Is this real?

Is this real?

Halafu huyu mtu namshtukia

Amejiunga jana ameanza kuwasiliana na huyo jamaa lini?

Mara nyingi sana ID za watu wanaoleta hapa hizi story huwa ni wale wapya

Kwanini?

Au ndio kutafuta "umaarufu"?

ID yangu mpya hiyo
 
Nahisi huwajui vizuri team bazaz jf..
Unaibiwa huku unajiona..
Hebu achana na huyo mtu kabla hujalia zaid
 
Moyo wa mtu ni giza nene..if u love him go ahead,but always take care of urself....don't compromise too soon..kukutana nae online doesnt mean he is a bad man,wapo wanaovunja mioyo yetu hata tuliowafahamu for years tangu tukiwa watoto
js take ur chances enjoy life and love him he's what u got right now,than live with regrets later

Point.
 
[/B]Hamna cha ajabu mamy,mapenzi yaliyoanzia mitandaoni na yakafika mbali yapo na long distance relationship zilizo work pia zipo kama ambavyo mapenzi ya classmates au watoto wa familia rafiki yaliyo fail yapo na mapenzi ya kushare chumba na kujifunika shuka moja pia yaliyo fail yapo!
Go mamy,kuwa tu makini kama ambavyo ungekuwa kwenye mahusiano yeyote yale!
All the best!

Thanks Ennie for being supportive,i guess raha ya ngoma uingie ndani nawe ucheze.
 
Mimi sipendi mtu anayeuliza kama mauhusiano ya mtandao yako real or fake.
Ni vitu viwili tofauti, huyo mwanaume uliyekutana naye hawezi fanana tabia ama kingine na mwingine ambaye wamefikia ndoa au kuachana katikati.

Unatakiwa wewe kama wewe kumchunguza na kuona kama anakidhi vigezo.
Ila ukianza kulinganisha kama kuna aliyefanikiwa kwa njia hii, ukadhani wanaume wote wanafanana kitabia imekula kwako shost.
Kila la kheri.
 
Miss Kim, najua nimekushambulia kwa suala la ID, niwie radhi lakini nilitaka nitoe dukuduku langu na kuonyesha kutofurahishwa na hilo suala.

Hili suala lako halina suluhu moja kwa kila tatizo, kuna watu wamefahamiana mitandaoni wakaishia kuumia na wengine mambo yameenda sawa.

Binadamu tuko tofauti na hatutabiriki, laiti tungekuwa na uwezo wa kujua mioyo ya tu, pasingetosha.
Kuna watu wamefahamiana kwa kuonana ana kwa ana, hali kadhalika wapo walioumia na wapo mambo yameenda vizuri.
Kuna unafuu kidogo kwenye kuonana ana kwa ana kwa sababu inakupa fursa ya kupunguza baadhi ya maswali ya muonekano halisi wa mtu unayeanza nae mahusiano.

Watu watakushauri mengi lakini mwisho wa siku wewe ndio utakaebeba matokeo yeyote ya hili suala yawe mabaya au mazuri. Fuata moyo wako.

Huwezi kujihakikishia uhalisia wa mtu kwa mtandao.
 
Hapana hujakosea mimi ni kaka

Lakini wewe ni kwamba unawasiwasi na mapenzi ya mtandaoni kama ni halisi halafu unakuja kuwauliza hao hao wa mtandaoni ili wakujibu kama hilo penzi lako lita work

Hii ni sawa kweli?

Well kaka Eiyer ni kweli unachokisema ila haina maana kwamba wote walioko hapa ni 'fake'. Naamini wapo watu wa kweli and this i speak from experience coz i've been here for the last 3yrs na nimeshajionea mengi,wapo watu real na wapo fake na cha msingi ni kwamba nachohitaji hapa ni ushauri tu.
 
Take a chance
Mahusiano yoyote ni kuwa makin tuu kwa maana wapo weng tunaowafahamu inn n out lakin wameishia kuumiza moyo za watu/ kuoana, wapo walokutana online wakafika mbali / kuumizana
Kikubwa jua tabia zake....msome jitahid muonane
Don't rush in love
 
Miss Kim, najua nimekushambulia kwa suala la ID, niwie radhi lakini nilitaka nitoe dukuduku langu na kuonyesha kutofurahishwa na hilo suala.

Hili suala lako halina suluhu moja kwa kila tatizo, kuna watu wamefahamiana mitandaoni wakaishia kuumia na wengine mambo yameenda sawa.

Binadamu tuko tofauti na hatutabiriki, laiti tungekuwa na uwezo wa kujua mioyo ya tu, pasingetosha.
Kuna watu wamefahamiana kwa kuonana ana kwa ana, hali kadhalika wapo walioumia na wapo mambo yameenda vizuri.
Kuna unafuu kidogo kwenye kuonana ana kwa ana kwa sababu inakupa fursa ya kupunguza baadhi ya maswali ya muonekano halisi wa mtu unayeanza nae mahusiano.

Watu watakushauri mengi lakini mwisho wa siku wewe ndio utakaebeba matokeo yeyote ya hili suala yawe mabaya au mazuri. Fuata moyo wako.

Huwezi kujihakikishia uhalisia wa mtu kwa mtandao.

Nashukuru sana Samaritan kwa ushauri wako. No offense taken. I guess bottom line here is to just follow my heart and let time tell coz na amini kwamba kila kitu kitajihidhirisha kwa wakati wake. Asante mkuu.
 
Naelewa unachopitia mamii, acha muda useme huku ukimshirikisha Mungu, ukisali na kumwombea yeye pia isije kuwa unaingia choo cha kiume...all in all time will tell.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom