuu huoni unazungumzia Time between point A na B?
Hiyo theory haiwezi kuwa sahihi ukizingumzia Point A pekee...

Mfano uwe Temeke halafu Usafiri kwa Kasi mpaka Kesho yake...Ukiwa hapohapo Temeke..Yaani hiyo concept hata siilewi Kila nikiwaza.
Concept inaelewaka sana tuu mzee kaza ndonga
 
Hapa mkuu huoni unazungumzia Time between point A na B?
Hiyo theory haiwezi kuwa sahihi ukizingumzia Point A pekee...

Mfano uwe Temeke halafu Usafiri kwa Kasi mpaka Kesho yake...Ukiwa hapohapo Temeke..Yaani hiyo concept hata siilewi Kila nikiwaza.
Basi hapa mkuu nimekuelewa vizur..nadhan tumsubiriw Einsten akirud aimalizie theory yake au atutengenezee TRAVEL MASHINE

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Umenikumbusha mbali, enzi hizo form 1 nilifanya hii research (jamani wazazi, msisikie international school school fees mil 20 kwa mwaka mkaona mnapoteza hela). Binafsi I do believe. Kwanz I should tell you I am a Catholic and at the same time I am a scientist. Render to Caesar the things that are Caesar's; and to God the things that are God's. Haya ni ya Caesar:

I do believe in time traveling as a scientist but we don't have the technology to make it happen. Kipinidi na present, nakumbuka walikuja professors from Cambridge, walikuwa impressed sana na kazi yangu. Moja ya vitu nilivyoongelea ni aliens... Kwenye my study room kwenye apartment nina post imeandikwa I want to believe. Wengi nina imani mnajua hi post imetoka wapi. Nirudi kwenye mada yako. Wakati namaliza presentation nilitoa Mfano mmoja.

Ukipiga risasi, inaenda baadae inarudi chini(cause of gravity). Nikasema kama tungeongeza speed ya hii bullet risasi ingezunguka Dunia na kurudi pale pale ilipotoka, the loop will never end if the speed is constant. Fikiria free fall eg (satellites orbiting the Earth). Then nikasema tuchukulie bullet ndio gari moving in a straight line. Likiwa linatembea pole pole we can see it with our eyes, Je ulishwahi kwenda kuona mashindano ya magari uone gari linavyokipita? Cause of speed your eyes can't capture the images well, unakuta hata Kama pembeni kumeandikwa Yamaha, huoni Tena unaona blur cause of speed. Now if this car ingeongeza speed to March 3. Hutoliona gari, utasikia upepo tu. Now what if we increase it to Mach 15(example) the car will disappear from your eyes completely despite the fact linapita mbele yako ila hulioni.

Catch the idea? Tuivute hapa, figure, RAV4 limetumia dk 15 kuuzunguka Dunia nakurudi pale lilipotoka. Likamove kwa Mach 3, limetumia dk 2. Likamove kwa Mach 6, limetumia 0 seconds. Kwa macho unaona halijaenda sehemu kumbe limeenda na limerudi. Je likimove kwa Mach 10??? Litatumia -2 mins. This is where time travel kicks in. Simlpy time can't keep up with you mpaka umeistopisha kwa Mach 6, now unaenda kwa Mach 10. You've bent time and now we say you are in fourth dimension. Kuna professor mmoja wa Physics nilibahatika kumuona mall flani nchi ninayosoma. Nilikuwa nimepoteza coin, sio Bei kubwa Kama 2000 ya kibongo, sasa nalipia nikakuta sina coins na budget haikuruhusu. Ningetoa hela nyingine that means usafiri mpaka home ni bus na kwa mimi nina rangi nyeusi sio salama. Ikabidi nirudi kupunguza vitu, mzee akaniambia atanilipia. Then akaniuliza ever thought of having the ability to go back in time and get back your lost money? Yaliyofuata ni moja ya vitu ambavyo sitavisahau.

Alianza na kuniambia kuwa na yeye ni religious... Then he went on, have you ever thought of another dimension? Have you ever asked yourself what's real? Do you think time exists? If it does, is it a straight line without a loop? What happens if we reach the end of the loop? Aliongea sana na akanitoa coffee na baridi ya siku ile. He asked me why I took medicine Kama nipo interested na physics, then nikamwambia home hakuna job, nitakuwa poor tu na knowledge yangu. Alinipa business card yake akasema niende chuo chake anionyeshe what he has been researching. I couldn't make it, I have my reasons.

TL;DR time travel is possible with the help of speed. Run fast enough and everything around you stops, run faster and everything around you will start reversing.

P.s I wish Tanzania tungeanzisha research facilities. Ila tuna Mambo mengi, watoto hawana madawati.

-callmeGhost

Time traveling ni ile hali ya mtu kuweza kurudi nyuma(past) ya muda au kwend mbele ya muda(future)


Tuanzie hapa kwanza kwenye concept ya time is illusion ...

ili pewa nguvu sana na mtaalam nguli pwa physics Albert Einstein akiamini time travelling is possible.

Na hii ipo proved kabisa in laboratory so ni theory ya kisayansi na si ubabaishaji kama zile za evolution of man wakina Darwin.

kwa wale waliosoma physics advance kuna theory inaitwa Principle of relativity
Kwenye kitabu cha Nelcon n parker wameelezea vyema

Ni hivi
Muda ni kitu ambacho huetengenezwa na ubongo na wala hakipo.
Kwa sababu hiyo tunchoona ni sasa ni kile ambacho ubongo unakitafsiri kuwa ni ssa(now)
Kwa njia ya kuona kusikia na kugusa

Katika njia hizi Zote zina tumia Sauti kwenye kusikia mwili (impulse) kwenye kugusa na mwanga kwenye kuona

Katika hivyo vitu vilivyo tajwa hapo juu chenye mwendo kasi zaidi ni mwanga nao huvibeba vyote Kwa pamoja kama Electromagnetic waves zenye wavelength fafauti

Mwanaga umebeba matukio yote kuazia adam mapaka sasa

Ikumbukwe wanga ni energy hivyo Hai hauharibiki upo tuu(Energy can neither created nor destroyed....)

Kuweza kuishi kwenye zone ya mwanga wa wakati fulani uliopita utatakiwa kuuvercome mwanga huu unao uexperience sasa.

How:kuuovercome mwanga ni lazima huukimbie

Kama ukaweza kukimbizana na mwendo kasi wa mwanga(light) unauwezo wa kufreez time au kutravel kabisa time

Kwasababu utahama kwenye tabaka la mwanga wa sasa na kuhamia kwenye tabaka la miaka iliyo pita au ijayo inategemea unasafiri kwa direction ipo

CHUKULIA MFANO
Kiumbe aliepo umbali ambao mwanga hutumia miaka 20 kufika huko, na mwanga ndio hubeba taarifa na Kuona mambo
Basi mwanga utanao fuka huki sasa ni ule uliotika kwenye uso wa dunia miaka 20 iliopita

Kwa hyo kiumbe huyo akiiangalia Dunia atexperience kile kilichikua kinafanyika miaka 20 iliyooita
( kwa maana hyo present yake ni 20 years past kwetu)

Kwa walio wahi kuangalia series ya FLASH mtaelewa haraka kuna episode flash ataka kwenda past akamuone muuaji wa mama yake ili mradhimu akimbie kwa speed ya 23% ya mwanga(light) ili aweze kurudi nyuma ya muda (back in time) kwa wakati alioutaka

Kusafiri muda kwenda past au future ni possible kulingana na principle of relativity kwa sababu vyote vina fanyinka simultaneously(kwa wakati mmoja) ambao ni NOW

NIISHIE HAPA MAANA NAONA NAANDIKA TUUU

kingo inversio inaexplain well hii concept
 
Umenikumbusha mbali, enzi hizo form 1 nilifanya hii research (jamani wazazi, msisikie international school school fees mil 20 kwa mwaka mkaona mnapoteza hela). Binafsi I do believe. Kwanz I should tell you I am a Catholic and at the same time I am a scientist. Render to Caesar the things that are Caesar's; and to God the things that are God's. Haya ni ya Caesar:

I do believe in time traveling as a scientist but we don't have the technology to make it happen. Kipinidi na present, nakumbuka walikuja professors from Cambridge, walikuwa impressed sana na kazi yangu. Moja ya vitu nilivyoongelea ni aliens... Kwenye my study room kwenye apartment nina post imeandikwa I want to believe. Wengi nina imani mnajua hi post imetoka wapi. Nirudi kwenye mada yako. Wakati namaliza presentation nilitoa Mfano mmoja.

Ukipiga risasi, inaenda baadae inarudi chini(cause of gravity). Nikasema kama tungeongeza speed ya hii bullet risasi ingezunguka Dunia na kurudi pale pale ilipotoka, the loop will never end if the speed is constant. Fikiria free fall eg (satellites orbiting the Earth). Then nikasema tuchukulie bullet ndio gari moving in a straight line. Likiwa linatembea pole pole we can see it with our eyes, Je ulishwahi kwenda kuona mashindano ya magari uone gari linavyokipita? Cause of speed your eyes can't capture the images well, unakuta hata Kama pembeni kumeandikwa Yamaha, huoni Tena unaona blur cause of speed. Now if this car ingeongeza speed to March 3. Hutoliona gari, utasikia upepo tu. Now what if we increase it to Mach 15(example) the car will disappear from your eyes completely despite the fact linapita mbele yako ila hulioni.

Catch the idea? Tuivute hapa, figure, RAV4 limetumia dk 15 kuuzunguka Dunia nakurudi pale lilipotoka. Likamove kwa Mach 3, limetumia dk 2. Likamove kwa Mach 6, limetumia 0 seconds. Kwa macho unaona halijaenda sehemu kumbe limeenda na limerudi. Je likimove kwa Mach 10??? Litatumia -2 mins. This is where time travel kicks in. Simlpy time can't keep up with you mpaka umeistopisha kwa Mach 6, now unaenda kwa Mach 10. You've bent time and now we say you are in fourth dimension. Kuna professor mmoja wa Physics nilibahatika kumuona mall flani nchi ninayosoma. Nilikuwa nimepoteza coin, sio Bei kubwa Kama 2000 ya kibongo, sasa nalipia nikakuta sina coins na budget haikuruhusu. Ningetoa hela nyingine that means usafiri mpaka home ni bus na kwa mimi nina rangi nyeusi sio salama. Ikabidi nirudi kupunguza vitu, mzee akaniambia atanilipia. Then akaniuliza ever thought of having the ability to go back in time and get back your lost money? Yaliyofuata ni moja ya vitu ambavyo sitavisahau.

Alianza na kuniambia kuwa na yeye ni religious... Then he went on, have you ever thought of another dimension? Have you ever asked yourself what's real? Do you think time exists? If it does, is it a straight line without a loop? What happens if we reach the end of the loop? Aliongea sana na akanitoa coffee na baridi ya siku ile. He asked me why I took medicine Kama nipo interested na physics, then nikamwambia home hakuna job, nitakuwa poor tu na knowledge yangu. Alinipa business card yake akasema niende chuo chake anionyeshe what he has been researching. I couldn't make it, I have my reasons.

TL;DR time travel is possible with the help of speed. Run fast enough and everything around you stops, run faster and everything around you will start reversing.

P.s I wish Tanzania tungeanzisha research facilities. Ila tuna Mambo mengi, watoto hawana madawati.

-callmeGhost
Hii concept ni kubwa na pana sana ila kwa tz kuweka facilities za research ni wazo zuri watu wanaa concept na wanataka kuzi faham zaidi lakini mazingira ni butu kabisa.

hii theory nilianza kuipenda cnc nipo secondary ilielezewa kidogo sana kwenye kitabu flani kinaitwa Lambert ....hapo ndipo urafiki wa mimi na Einstein ukaanza kwa google na YouTube kuna baadh ya mambo yame click ila bado unajikuta unawom around someone thoughts na si kile unachoamini na kutaka ...
 
Umenikumbusha mbali, enzi hizo form 1 nilifanya hii research (jamani wazazi, msisikie international school school fees mil 20 kwa mwaka mkaona mnapoteza hela). Binafsi I do believe. Kwanz I should tell you I am a Catholic and at the same time I am a scientist. Render to Caesar the things that are Caesar's; and to God the things that are God's. Haya ni ya Caesar:

I do believe in time traveling as a scientist but we don't have the technology to make it happen. Kipinidi na present, nakumbuka walikuja professors from Cambridge, walikuwa impressed sana na kazi yangu. Moja ya vitu nilivyoongelea ni aliens... Kwenye my study room kwenye apartment nina post imeandikwa I want to believe. Wengi nina imani mnajua hi post imetoka wapi. Nirudi kwenye mada yako. Wakati namaliza presentation nilitoa Mfano mmoja.

Ukipiga risasi, inaenda baadae inarudi chini(cause of gravity). Nikasema kama tungeongeza speed ya hii bullet risasi ingezunguka Dunia na kurudi pale pale ilipotoka, the loop will never end if the speed is constant. Fikiria free fall eg (satellites orbiting the Earth). Then nikasema tuchukulie bullet ndio gari moving in a straight line. Likiwa linatembea pole pole we can see it with our eyes, Je ulishwahi kwenda kuona mashindano ya magari uone gari linavyokipita? Cause of speed your eyes can't capture the images well, unakuta hata Kama pembeni kumeandikwa Yamaha, huoni Tena unaona blur cause of speed. Now if this car ingeongeza speed to March 3. Hutoliona gari, utasikia upepo tu. Now what if we increase it to Mach 15(example) the car will disappear from your eyes completely despite the fact linapita mbele yako ila hulioni.

Catch the idea? Tuivute hapa, figure, RAV4 limetumia dk 15 kuuzunguka Dunia nakurudi pale lilipotoka. Likamove kwa Mach 3, limetumia dk 2. Likamove kwa Mach 6, limetumia 0 seconds. Kwa macho unaona halijaenda sehemu kumbe limeenda na limerudi. Je likimove kwa Mach 10??? Litatumia -2 mins. This is where time travel kicks in. Simlpy time can't keep up with you mpaka umeistopisha kwa Mach 6, now unaenda kwa Mach 10. You've bent time and now we say you are in fourth dimension. Kuna professor mmoja wa Physics nilibahatika kumuona mall flani nchi ninayosoma. Nilikuwa nimepoteza coin, sio Bei kubwa Kama 2000 ya kibongo, sasa nalipia nikakuta sina coins na budget haikuruhusu. Ningetoa hela nyingine that means usafiri mpaka home ni bus na kwa mimi nina rangi nyeusi sio salama. Ikabidi nirudi kupunguza vitu, mzee akaniambia atanilipia. Then akaniuliza ever thought of having the ability to go back in time and get back your lost money? Yaliyofuata ni moja ya vitu ambavyo sitavisahau.

Alianza na kuniambia kuwa na yeye ni religious... Then he went on, have you ever thought of another dimension? Have you ever asked yourself what's real? Do you think time exists? If it does, is it a straight line without a loop? What happens if we reach the end of the loop? Aliongea sana na akanitoa coffee na baridi ya siku ile. He asked me why I took medicine Kama nipo interested na physics, then nikamwambia home hakuna job, nitakuwa poor tu na knowledge yangu. Alinipa business card yake akasema niende chuo chake anionyeshe what he has been researching. I couldn't make it, I have my reasons.

TL;DR time travel is possible with the help of speed. Run fast enough and everything around you stops, run faster and everything around you will start reversing.

P.s I wish Tanzania tungeanzisha research facilities. Ila tuna Mambo mengi, watoto hawana madawati.

-callmeGhost
One dream

One boat ...

Kumbe tupo wengi ...

But what will we do for our country ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom